How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

Hii thread inatufundisha mambo makubwa sana ya kiroho......tuheshimu na kukanyaga hii ardhi ya Mwenyezi Mungu kwa adabu sana.

Tusifanye mambo yatakayoiudhi sehemu kubwa ya jamii....

MUNGU YUPO.

Huyu Camilo Cienfuegos sio wa kumbeza....,kuna kitu alikiona , alikuwa na uhakika ,akasema bila kupepesa macho.

Yametokea.
 

Enzi hizo kichwa kikiwa timamu.,hahah.
 
Hivi ni nani hapa dunian alishawahi kuwafanyia binadam wenziye uovu na akaishia pazuri?!!! Mwisho wa waovu wote huwa ni mbaya tu, huwa wanarukaruka tu wakati wakiwa na madaraka au pesa lakin mwisho wao huwa ni ama mateso au aibu nzito sana..

Mwili na/au Damu ya mwanadamu ni kitu kizito sana..laiti ma ccm yangelitambua hilo mapema before its too late.
 
Muda umeshatoa majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…