How Can There Be Free-Will ?

How Can There Be Free-Will ?

Unapozungumzi suala la kuthibitisha as kuthibitisha,my dear brother ,the struggle is real .Hakuna atakaeweza kuthibitisha kama mungu yupo or disprove it .Ni Critical discussion ambayo imekuwa ikifanyika since before ,na hawajawahi kufika conclusion .Watu wa dini watakuambia God exists ,hoja yao zaidi ni Kwamba Sasa kama hayupo nani katuumba,kwanini tunakufa,au nani kaumba dunia,HIZO ndiyo hoja zao ,na utakapowauliza umejuaje kuwa dunia iliumbwa na mungu ,au umejuaje Kama wewe umeumbwa na mungu ,jibu Lao watakuambia mambo mengine hayahitaji tochi lol.Yani hawawezi kukupa hoja ambayo ni convincing.So logic na reasoning ndiyo the way to go kuzuia utapeli wa Hawa watu,unakuta padri Ana hela mpaka sura ina vimba halafu waumini wake wanakauka ngozi ,Halafu anakwambia Bwana Asifiwe .


Consider the following Islamic Pholosopher,Al -Ghazali ambaye yeye kwa muktadha wake alitoa hoja za uwepo wa mungu na zilikuwa zina make sense sana kipindi hicho cha Karne ya 11,THE KALAM COSMOLOGICAL ARGUMENT hoja zake kwa Sasa zimekuwa elaborated na Dr.William Lane Craig ,(syllogism) ,Kwenye kitabu chake .

Hoja zenyewe stamped as premises.(premise 1 to 5 ) ,



1-Whatever begins to exist has a cause

2-The universe began to exist .

3-Therefore,the universe has a cause .

4-There must be timeless ,immaterial,eternal ,uncaused cause ,

5-Therefore,God exists .

Sasa hizo points ndiyo zilitumika ku debate kuwa God Exists,Imagine sasa hivi tukiamua ku debate hizo points hapo juu,what will happen ? Infact tutatumia points hizo hizo ku crash kuwa God exists ,true or false ?

If you say whatever begins to exist has a cause ,then how God came to be ?

Haya mambo ya dini yalifanikiwa kwa kuwa yametengenezwa from the very beginning of our lives time as Core Belief,to change the core belief is not an easy thing,hata hao wanaobadili dini mara nyingi ni maslaha fulani tu,kuoa/kuolewa,ili kupata elimu ,umaskini uliokithiri etc etc .The problem of Core belief ni kwamba hata kama ukiwa presented na evidence,as long as hiyo evidence doesn't fit to your core belief,you will deny the truth,you will ridicule the truth.So ,infact we are not trying to change your faith or something like ,but we are trying to explore the truth evidence supports of these religions and their claims of TRUTH,anything claims to be true ,must be questioned,because truth is being in accord with fact or reality .

—Does your faith accord with fact ,evidence and reality ? Do you care what you believe is true or not ? If you don't care ,then ,there is no need to debate about this ,right ? If you really care ,what steps have you taken to ensure you do have the most accurate understanding of your doctrine ?

You need to separate the chaff From The Wheat As Jesus Said .

—We Need The Kiss Of Truth To Wake Up From This Hypnotized State,Because Truth Will Make Love,Not War ,Not Discrimination,Not Dividing People And All Sorts Of BS From These Religions•

Thanks .
Mara nyingi huwa nasema kuwa suala la uwepo wa mungu ni la imani lakini bahati mbaya watu hawanielewi,sasa mtu anapokwambia umpe uthibitisho katika suala la imani ndipo tatizo linapoanza.

Na ndiyo maana mie huwa sijisumbui na kuthibitisha uwepo wa mungu,suala likishakuwa la imani basi kuna watakao amini na watakaokataa kuamini. Laiti kungekuwa na uthibitisho wa aina wautakao atheists basi hili suala lisingekuwa la imani.
 
Mada inachosha na inaumiza akili....mie tangu niliposoma mahala kwamba Mungu aliufanya moyo wa farao kuwa mgumu asiwaruhusu wana wa israel....wakati huo huo anamtuma musa akanigoshieti kuachiliwa kwao....hapo ndo najua kweli....ubashite unahistoria ndefu sana.
 
Mada inachosha na inaumiza akili....mie tangu niliposoma mahala kwamba Mungu aliufanya moyo wa farao kuwa mgumu asiwaruhusu wana wa israel....wakati huo huo anamtuma musa akanigoshieti kuachiliwa kwao....hapo ndo najua kweli....ubashite unahistoria ndefu sana.
Kwanini umesema hivyo? Fafanua kidogo,tungo tata hiyo.

