Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
inafikirisha sana hii comment yakoKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inafikirisha sana hii comment yakoKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Duh.... We jamaaKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Nmerudia kusoma hii comment zaidia ya mara tatu , uandishi wako haukua na mashaka seems ulikua unajua nini kitatoea , aisee [emoji119][emoji119]Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Watu ni wachawiKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Duu!! We jamaa alijuaje kuwa haya mambo yatatokea?Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Mkuu Camilo Cienfuegos upo? Heshima kwako. Vipi una lolote la kutuambia tena?Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Dah asee ata mwenyw nimesoma sana hiyo comment hakika inafikirisha nimetamani uyo jamaa aje tumuulize maswali machache.Nmerudia kusoma hii comment zaidia ya mara tatu , uandishi wako haukua na mashaka seems ulikua unajua nini kitatoea , aisee [emoji119][emoji119]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Katengeneze kaburini huko msaidianewacha kupotosha mabutu alikimbia baada ya uvamizi wa majeshi ya Kabila yakisaidiwa na majeshi ya Rwanda na Uganda, ndio maana ipo haja ya kuweka Air base nzito maeneo ya Geita, kwa sasa tunategemea base ya Ngerengere na Mwanza pekee.
Mh! Ulibahatisha au Ni NdumbayeyeKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
CoincidenceKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Nyie watu sio wa mchezomchezoKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Nami nimeshtukaNyie watu sio wa mchezomchezo
Halafu watu hawajui nilivyompigania kiongozi wetu Mtukufu kwenye forum za Wakenya! Hivi ni huyuhuyu aliyekataa kupanda ndege akasema atasafiri kwa barabara leo hii anajenga uwanja wa kimataifa Chato? Haki uzalendo umenishinda daah hii kali! Hapa Ubadhirifu tuu! Huyu jamaa ana element za nepotism hili lisemwe wazi sasa bila kumuogopa...
Hivi ni nani hapa dunian alishawahi kuwafanyia binadam wenziye uovu na akaishia pazuri?!!! Mwisho wa waovu wote huwa ni mbaya tu, huwa wanarukaruka tu wakati wakiwa na madaraka au pesa lakin mwisho wao huwa ni ama mateso au aibu nzito sana..Camilo Cienfuegos ndiye huyu jamaa Tumia akili
Muda umeshatoa majibu.Umemuelewa lakini mleta mada au unakurupuka.
Mshaurini vizuri mkuu wa nchi.
Km Chache toka Mji wa Chato kuna kiwanja cha ndege cha Biharamulo eneo la Katoke.
Kiwanja hicho ni cha nyasi kilipaswa kikarabatiwe ili Kitumike kwa manufaa ya Watu wa Biharamulo na Chato.
Miundo mbinu inapaswa iangalie pia masuala ya kiuchumi. Chato haina hadhi ya kuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa ni kupoteza rasilimali fedha za umma.
Baada ya Kuhamia Dodoma ambapo napo patajengwa Uwanja wa ndege wa kimataifa viwanja vya ndege vya miji midogo ya pembezoni vitakufa .
Watu watatoka Dodoma na kutumia usafiri wa magari mana patakuwa karibu kwenda Tabora ,Singida, Geita n.k.
Ndio maana huwezi leo ukajenga kiwanja cha ndege Kibaha kwani tayari uwanja wa mwalimu Nyerere unatosha.
Mleta mada anakuonyesha jinsi majumba na viwanja vya ndege alivyojijengea Mabuto Sese seko kwa kuamini kuwa atakua raisi wa maisha vimekufa baada ya kuja kiongozi Mwingine mwenye maono tofauti na yake.
Hata hivyo MUDA ndio utakao toa majibu sahihi kwenye awamu hii ya tano.
Kwann ulisema hiviKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
ht mm nimestaajabu sana kumbe hy mmb yalipngwa zaman snKwann ulisema hivi
UTABIRI ULIOISHIKufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu