Houth wafanya shambulio dhidi ya Marekani ambalo hata China na Urusi hawajawahi fanya

Hakuna ushahidi wa wao Magaidi wa Houthi kufanikisha shambulio kwenye Manowari ya Kimarekani.
 
Hakuna ushahidi wa wao Magaidi wa Houthi kufanikisha shambulio kwenye Manowari ya Kimarekani.
Kwani Marekani mara ngapi wanaficha aibu zao.Walisema hivyo hivyo kule Iraq kambi yao iliposhambuliwa na kuuliwa askari kadhaa.
Baada ya muda wakaamua kuondoka kimy kimya.
Uwezekano wa kupigwa meli upo sana hata kama hilo kombora halina uwezo wa kuizamisha.
 
Juzi juzi Kambi ya Wamarekani ilishambuliwa huko Jordan na Wanajeshi wake kuuwawa na alitangaza kwenye kila TV na kila Gazeti.

Hiyo Manowari ingepigwa ingekuwa ni Habari kuu hapa Duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…