Houthi:" tupo tayari kuishambulia Israel endapo makubaliano yatasitishwa

Houthi:" tupo tayari kuishambulia Israel endapo makubaliano yatasitishwa

son of a teacher

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2017
Posts
541
Reaction score
1,449
Mikono yetu ipo kwenye trigger na tupo tayari kwa mapambano kama Israel atasitisha makubaliano na kuamua kushambulia gaza-HOUTHI

HOUTHI wametoa msimamo huo mara baada ya Hamas kudai hawatoachia mateka siku ya jumamosi wakidai Israel wamekiuka na kuvunja makubaliano.

Hali kadhalika Waziri mkuu wa Israel siku ya jana amewataka IDF wakae tayari kuishambulia Gaza endapo Hamas hawatoachia mateka siku ya jumamosi.
 
Nyie Houth huyu mnammanyaaaa

1000350635.jpg
 
Jamaa wanapenda kujipa umuhimu Ili Hali ni takataka flani hivi.
 
Waseme hivi,wapo tayari kupokea mkong'onto heavy hadi kufa au kupelekwa kwenye jela za kusulubiwa.Waache ujingaujinga. Bloody turbans!
Muoga hufa mara nyingi kabla ya kifo chake cha kweli hakijamfika lakini Jasiri hufa mara moja na ni kifo cha kweli.
Kifo hakikosi sababu,usikubali kunyanyasika kwa kuogopa mauti.
 
Israel wawe tayali kulala kwenye Mashimo!!!! GAZA aiuzwi kwa pesa za kalatasi akitaka GAZA awae Tayali kuwatoa kafala vijana kadhaa au mamia kadhaaa Wamwagwe Damu gaza samani yake ni Damu za watu kuzika vijana wengi chini ya Ardhi!!!! Hamas wapo Tayali na YEMEN wapo Tayali Iraq ipo Tayali na IRAN ipo Tayali!!!
 
Pesa kalatasi Tramp akatumie choooni kujiweka sawa!!!! lkn akitaka GAZA ajue DAMU NDIO PESA YAKE.. mlokole yule na Israel wao pesa ndio kila kitu lkn sio kwa GAZA, pale technology itatumika sio poa!!!!
 
Wawe tayali kufa Yemen yupo tayali kupeleka MOTO Telaviv GAZA ya moto!!!! Njaa yao ya Ardhi itawatokea puani.
 
Kama kuna Binadamu anawatamani Houth ni Trump.
 
Kwani si walikuwa wakishambulia Israel tokea huko nyuma? What difference does this statement make?
 
Houthi hawana cha kupoteza.
Imagine kikundi cha houth kilikua kinapigana na SAUDLI led coalitions inayosaidiwa intelligence na reconnaissance na USA na UK.
Lakini bado kimesavaivu asee
 
Back
Top Bottom