Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Kuna wale wa Lebanoni nao waliwapambania sana hata siwasikii. Hata jina nimelisahau maana waliimbwa sana.Katika watu ambao wameonesha uwezo mkubwa wa kuwapambania wapalestina ni Yemen.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wale wa Lebanoni nao waliwapambania sana hata siwasikii. Hata jina nimelisahau maana waliimbwa sana.Katika watu ambao wameonesha uwezo mkubwa wa kuwapambania wapalestina ni Yemen.
Waambie waende wakawakomboe Washia wenzao wa Alawite huko Syria wanaouawa na HTSItakumbukwa kuwa Houthis walisimamisha kuishambulia Israel baada ya makubaliano ya kusitisha vita ili kubadilishana mateka wa kivita.
Israel amekiuka makubaliano ya round ya kwanza na Hamas . Israel wamezuia misaada misaada yote ya I binadamu kuingia Gaza, wanavamia makaazi ya wapalestina west bank na kuwakamata.
Houthis wa Yemen wametangaza kuanza upya mashambulizi dhidi ya Israel. Tuanze kusubiri meli zikianza kupigwa missiles kutokea redsea .View attachment 3262939
TRAMP nani Mbele ya makombora yanayotembea kwa dkk 9 km 2000+ WaIsrael awana chaguo zaid kukimbilia kwenye Mashimo !!!!!!Umeona mbali sana. Kipindi cha Biden alikuwa anajizuia kidogo kuweka kambi baharini pale, sasahivi Trump anawaungamkono Israel 100%. Endapo wakitekeleza wanachosema, Yemen itageuzwa Gaza. Yote kwa yote vita iishe
Hawana tofauti na Mwanamke aliyeko kwenye siku zake za hatari, muda wote anajisikia hamu ya kupelekewa moto na ukishamtindua hamu zinaisha anasubiri mwez unaofuata na cycle inaendeleaHawa jamaa hawana huruma kabisa na watu wa Yemen
Waambie waende wakawakomboe Washia wenzao wa Alawite huko Syria wanaouawa na HTS
View: https://x.com/SprinterObserve/status/1898141359065747504
Rest in Hell HouthisItakumbukwa kuwa Houthis walisimamisha kuishambulia Israel baada ya makubaliano ya kusitisha vita ili kubadilishana mateka wa kivita.
Israel amekiuka makubaliano ya round ya kwanza na Hamas . Israel wamezuia misaada misaada yote ya I binadamu kuingia Gaza, wanavamia makaazi ya wapalestina west bank na kuwakamata.
Houthis wa Yemen wametangaza kuanza upya mashambulizi dhidi ya Israel. Tuanze kusubiri meli zikianza kupigwa missiles kutokea redsea .View attachment 3262939
Trump hataweza maana Yemen Wana vifaa na siyo kwamba Biden alikuwa na huruma hapa ni kwamba meli zake za kivita zilikula chuma sana mpaka zikakimbia redsea pamoja na meli za ulaya.Umeona mbali sana. Kipindi cha Biden alikuwa anajizuia kidogo kuweka kambi baharini pale, sasahivi Trump anawaungamkono Israel 100%. Endapo wakitekeleza wanachosema, Yemen itageuzwa Gaza. Yote kwa yote vita iishe
Wanaitwa Hezbollah baada ya kutoa mkong'oto wa maana kwa Israel walifikia makubaliano ya kusimamisha vita ila kama Israel ataanza chokochoko wataanzisha Tena mashambulizi uzuri Israel mwenyewe anaujua moto wake. Walihamisha north Israel yote ile kulikua hakuna hata mbwa aliyebaki.Kuna wale wa Lebanoni nao waliwapambania sana hata siwasikii. Hata jina nimelisahau maana waliimbwa sana.
Wapalistina ni wavamizi kwenye ardhi ya IsraelHahaha. Hawapendi wapalestina wanyanyasike katika ardhi Yao.
Inshallah tuombe amaniSawa ndugu yangu
Mimi naombea Aman tu
HayaWapalistina ni wavamizi kwenye ardhi ya Israel
Nilitembelea Yemen kipindi fulani. Kule kuamka asubuhi kwa ajili ya swala alarm yetu ni milipuko ya mabomWaisrael wakikusikia hawatakuelewa kabisa maana wanaujua mziki wa Yemen Huwa wanaamshwa saa 10 alfajiri Kila siku na makombora ya houthis.
Israel kwa sasa kamalizana na Hamas na Hezbollah. Hawa Houths ni kama wana hamu ya kipigo. Kujificha kwenye mawe kama kenge hakutawakinga na kipigo cha Israel.Waisrael wakikusikia hawatakuelewa kabisa maana wanaujua mziki wa Yemen Huwa wanaamshwa saa 10 alfajiri Kila siku na makombora ya houthis.
😂😂😂😂 Umetia chumvi mkuuNilitembelea Yemen kipindi fulani. Kule kuamka asubuhi kwa ajili ya swala alarm yetu ni milipuko ya mabom
Israel Bado hajamalizana na Hamas wala Hezbollah kwasababu ana violate agreement kitendo kitakachosababisha vita kuanza upya. Kwa upande wa houthis amesaidiwa na marekani na uingereza na ufaransa lakini ameshindwa kwa mwaka 1 zimepigwa zaidi ya meli 100 na Israel imepigwa makombora mara kibao. Yemen kaamua Kufunga njia ya kwenda Israel redsea unaona jambo dogo hilo?Israel kwa sasa kamalizana na Hamas naa Hezbollah. Hawa Houths ni kama wana hamu ya kipigo. Kujificha kwenye mawe kama kenge hakutawakinga na kipigo cha Israel.