Houthi hawapigwi na Marekani kwa sababu walishatishia kulipua Saudi Arabia

Houthi hawapigwi na Marekani kwa sababu walishatishia kulipua Saudi Arabia

Wacha ujinga wewe na unafiki Saud Arabia kapigana na hao Al Hout sababu ya America na alipokuwa anapigwa Saud Arabia hao America walifanya nini.

Punguzeni uwongo America atakimbia tu hapo Red Sea kama atabaki hapo labda hapigani na Yemen

Afu Myahudi anawatukana wakristo wote anasema acheni ujinga ukristo sio dini, afu nyie mnasema Israel ni taifa lenu Teule 😄

Msikilizeni tena kaongea kifaransa h😄 Anawambieni acheni ujinga Yesu si Mungu na pia anawambia hataki kuwadanganyeni kuwatakia mwaka mpya sababu atakuwapo anawadanganyeni mtabaki na ujinga.


View: https://youtu.be/Hny7IEK71HU?si=EnSidOKGLcRJF9Sc


Nimeweka na video kabisa jinsi hao magaidi wa dini yenu walivamia nchi ambayo iliasisi hiyo dini, hapo ambapo huwa mnakwenda kupiga shetani mawe, ambapo Marekani huwalinda.
 
Nimeweka na video kabisa jinsi hao magaidi wa dini yenu walivamia nchi ambayo iliasisi hiyo dini, hapo ambapo huwa mnakwenda kupiga shetani mawe, ambapo Marekani huwalinda.


Hulaumiki Bwana yesu alishasema wengine mlizaliwa halii hii

1704090390813.jpeg
 
Unasema Houthi wana historia ya kuishambulia Saudi Arabia,halafu hapo hapo unasema Saudi inalindwa sana na US,hivi wewe mungiki una akili iliyogeuzwa ndio maana hua unawaza kinyume nyuma? sasa inalindwaje sana ikiwa unakubali kua Houthi hua wanashambulia?

Hata Israel inategemea ulinzi wa US kuanzia silaha mpaka mifumo ya ulinzi ila inapigika hadi Tel Aviv na Hamas,
Dunia ilisha badilika,

Umekimbia kujadili vita ya Urusi na Ukraine ukakimbilia Gaza,huko napo umeanza kutafuta njia ya kutokea.
NAKAZIA!!
 
Mashoga wenzako wanakuita

Is Tel Aviv the gay capital of the world?​


Tel Aviv Pride is among the biggest annual pride events in the world and as of 2019, it is the biggest in Asia.​

By JERUSALEM POST STAFF FEBRUARY 14, 2023 20:24
 THE ANNUAL gay pride parade in Tel Aviv takes place, in June. There is a very real possibility that Tel Aviv as a gay capital of the world will soon become a thing of the past, says the writer. (photo credit: TOMER NEUBERG/FLASH90)
THE ANNUAL gay pride parade in Tel Aviv takes place, in June. There is a very real possibility that Tel Aviv as a gay capital of the world will soon become a thing of the past, says the writer. (photo credit: TOMER NEUBERG/FLASH90)
Taifa la Mungu eti hili hawa majamaa mashenzi sana
Mfalme Suleiman
 
Hulaumiki Bwana yesu alishasema wengine mlizaliwa halii hii

View attachment 2859051

Mimi nakuletea maandiko kabisa yanayoshuhudia huyu unayemuabudu alivyokua mchafu, tena imeandikwa kwa lugha nyepesi
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:

CQGBAI5W8AAi4mc.jpg
 
Swali Kama hilohilo linakurudia wewe uliyesema Israel anaua watoto Ghaza. Tupe ushahidi wa mtoto aliyeua na ambaye siyo gaidi
 
Back
Top Bottom