How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

Acha kutetea upumbavu wewe! Narudia, acha kutetea upumbavu! Kwa viongozi wengine wapi huko? Nyerere? Wapi? Unazungumzia Uwanja wa Ndege Musoma? Ina maana hufahamu kwamba Musoma ni Makao Makuu ya Mkoa? Unalinganisha vp Musoma na Chato?

Huyo Mwinyi wapi? Una habari kwamba Mwinyi kwao ni Mkuranga? Mkuranga kuna Uwanja wa Ndege pale? Mkuranga kuna investment yoyote ya kipumbavu iliyofanyika in favor of Mwinyi? Or, let's consider Mwinyi ni Mzanzibari! Ni investment gani imefanyika Zanzibar kwa sababu tu Mwinyi alikuwa Rais?

Au unamzungumzia Mkapa? Unafahamu kwamba Mkapa kwao ni Masasi? Hivi unafahamu kwamba ingawaje Masasi ni Wilaya lakini ukubwa wake na population yaeke inashindina na mikoa kadhaa Tanzania hii? Masasi kuna Uwanja wa Ndege? Uliza Wayao na Wamakuwa kama hata ndege yenyewe wanaifahamu? Au ni investment gani ya kipumbavu unaizungumzia ambayo Mkapa ameifanya kwao? Mkapa ni mtu wa Kusini na kilio ca watu wa Kusini miaka yote ilikuwa barabara! Hivi una habari hata baada ya kukaa miaka 10 madarakani Mkapa aliiacha Barabara ya Kibiti ikiwa kimeo? Sasa hao viongozi unaozungumzia wewe wanajenga kwao ni akina nani?

Au ni Kikwete? Unatakiwa kukumbushwa kwamba JK aliingia Magogoni akitokea kuwa Mbunge wa Chalinze huku akifahamika zaidi kama mtu wa Bagamoyo? Hadi ametoka madarakani kuna investment gani ya kijinga aliifanya Bagamoyo au Chalinze? Chat kuna nini hata udhanie forecast ya miaka 40 itafanya international airport iwe viable investment? Unaweza kulinganisha potential ya Bagamoyo na Chato hata kama wangejenga huko Bagamoyo? By the way, hivi unafahamu lengo la kuataka kujenga Uwanja wa Ndege Bagamoyo ni kv ilionekana Uwanja wa Dar es salaam umezungukwa na makazi ya watu kwahiyo ilikuwa ni busara kutafuta eneo lingine jambo ambalo hufanyika kwenye nchi nyingi! Pamoja na yote hayo, bado watu wakaona that's stupid idea for the time being... sasa unafananisha vp Bagamoyo na Chato? Au ndo yale yale ya kupeleka hadi taa za barabarani wakati hata magari yenyewe hakuna?
View attachment 380578


Una matatizo ya uelewa hivyo siwezi kupoteza muda wangu kujibizana na wewe, nimesema hakuna Kiongozi ambaye hakupeleka/ hakupelekewa miradi kwao alipotoka huo ndiyo ukweli kama hautaki sikulazimishi!
 
Ila wee bibi unaboa sana. Una ushabiki uliopitiliza. Kwani huyo jpm alipata kura yako pekee? Mbona wengi walimpigia na kumpenda lakini haina maana kuwa kila afanyalo ni sahihi.

Kweli unalingamisha Daraja la Mkapa na Uwanja wa ndege wa kimataifa Geita?
Unalinganisha Mtwara Corridor na Uwanja wa kimataifa wa geita?
Unalinganisha Bagamoyo Mega port na Uwanja wa Kimataifa Geita?
Unamaanisha kweli kuwa Kisarawe imeendelea? Kwa lipi hasa?


Hata wewe haulewi ninachomaanisha, ni kwamba hakuna Kiongozi wa TZ kuanzia Mlm.Nyerere - Kikwete ambaye fedha zetu za kodi hazikutumika kujenga/ kujengewa kwao alikotoka!
 