Mimi nina swali.

Hivi kama Mungu yupo, halafu Mungu anaufanya moyo wa Farao uwe mgumu, Farao afanye dhambi kwa sababu Mungu kaufanya moyo wa Farao uwe mgumu.

Siku ya hukumu kwa wanaoamini ipo, Farao atahukumiwa kwa dhambi ambazo alizifanya kwa sababu Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu?

Mungu akimhukumu Farao kwa dhambi ambazo alizifanya kwa sababu Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, Mungu huyu atakuwa hajamuonea Farao kweli?
 
Kwanini umesema hivyo? Fafanua kidogo,tungo tata hiyo.

Mimi nina swali.

Hivi kama Mungu yupo,halafu Mungu anaufanya moyo wa Farao uwe mgumu, Farao afanye dhambi kwa sababu Mungu kaufanya moyo wa Farao uwe mgumu.

Siku ya hukumu kwa wanaoamini ipo, Faraoatahukumiwa kwa dhambi ambazo alizifanya kwa sababu Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu?

Mungu akimhukumu Farao kwa dhambi ambazo alizifanya kwa sababu Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, Mungu huyu atakuwa hajamuonea Farao kweli?




Kuna Mawili.

-1 -inawezekana hivi vitabu vimejaa uongo mwingi uliopenyezwa,Sasa as time goes on watu akili zinapanuka na kuona mambo mengine hayaingii akili ,

Kwanza tukichunguza uandishi wa hivi vitabu ulivyofanyika unatia mashaka sana,mfano hivi vitabu vyote kuanzia Biblia na Quran vilikusanywa kwa maandishi kwa pamoja baada ya hao mitume kutokuwepo,Biblia imekuwa grouped na kuwa translated into dozens of language baada ya huyo Yesu,kuuliwa au kupaaa whatever,Na the interesting thing about Bible is ,Christians rely on those translations as the word of God ,utakuta mswahili kashika Biblia ya Kiswahili alafu anakwambia HILI NI NENO LA MUNGU ,How ? Kama kweli hayo mawasiliano kati ya Mungu na Yesu yalikuwepo ,then Biblia ya Kiswahili haiwezi kuwa ni neno la mungu bali ni maana ya yale maneno ya mungu ,because HIYO communication ilikuwa lazima ifanyike katika language ambayo Jesus could understand,sasa how biblia ya Kiswahili iwe ni neno la mungu ? what was the original language of bible ?

Sote tunajua kuwa unapotafsiri kitu kwanza unaharibu ualisia pili inakuwa nirahisi kubadili mambo na ku distort the message , kwahiyo uhalali na uaminifu wa hawa waandishi wa hivi vitabu tunauweka Kwenye kundi gani ?

kuwa waliweka accurate information,na I am sure it can't be accurate because the information contradicts itself thousands times ,Kwahivyo ni dhahiri kuna uongo mwingi Ambao ni old version kwa watu wa Karne yetu.

Aidha ,Quran imekuwa grouped kwa pamoja baada ya kifo cha Muhammad(saw),kwenye utawala wa khalifa wake aitwaye Abubakar Sidiq,tena inasemekana wale waliokuwa wanaikusanya walifika pahali kukawa kuna contradiction ya ayah (verse), ambayo ilikuwa imehifadhiwa na sahaba(companion) mmoja tu ,So Abubakar Sidiq akatoa rai kuwa hiyo ayah iandikwe tu kwa Sababu huyo sahaba aliyehifadhi ni sawa kama wamehifadhi masahaba wawili.kwahiyo kumbe kwenye uandishi wa hivi vitabu kulikuwa kunauwezekano wa watu kutoa rai zao,hii ni Hatari juu ya Truth .

The Interesting thing about Muslims ,90% ya non arabic speaker Muslims hawaielewi Quran ,lakini hao 90% almost wote wamehifadhi Quran ,wewe tafuta muislam hata mtaani kwako mwambie akusomee part ya Quran aliyohifadhi,I am sure lazima atasoma ,akimaliza muulize maana yake nini ,you will be surprised ,ukimuuliza Sasa how come unahifadhi something you don't understand,atakuambia hiyo ndiyo miujiza ya Quran.

-2- Haya matukio yote hayakutokea Kabisa ,and non of them existed .Ni personal idea za watu TU .
 
Kwanini umesema hivyo? Fafanua kidogo,tungo tata hiyo.

Mimi nina swali.

Hivi kama Mungu yupo, halafu Mungu anaufanya moyo wa Farao uwe mgumu, Farao afanye dhambi kwa sababu Mungu kaufanya moyo wa Farao uwe mgumu.

Siku ya hukumu kwa wanaoamini ipo, Farao atahukumiwa kwa dhambi ambazo alizifanya kwa sababu Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu?

Mungu akimhukumu Farao kwa dhambi ambazo alizifanya kwa sababu Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, Mungu huyu atakuwa hajamuonea Farao kweli?
Maana ya kufanya moyo kuwa mgumu ni nini?
 
Kuna Mawili.

-1 -inawezekana hivi vitabu vimejaa uongo mwingi uliopenyezwa,Sasa as time goes on watu akili zinapanuka na kuona mambo mengine hayaingii akili ,

Kwanza tukichunguza uandishi wa hivi vitabu ulivyofanyika unatia mashaka sana,mfano hivi vitabu vyote kuanzia Biblia na Quran vilikusanywa kwa maandishi kwa pamoja baada ya hao mitume kutokuwepo,Biblia imekuwa grouped na kuwa translated into dozens of language baada ya huyo Yesu,kuuliwa au kupaaa whatever,Na the interesting thing about Bible is ,Christians rely on those translations as the word of God ,utakuta mswahili kashika Biblia ya Kiswahili alafu anakwambia HILI NI NENO LA MUNGU ,How ? Kama kweli hayo mawasiliano kati ya Mungu na Yesu yalikuwepo ,then Biblia ya Kiswahili haiwezi kuwa ni neno la mungu bali ni maana ya yale maneno ya mungu ,because HIYO communication ilikuwa lazima ifanyike katika language ambayo Jesus could understand,sasa how biblia ya Kiswahili iwe ni neno la mungu ? what was the original language of bible ?

Sote tunajua kuwa unapotafsiri kitu kwanza unaharibu ualisia pili inakuwa nirahisi kubadili mambo na ku distort the message , kwahiyo uhalali na uaminifu wa hawa waandishi wa hivi vitabu tunauweka Kwenye kundi gani ?

kuwa waliweka accurate information,na I am sure it can't be accurate because the information contradicts itself thousands times ,Kwahivyo ni dhahiri kuna uongo mwingi Ambao ni old version kwa watu wa Karne yetu.

Aidha ,Quran imekuwa grouped kwa pamoja baada ya kifo cha Muhammad(saw),kwenye utawala wa khalifa wake aitwaye Abubakar Sidiq,tena inasemekana wale waliokuwa wanaikusanya walifika pahali kukawa kuna contradiction ya ayah (verse), ambayo ilikuwa imehifadhiwa na sahaba(companion) mmoja tu ,So Abubakar Sidiq akatoa rai kuwa hiyo ayah iandikwe tu kwa Sababu huyo sahaba aliyehifadhi ni sawa kama wamehifadhi masahaba wawili.kwahiyo kumbe kwenye uandishi wa hivi vitabu kulikuwa kunauwezekano wa watu kutoa rai zao,hii ni Hatari juu ya Truth .

The Interesting thing about Muslims ,90% ya non arabic speaker Muslims hawaielewi Quran ,lakini hao 90% almost wote wamehifadhi Quran ,wewe tafuta muislam hata mtaani kwako mwambie akusomee part ya Quran aliyohifadhi,I am sure lazima atasoma ,akimaliza muulize maana yake nini ,you will be surprised ,ukimuuliza Sasa how come unahifadhi something you don't understand,atakuambia hiyo ndiyo miujiza ya Quran.

-2- Haya matukio yote hayakutokea Kabisa ,and non of them existed .Ni personal idea za watu TU .
Mkiulizwa idea ya dini ilianza wapi hamjui ila mmeshikilia tu kuwa ni mawazo ya watu.

Mnatumia muda mwingi na maneno mengi kupinga uwepo wa mungu ila hamna muda kabisa wa kufikiri huo uwezokano wa kutokuwepo mungu? mlishawahi kufikiri pia kama ina make sense kutokuwepo kwa mungu au chochote tu kile ambacho ndiyo kitakuwa ni nafasi ya mungu?

Tatizo kupinga ni rahisi tena hasa katika mambo kama haya ya imani.
 
