Houthi wanatumia mbinu za kivita ambazo zitaichosha Marekani kama ilivyotokea Ukraine

Nandio ukweli kwa sasa iran hashikiki yaani hakuna taifa linaloweza kwenda beto ya moja kwa moja na iran

Anakuja Mmarekani mmoja wa jf anasema wanamtaftia sababu

Ukimuuliza iraq syria libya vietnam Afghanistan walitafta sababu gani anakimbia
 
Jana Wamarekani meli yao moja ya kijeshi imepigwa wakatoka mbio na meli zao nyingine za kijeshi.

Wamarekani wanafikiri dunia ya leo ni ya miaka 30 nyuma. Mambo yamebadilika, ni kama dunia ilivyotoka kwenye kupigana kwa mishale ilipogunduliwa bunduki. Sasa duniani missiles watu wanatengeneza hata uwani tu.

Siku hizi ubabe wa kizamani unaadhirika tu miji ya watu:

Your browser is not able to display this video.
 
✍️ Sio Kwa Iran ya sasa, wameshachelewa wakati huu wao wenyewe wapo hoi huko Ukraine...

✍️ Iran ya sasa ni mkubwa mwenzao sema jeuri tuu zimewajaa, ila wataelewa tuu.
Mkubwa wakati anahangaika na vikwazo uliwahi kuona Iran anamuwekea mtu vikwazo.
 
Kama uko vizuri kichwani ungechukua baadhi ya mistari niliyoandika ukatafuta ukweli wake halafu ukanisaidia pale ambapo ungeona nimekosea.
Nadhani modi wa JF wananiamini na wanafanya kazi ya kutathmini.Wewe huna uwezo huo.
mod wa JF anahusika vipi na porojo unazoweka hapa, tulikubaliana ukiweka thread unakuja na source otherwise tunapuuza tu ulichoandika, huwezi kuja na interest zako hapa kwasababu kuna mtu anakuamini jf .,nonsense..!, hii forums inapitiwa na watu wengi wasomi
 
Kuiondoa utawala wa mahayatollah nchini Iran ndio mpango mzima. Huo utawala hauna mustakbali wowote huko tuendako.
𝗜𝗦𝗥𝗔𝗘𝗟𝗜 𝗠𝗔𝗡 𝗝𝗔𝗜𝗟𝗘𝗗 𝗙𝗢𝗥 𝗥𝗘𝗙𝗨𝗦𝗜𝗡𝗚 𝗧𝗢 𝗦𝗘𝗥𝗩𝗘 𝗜𝗗𝗙 𝗪𝗜𝗟𝗟𝗜𝗡𝗚 𝗧𝗢 𝗥𝗘𝗧𝗨𝗥𝗡 𝗧𝗢 𝗣𝗥𝗜𝗦𝗢𝗡 𝗔𝗚𝗔𝗜𝗡

An 18-year-old Israeli man, jailed for refusing to serve in the Israeli military, has told Sky News he is prepared to go to prison again because, in his opinion, the war in Gaza is not a way to achieve peace with Palestinians.

Read more: news.sky.com/video/israel-h…

#IsraelHamasWar #GazaGenocide #IDF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…