Kitu kinachoufanya kuwa na manufaa na prospect nzuri sasa na hata hapo baadae! na maamuzi ya kuujenga yalifanywa na TAA bila ya shinikizo la kisiasa! Ule wa Chato Mwanza airport ipo umbali wa km 128 toka Chato! narudia hauna ulazima, Km 128 ni mahali pafupi sana kujenga viwanja viwili vya kimataifa!


Hilo Uwanja wa Ndege la Kimataifa umelitoa wapi? Nimekuuliza hilo swali lkn haunipi jibu, hii hapo chini ndiyo tenda ya rasmi iliyotangazwa na Serikali, nikiisoma sioni mahali walipoanadika Chato internation Airport hivyo niambie hayo maelezo yako ya International Airport ulikoyato!

1470920317098-jpg.379672
 
Acha kutetea upumbavu wewe! Narudia, acha kutetea upumbavu! Kwa viongozi wengine wapi huko? Nyerere? Wapi? Unazungumzia Uwanja wa Ndege Musoma? Ina maana hufahamu kwamba Musoma ni Makao Makuu ya Mkoa? Unalinganisha vp Musoma na Chato?

Huyo Mwinyi wapi? Una habari kwamba Mwinyi kwao ni Mkuranga? Mkuranga kuna Uwanja wa Ndege pale? Mkuranga kuna investment yoyote ya kipumbavu iliyofanyika in favor of Mwinyi? Or, let's consider Mwinyi ni Mzanzibari! Ni investment gani imefanyika Zanzibar kwa sababu tu Mwinyi alikuwa Rais?

Au unamzungumzia Mkapa? Unafahamu kwamba Mkapa kwao ni Masasi? Hivi unafahamu kwamba ingawaje Masasi ni Wilaya lakini ukubwa wake na population yaeke inashindina na mikoa kadhaa Tanzania hii? Masasi kuna Uwanja wa Ndege? Uliza Wayao na Wamakuwa kama hata ndege yenyewe wanaifahamu? Au ni investment gani ya kipumbavu unaizungumzia ambayo Mkapa ameifanya kwao? Mkapa ni mtu wa Kusini na kilio ca watu wa Kusini miaka yote ilikuwa barabara! Hivi una habari hata baada ya kukaa miaka 10 madarakani Mkapa aliiacha Barabara ya Kibiti ikiwa kimeo? Sasa hao viongozi unaozungumzia wewe wanajenga kwao ni akina nani?

Au ni Kikwete? Unatakiwa kukumbushwa kwamba JK aliingia Magogoni akitokea kuwa Mbunge wa Chalinze huku akifahamika zaidi kama mtu wa Bagamoyo? Hadi ametoka madarakani kuna investment gani ya kijinga aliifanya Bagamoyo au Chalinze? Chat kuna nini hata udhanie forecast ya miaka 40 itafanya international airport iwe viable investment? Unaweza kulinganisha potential ya Bagamoyo na Chato hata kama wangejenga huko Bagamoyo? By the way, hivi unafahamu lengo la kuataka kujenga Uwanja wa Ndege Bagamoyo ni kv ilionekana Uwanja wa Dar es salaam umezungukwa na makazi ya watu kwahiyo ilikuwa ni busara kutafuta eneo lingine jambo ambalo hufanyika kwenye nchi nyingi! Pamoja na yote hayo, bado watu wakaona that's stupid idea for the time being... sasa unafananisha vp Bagamoyo na Chato? Au ndo yale yale ya kupeleka hadi taa za barabarani wakati hata magari yenyewe hakuna?
View attachment 380578


Tangazo la Serikali hili hapa chini, ni wapi pameandikwa kwamba Chato international Airport mnayoiongelea?

1470920317098-jpg.379672
 
Ila wee bibi unaboa sana. Una ushabiki uliopitiliza. Kwani huyo jpm alipata kura yako pekee? Mbona wengi walimpigia na kumpenda lakini haina maana kuwa kila afanyalo ni sahihi.