Maana ya kufanya moyo kuwa mgumu ni nini?
Ni kumuingilia asifanye alichoweza kufanya mwenyewe na kumfanya awe mbishi kuhusu kuwaachia "watu wa Mungu" waende.

Kwa mujibu wenu:-

Mungu wenu anapoingilia uhuru wa mtu kuamua, mtu akafanya vibaya kwa sababu Mungu wenu kamuingilia uhuru wake wa kuamua, siku ya hukumu huyu Mungu akimhukumu (penalize) huyu mtu kwa kufanya kile ambacho hakuwa na uhuru wa kutokifanya kwa sababu Mungu alimlazimisha, huyo Mungu atakuwa sawa?
 
Kuna Mawili.

-1 -inawezekana hivi vitabu vimejaa uongo mwingi uliopenyezwa,Sasa as time goes on watu akili zinapanuka na kuona mambo mengine hayaingii akili ,

Kwanza tukichunguza uandishi wa hivi vitabu ulivyofanyika unatia mashaka sana,mfano hivi vitabu vyote kuanzia Biblia na Quran vilikusanywa kwa maandishi kwa pamoja baada ya hao mitume kutokuwepo,Biblia imekuwa grouped na kuwa translated into dozens of language baada ya huyo Yesu,kuuliwa au kupaaa whatever,Na the interesting thing about Bible is ,Christians rely on those translations as the word of God ,utakuta mswahili kashika Biblia ya Kiswahili alafu anakwambia HILI NI NENO LA MUNGU ,How ? Kama kweli hayo mawasiliano kati ya Mungu na Yesu yalikuwepo ,then Biblia ya Kiswahili haiwezi kuwa ni neno la mungu bali ni maana ya yale maneno ya mungu ,because HIYO communication ilikuwa lazima ifanyike katika language ambayo Jesus could understand,sasa how biblia ya Kiswahili iwe ni neno la mungu ? what was the original language of bible ?

Sote tunajua kuwa unapotafsiri kitu kwanza unaharibu ualisia pili inakuwa nirahisi kubadili mambo na ku distort the message , kwahiyo uhalali na uaminifu wa hawa waandishi wa hivi vitabu tunauweka Kwenye kundi gani ?

kuwa waliweka accurate information,na I am sure it can't be accurate because the information contradicts itself thousands times ,Kwahivyo ni dhahiri kuna uongo mwingi Ambao ni old version kwa watu wa Karne yetu.

Aidha ,Quran imekuwa grouped kwa pamoja baada ya kifo cha Muhammad(saw),kwenye utawala wa khalifa wake aitwaye Abubakar Sidiq,tena inasemekana wale waliokuwa wanaikusanya walifika pahali kukawa kuna contradiction ya ayah (verse), ambayo ilikuwa imehifadhiwa na sahaba(companion) mmoja tu ,So Abubakar Sidiq akatoa rai kuwa hiyo ayah iandikwe tu kwa Sababu huyo sahaba aliyehifadhi ni sawa kama wamehifadhi masahaba wawili.kwahiyo kumbe kwenye uandishi wa hivi vitabu kulikuwa kunauwezekano wa watu kutoa rai zao,hii ni Hatari juu ya Truth .

The Interesting thing about Muslims ,90% ya non arabic speaker Muslims hawaielewi Quran ,lakini hao 90% almost wote wamehifadhi Quran ,wewe tafuta muislam hata mtaani kwako mwambie akusomee part ya Quran aliyohifadhi,I am sure lazima atasoma ,akimaliza muulize maana yake nini ,you will be surprised ,ukimuuliza Sasa how come unahifadhi something you don't understand,atakuambia hiyo ndiyo miujiza ya Quran.

-2- Haya matukio yote hayakutokea Kabisa ,and non of them existed .Ni personal idea za watu TU .
Ni utumwa wa kisaikolojia tu.

Huyu Mungu anayesemwa na hivi vitabu hayupo.

Kwa sababu unaweza kum disprove kwa kutumia kitu rahisi kama a logical truth table.
 
Mkiulizwa idea ya dini ilianza wapi hamjui ila mmeshikilia tu kuwa ni mawazo ya watu.

Mnatumia muda mwingi na maneno mengi kupinga uwepo wa mungu ila hamna muda kabisa wa kufikiri huo uwezokano wa kutokuwepo mungu? mlishawahi kufikiri pia kama ina make sense kutokuwepo kwa mungu au chochote tu kile ambacho ndiyo kitakuwa ni nafasi ya mungu?

