makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Houthi walilipua visima kwa kujilipua au walikuwa wanazipiga kwa silaha!?Hauwezi kulinda Saudi dhidi ya hao Houth magaidi wa dini, maana wanachinganyikana humo humo na kujilipua, sio rahisi kujua yupi ndiye yupi.
Marekani huilinda Saudi dhidi ya kubwa la magaidi yaani Iran na mataifa mengine pia.
Huyo Jaluo alisha changanyikiwa,ni wakumuonea huruma tu,hajui hata anachokiandika humu.Houthi walilipua visima kwa kujilipua au walikuwa wanazipiga kwa silaha!?
Hii comment umeiandika kinyonge sana,kifupi unaumia sana kwenye nafsi yako,Netanyahu piga haya mambwa
Houthi kundi teule nilikua nakwambia zamani sana ewe mzayuni wa kutokea jf😎Hauwezi kulinda Saudi dhidi ya hao Houth magaidi wa dini, maana wanachinganyikana humo humo na kujilipua, sio rahisi kujua yupi ndiye yupi.
Marekani huilinda Saudi dhidi ya kubwa la magaidi yaani Iran na mataifa mengine pia.
Akikujibu unitag katika mazayuni ya jf yanayoteseka basi huyo ndio anaongozaHouthi walilipua visima kwa kujilipua au walikuwa wanazipiga kwa silaha!?
Hehee kule alikua anakula spana huku kaja anakutana na nondoUnasema Houthi wana historia ya kuishambulia Saudi Arabia,halafu hapo hapo unasema Saudi inalindwa sana na US,hivi wewe mungiki una akili iliyogeuzwa ndio maana hua unawaza kinyume nyuma? sasa inalindwaje sana ikiwa unakubali kua Houthi hua wanashambulia?
Hata Israel inategemea ulinzi wa US kuanzia silaha mpaka mifumo ya ulinzi ila inapigika hadi Tel Aviv na Hamas,
Dunia ilisha badilika,
Umekimbia kujadili vita ya Urusi na Ukraine ukakimbilia Gaza,huko napo umeanza kutafuta njia ya kutokea.
Aaaaaiiiseeee! Kwa hiyo phase 2 ni kwenda kuivamia tena Israel na kuifuta kabsa sio.?Mkuu habari hii haina uhusiano nakinachoendelea Gaza, HAMAS Jana wametangaza kuanza phase 2, pia Assad anasogeza vikosi vyake karibu na Golan, huku Hizb akizidisha mashambulizi nakupiga minara ya mawasiliano ya kijeshi iliyopo ndani ya Israel, huku pantstair S,ya urusi ikitungua missile Zaid ya 10 jana zilizopogwa na Israel kuelekea Siria, kwahasira UK&US wameangiza Ukrein ashambulie masoko ya raia huko Russia, Sasa subili mziki wa HAMAS, unaambiwa mahandaki yaliyopo Gaza yanazidi ukubwa wa Gaza yenyewe, kwahio Netapaka ajipange.
Kula mtoriii nyama zipo chinii.
Hongera! Una akili sanaHao wanaundiwa kundi pinzani tu wanamalizna wenyewe sema Yemeni ni nchi masikini Haina raslimali za kurejesha gharama za vita
Tarehe 7 October Hamas alipishambulia Asrael hakuna watoto waliouawa? Hamas anaporusha makombora kwenda Israel hayo makombora yake Yana technolojia ya kuchambua watoto, askari na raia wa kawaida ili kutokuua qasiohusika? Naomba unijibu mkuuWatoto zaidi ya 1000 waliouawa wte wale ni Hamas....mbona mnajitoa akili sana...chuki za kiimani zinafanya mnaandika ujinga wwte unaowajia vichwani...hao wana special wa mungu wangekuwa wanadunda Hamas na kuweka records kwamba tumeshaua idadi hii hakuna ambaye angehangaika nao.....wanapigiwa kelele kwa sababu wanaua wasio na hatia....Mtanzania hyo mmoja ambaye inasemekana ameuawa na Hamas watu wte wamekuja juu kulaani kuuawa kwake kwasababu anaonekana hahusiki....sasa kwnn kuuawa hyo mtu mmoja ionekane ukatili lakini kuuawa watoto na wanawake wengi vile ionekane ni kawaida....ficheni upumbavu wenu
Umekimbia kujadili vita ya Urusi na Ukraine ukakimbilia Gaza,huko napo umeanza kutafuta njia ya kutokea.
Kwanza hamna sehemu nimetaja Gaza, naongea kuhusu kinachowapa jeuri Houthi ni kwamba kila wakitishwa hulipua mabomu ile nchi nyie huenda kupiga shetani mawe.
Na kuhusu Gaza, wala hamna la kuongea maana inazidi kufanywa majivu, vifo vya mazombi yenu vinachezea sasa 21,600
Yaani pale hamna kitu tena
Mtoto yupi aliuawa , tuwekeeTarehe 7 October Hamas alipishambulia Asrael hakuna watoto waliouawa? Hamas anaporusha makombora kwenda Israel hayo makombora yake Yana technolojia ya kuchambua watoto, askari na raia wa kawaida ili kutokuua qasiohusika? Naomba unijibu mkuu
Wacha ujinga wewe na unafiki Saud Arabia kapigana na hao Al Hout sababu ya America na alipokuwa anapigwa Saud Arabia hao America walifanya nini.Hawa Houthi wana historia ya kulipua mabomu Saudi Arabia na hiyo ni mojawapo wa sababu kuu inafanya iwe vigumu kuwapiga.
Ifahamike Marekani huilinda sana Saudi, isingekua kwa Marekani pale Saudi pangekua majivu, sijui hata wafuasi wa ile dini wangekua wanaenda wapi kupiga shetani mawe.
Hapa video ya mojawapo wa matukio ya wao kulipua Saudi Arabia
View: https://www.youtube.com/watch?v=oPqLtbQeJj4
Mashoga wenzako wanakuita
Is Tel Aviv the gay capital of the world?
Tel Aviv Pride is among the biggest annual pride events in the world and as of 2019, it is the biggest in Asia.
By JERUSALEM POST STAFF FEBRUARY 14, 2023 20:24
THE ANNUAL gay pride parade in Tel Aviv takes place, in June. There is a very real possibility that Tel Aviv as a gay capital of the world will soon become a thing of the past, says the writer. (photo credit: TOMER NEUBERG/FLASH90)