Kweli unalingamisha Daraja la Mkapa na Uwanja wa ndege wa kimataifa Geita?
Unalinganisha Mtwara Corridor na Uwanja wa kimataifa wa geita?
Unalinganisha Bagamoyo Mega port na Uwanja wa Kimataifa Geita?
Unamaanisha kweli kuwa Kisarawe imeendelea? Kwa lipi hasa?


Hilo la Uwanja ya ndege wa Kimataifa mmelitoa wapi? Tenda ya rasmi ya Serikali hii hapa chini na sioni mahali palipoandikwa Chato international Airport, sasa niambieni mlipoitoa!

1470920317098-jpg.379672
 
Hilo la Uwanja ya ndege wa Kimataifa mmelitoa wapi? Tenda ya rasmi ya Serikali hii hapa chini na sioni mahali palipoandikwa Chato international Airport, sasa niambieni mlipoitoa!

1470920317098-jpg.379672


Japo napitia haya mambo kimya baada ya JokaKuu kuniita huku lakini unatia aibu kiaina, yaani 3,000m runway na bado unatafuta neno "international". Runway ya JNIA ile ndefu zaidi ni 3,000m
 
Japo napitia haya mambo kimya baada ya JokaKuu kuniita huku lakini unatia aibu kiaina, yaani 3,000m runway na bado unatafuta neno "international". Runway ya JNIA ile ndefu zaidi ni 3,000m


Kwani international Airport maana yake nini?
 
Haya ni matokeo ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, nasisi tukiwalea akina Lissu tutafika huko, tuwekee na mji wa syria Libya na Iraq,
Ni matokeo ya kuwekeza nyumbani kwa kila kiongozi anayeingia
 
Haya yote ni kwa sababu katika elimu yetu Primary hadi University hakuna sehemu ya kusisitiza uzalendo / Utanzania. Ni lazima liwepo somo linalosomwa na watanzania tu kwa ajili ya kuipenda na kuitumikia Tanzania.
 
Mjenge kwa hela zenu si hela ya kodi yetu! Chato kama ilivyo itakaribisha wakina Raila tu na haina umuhimu wa Uwanja wa Kimataifa ikiwa wa Mwanza upo!
yule alikuja na bandari ya bagamoyo huyu anakuja na uwanja wa kimataifa wa chato....what a selfishness of African corrupted leaders....!!
 
Chatto ipelekwe na reli ya standard gauge na fry over ni pazuri kwa uwekezaji.Sasa hivi airport na traffic light zipo.Pombe tufanyie chatto yetu na liwe jiji la chatto kabla ya 2025
hahahaha( fry over) kweli kwa stail hii mnahitaji airport!!!!
 
Huu ni ubinafsi uliopitiliza. Tukatae. Kwa nini hakuna Butiama International Airport? Usilazimishe wananchi wako kuwapenda ISIS.
 
Yaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wizu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
Hasira za nini bi mkubwa, kama hujui hata kusoma picha bora uka fyatulishwe tu huko Lumumba fc mnatia hasira!!
 
Kuna Kiongozi wa Tanzania ambaye hajawahi kujenga kwao ukiondoa Mkapa tena ambaye anachekwa na kulaumiwa na Watz hao hao kama wewe alipoenda kujenga Lushoto badala ya kwao Mtwara, hata hivyo Mkapa alijenga Daraja kwao lijulikanalo kama Daraja la Mkapa, alifufua Mtwara corridor ambapo lengo ni kuunganisha Bandari ya Mtwara na Ziwa Nyasa vile vile alijenga Daraja la umoja kuunganisha TZ (Mtwara) na Msumbiji kote huko ni kwao yeye Mkapa?

