Kwani Marekani mara ngapi wanaficha aibu zao.Walisema hivyo hivyo kule Iraq kambi yao iliposhambuliwa na kuuliwa askari kadhaa.
Baada ya muda wakaamua kuondoka kimy kimya.
Uwezekano wa kupigwa meli upo sana hata kama hilo kombora halina uwezo wa kuizamisha.