Houthi kufanikiwa kuzamisha meli ya tatu kabla Vita vya Gaza kusitishwa

Kelele wewe,huko Ghaza mkeka unaendelea.
Nenda katawaze ukimaliza useme
 
Mabaharia nawao wangekufa ingependeza sana

Ili wengine wangeona hio njia haifai wakaacha kwenda

Kwani ule muungano uloundwa na Americant na shoga zake kuwazuia ulifia wapi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
US huwa ana mbwebwe sana hana lolote. Iran akiamua kuwapiga israel hawezi fanya lolote ni vitisho tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…