Mlm.Nyerere aliijenga kwao Butiama leo hii hata mtoto mdogo anajua Butiama ni nini na wapi ingawaje hakuna chochote huo isipokuwa ni kwamba ni mahali alipotoka Mlm.Nyerere hata Mkoa wa Mara haukuwepo wkt tunapata uhuru lkn Ml.Nyerere aliuanzisha kwa sababu ni kwao achilia mbali Wakuu wote wa Majeshi TZ walitokea Mkoa wa Mlm.Nyerere Mara, ingawaje hiyo ni mada nyingine, akaja Mwinyi kwetu Pwani kulikuwa hakujulikani kwanza yote tulikuwa kama sehemu ya Mkoa wa Dar kwa kuwa Mwinyi kwao asilia ni Kisarawe akaanzisha hiyo Wilaya na kuunda rasmi Mkoa wa Pwani kuutenganisha na Dar leo hii Kisarawe imeendelea ni kwa sababu ya Mwinyi tu, akaja Kikwete hakuna aliyeijua Msoga na Chalinze ukiachia njia ya kuendea Mikoani lkn Kikwete (Serikali) aliwekeza Bagamoyo na Chalinze mambo mengi yalifanyika huko kama mradi mkubwa wa maji kwenda Chalinze, hata kulikuwa na mpango wa kujenga Airport mpya na kubwa ya Kimataifa Bagamoyo achilia mbali Bandari ya Bagamoyo na mambo mengine mengi tu, sasa kwa nini kwa raisi Magufuli ije kuwa nongwa na tayari mnamlinganisha na Mobutu kama siyo chuki binafsi ni nini?

Inawezekana kabisa labda ndiyo mfumo wetu na mpango wa Serikali yetu kwamba Kiongozi Mkuu wa nchi anakotoka kunapewa upendeleo fulani, kwa maana wote ni hivyo hivyo hata Monduli inajulikana tu kwa sababu ya Sokoine, Same imejengwa na kuunganishwa na Umeme na Br. kwa sababu ya Msuya kabla ya Msuya Same ilikuwa ni kijiji tu na vumbi tupu, Manyara umekuwa tu Mkoa kwa kumegwa ktk Arusha kwa sababu ya Sumaye, yeye ndiye aliyefanikisha hilo kwa kuwa ni kwao, Katavi imekuwa tu Mkoa kwa sababu ya Pinda ambaye ni kwao, sasa kwanini iwe ishu kwa Magufuli kama kila Kiongozi kuanzia Nyerere wote walikupa kwao upendeleo maalumu? Kwa nini hamfananishi Mlm.Nyerere na Mobutu?
Uko OP kabisa, kwanini mnakuwa wagumu kuelewa nyinyiLFC, hapa ni Mobutu vs Magu hizo habari nyingine peleka Chatoh!
 
Magufuli haonekani kuwa kiongozi anayeweza kuongoza pasipo vituko na mikasa, na mimi naamini ni suala la muda tu kabla mtu huyu hajaanza kupamba vyombo vya habari vya ndani na kimataifa for all the wrong reasons.

Hatua yake ya kuijenga Chato na kijiji chake cha Kilimani haiwezi kuwa tofauti na hekima ya Mobutu kukijenga kijiji chake cha Gbadolite wakati akiwa Rais wa Zaire - wakati mwingine serikali yote ilikuwa ikihamishiwa huko, na vikao vya Baraza la Mawaziri na vikao vya Usalama vikiendeshwa hukohuko; hata Baba Mtakatifu John Paul wa II alipata kufika Gbadolite na kulala huko.

Kwa speed hizi za Magufuli, naamini ni suala la muda tu kabla hajataka ajengewe Ikulu ndogo Chato na serikali itakuwa ikihamishiwa huko, vikao vya Baraza la Mawaziri vitakuwa vikiitishwa huko - na sababu inaonekana kuwa Magufuli ni kiongozi anayeongoza huku akiwa na hofu kuu mno kuhusu usalama wake,hajiamini hata chembe.

Dar es Salaam anapaogopa, na akifika Dodoma pia atapaogopa - atavutiwa kwenda Chato.

God forbid.
Umesahau Zuma na Nkandla!
 
Back
Top Bottom