Tatizo kupinga ni rahisi tena hasa katika mambo kama haya ya imani.
Kwa nini swali la idea ya dini ilianzia wapi liwe muhimu sana?

Idea ya dini ilianzia kwenye ujinga.

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ana ujuzi wote, kaumba ulimwengu, kwa nini hakuuumba ulimwengu uwe hauwezekani kuwa na mabaya yoyote wakati alikuwa na uwezo huo?

Hujajibu swali hili.
 
Hujajibu swali.

Mtu ana free will ya kuwa Mungu?
Nimekuuliza bado hatujaelewana? kwa sababu uliuliza kama mtu ana freewill ya kupaa na tena unauliza kama mtu ana freewill ya kuwa mungu? ndiyo maana nauliza bado hatujaelewana kwa sababu unaweza ukaniuliza maswali hadi mia na mie sipo hapa kuulizwa tu maswali na kujibu.

Nauliza tena bado hatujaelewana?
 
Nimekuuliza bado hatujaelewana? kwa sababu uliuliza kama mtu ana freewill ya kupaa na tena unauliza kama mtu ana freewill ya kuwa mungu? ndiyo maana nauliza bado hatujaelewana kwa sababu unaweza ukaniuliza maswali hadi mia na mie sipo hapa kuulizwa tu maswali na kujibu.

Nauliza tena bado hatujaelewana?

Kupaa na kuwa Mungu ni sawa?

Utakuwaje na freewill ya kupaa wakati huwezi kupaa?
 
Kwa nini swali la idea ya dini ilianzia wapi liwe muhimu sana?

Idea ya dini ilianzia kwenye ujinga.

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ana ujuzi wote, kaumba ulimwengu, kwa nini hakuuumba ulimwengu uwe hauwezekani kuwa na mabaya yoyote wakati alikuwa na uwezo huo?

Hujajibu swali hili.
Huko kwenye ujinga ndiyo wapi?



Halafu ushasema kuwa ana ujuzi na uwezo wote, na unasema kabisa kuwa anao uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani lakini hakuumba hivyo,je ni nini tena unachotaka kuuliza?

Au unataka kusema aina hii ya ulimwengu ambao maovu yanawezekana hata wewe huo ujuzi na uwezo unao?
 
Huko kwenye ujinga ndiyo wapi?

Zamani.


Halafu ushasema kuwa ana ujuzi na uwezo wote, na unasema kabisa kuwa anao uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani lakini hakuumba hivyo,je ni nini tena unachotaka kuuliza?

Inaelekea huna uelewa wa maana ya neno "kama".

Au unataka kusema aina hii ya ulimwengu ambao maovu yanawezekana hata wewe huo ujuzi na uwezo unao?

Ujuzi na uwezo gani?

Sentensi hii haijajitosheleza kueleweka kama ilivyo, nitabashiri kwamba unamaanisha "huo ulimwengu ambao maovu yanawezekana hata wewe una ujuzi na uwezo wa kuuumba?"

Mimi kutokuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuthibitishi Mungu mwenye uwezo huo, ujuzi huo na upendo yupo.

Na hakujibu swali langu.

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya mengi sana yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya yoyote hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

Hujajibu.
 
Kupaa na kuwa Mungu ni sawa?

Utakuwaje na freewill ya kupaa wakati huwezi kupaa?
Hata kuwa panya na kupaa pia si sawa,je ndiyo utaniuliza kila kitu kama kina freewill au hakuna?


Nilifikiri mfano wa baiskeli ulitosha kujibu hilo swali lako la kupaa!
 
Zamani.




Inaelekea huna uelewa wa maana ya neno "kama".



Ujuzi na uwezo gani?

Sentensi hii haijajitosheleza kueleweka kama ilivyo, nitabashiri kwamba unamaanisha "huo ulimwengu ambao maovu yanawezekana hata wewe una ujuzi na uwezo wa kuuumba?"

Mimi kutokuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuthibitishi Mungu mwenye uwezo huo, ujuzi huo na upendo yupo.

Na hakujibu swali langu.

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya mengi sana yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya yoyote hayawezekani?

Hujajibu swali hili.

Hujajibu.
Zamani ndiyo nini sasa? hebu fafanua.


Sasa ulimwengu huu wenye kuruhusu maovu unathibitisha vp kuwa hakuna mungu mwenye upendo,ujuzi na uwezo huo kuwa hayupo?
 
Back
Top Bottom