Houthi:" tupo tayari kuishambulia Israel endapo makubaliano yatasitishwa

Houthi:" tupo tayari kuishambulia Israel endapo makubaliano yatasitishwa

Houthi hawana cha kupoteza.
Imagine kikundi cha houth kilikua kinapigana na SAUDLI led coalitions inayosaidiwa intelligence na reconnaissance na USA na UK.
Lakini bado kimesavaivu asee
Hakuna ambaye hana cha kupoteza ni msemo tu huo, hao Houth kuna kona wakiwekwa utasikia milio kama mbuzi mwenye joto ni suala la muda tu, yani Marikani ile seriously aamue kukaza fuvu Houth atoboe kweli?
 
Hakuna ambaye hana cha kupoteza ni msemo tu huo, hao Houth kuna kona wakiwekwa utasikia milio kama mbuzi mwenye joto ni suala la muda tu, yani Marikani ile seriously aamue kukaza fuvu Houth atoboe kweli?
Akaze mala ngapi ilo Fuvu wkt wa Vita vya miaka 5 kati ya Saudia na Yemen marekani alitumia kila njia ikiwemo Wanajesh Wake kupigana mojakwamoja mwisho Baadhi yao Walikamatwa Meteka na Yemen .

VITA ni technology IRAN anayo technology ndio Mana Vita ile Tukaja kushtuka Saudia kupigwa Maeneo muimu uku wanayo air defence systems chapa PATRIOT !!!!!kutoka Marekani Aibu ilianzia Saudia

marekani akadai vijana Wasaudia Arabia awajui kuitumia Sasa wanaenda Wanajesh wa Marekani kuendesha ile PATRIOT lkn wapi vitu vilikuwa vinapiga Shabaaa ya HATARI

tuje ISRAEL nako ivyo ivyo Marekani akadai sijui aikufugwa sijui Sasa ndio napeleka air defence aina ya THAAD baada kushindwa zengine lkn wapi

kwaiyo kuwa na Jeshi kubwaaaa akukusaidii kushinda Vita!! Asa kupigana na aliembali nww!! kupigana na mwenye technology kama IRAN anazuiya shambulizi lako lkn 4yeye akikupasua unapasuka kweli,,
4
tatizo Iran ajawasaidia vya kutosha kwenye Air Defence Washilika wake tatizo liko apa! ndio japo kinasaidia Israel na Marekani kutafuta silaha zilipo ili Wazilipue kwawashilika ndio pia Marekani na Israel awataki kuigusa IRAN wanajua wataaibika!!
 
Hawa ni Magaidi wa Ayatolah waliobakia.
Kama IDF MAGAID wa Marekani lkn GAZA inauzwa kwa DAMU sio makalatasi ya chooni yaliopakwa langi yakaitwa pesa

. DAMU WAFU DAMU WAFU DAMU WAFU . Akuna kueka chini silaha mlokole wenu anataka ardhi wkt Marekani imejaaa kibao misitu kibao lkn ugumba wa Akili kutaka kuchukua kitu cha mtu kibabe tu kinaenda wagalimu WAFU KIBAO.

NA watashindwa mapema tu mana lilivo pumbavu uyu PUTO wenu katangaza wazi nia vyake manake Hamas na Wapalestina nao wanajiuliza njia Gani Puto ataitumia kututoa sisi

nawao sasa Wanabana iyo njia, niwazi Marekani wanajaribu kwa mala ya Mwisho wakishindwa watajidai kuudwe mataifa ma2 baada ya DAMU kumwagika!!!

Marekani na Israel wanajua baada vita hiii miaka 5 uko mbele IRAN itakuwa tishio kubwa kitechnology

na Israel atoweza tena kumpiga yoyote kama sasa Wanavyofanya!!! So chaguo la mataifa mawili ndio njia pekee ya kuifanya Israel iwepo eneo lile.
 
Mikono yetu ipo kwenye trigger na tupo tayari kwa mapambano kama Israel atasitisha makubaliano na kuamua kushambulia gaza-HOUTHI

HOUTHI wametoa msimamo huo mara baada ya Hamas kudai hawatoachia mateka siku ya jumamosi wakidai Israel wamekiuka na kuvunja makubaliano.

Hali kadhalika Waziri mkuu wa Israel siku ya jana amewataka IDF wakae tayari kuishambulia Gaza endapo Hamas hawatoachia mateka siku ya jumamosi.
sisi hao HOUTHI hatuboi hatupoi...
 
Back
Top Bottom