Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Itakumbukwa kuwa Houthis walisimamisha kuishambulia Israel baada ya makubaliano ya kusitisha vita ili kubadilishana mateka wa kivita.
Israel amekiuka makubaliano ya round ya kwanza na Hamas . Israel wamezuia misaada misaada yote ya I binadamu kuingia Gaza, wanavamia makaazi ya wapalestina west bank na kuwakamata.
Houthis wa Yemen wametangaza kuanza upya mashambulizi dhidi ya Israel. Tuanze kusubiri meli zikianza kupigwa missiles kutokea redsea .
Israel amekiuka makubaliano ya round ya kwanza na Hamas . Israel wamezuia misaada misaada yote ya I binadamu kuingia Gaza, wanavamia makaazi ya wapalestina west bank na kuwakamata.
Houthis wa Yemen wametangaza kuanza upya mashambulizi dhidi ya Israel. Tuanze kusubiri meli zikianza kupigwa missiles kutokea redsea .