How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite



Una matatizo ya uelewa hivyo siwezi kupoteza muda wangu kujibizana na wewe, nimesema hakuna Kiongozi ambaye hakupeleka/ hakupelekewa miradi kwao alipotoka huo ndiyo ukweli kama hautaki sikulazimishi!
 


Hata wewe haulewi ninachomaanisha, ni kwamba hakuna Kiongozi wa TZ kuanzia Mlm.Nyerere - Kikwete ambaye fedha zetu za kodi hazikutumika kujenga/ kujengewa kwao alikotoka!
 


Hilo Uwanja wa Ndege la Kimataifa umelitoa wapi? Nimekuuliza hilo swali lkn haunipi jibu, hii hapo chini ndiyo tenda ya rasmi iliyotangazwa na Serikali, nikiisoma sioni mahali walipoanadika Chato internation Airport hivyo niambie hayo maelezo yako ya International Airport ulikoyato!

 


Tangazo la Serikali hili hapa chini, ni wapi pameandikwa kwamba Chato international Airport mnayoiongelea?

 


Hilo la Uwanja ya ndege wa Kimataifa mmelitoa wapi? Tenda ya rasmi ya Serikali hii hapa chini na sioni mahali palipoandikwa Chato international Airport, sasa niambieni mlipoitoa!

 
Hilo la Uwanja ya ndege wa Kimataifa mmelitoa wapi? Tenda ya rasmi ya Serikali hii hapa chini na sioni mahali palipoandikwa Chato international Airport, sasa niambieni mlipoitoa!



Japo napitia haya mambo kimya baada ya JokaKuu kuniita huku lakini unatia aibu kiaina, yaani 3,000m runway na bado unatafuta neno "international". Runway ya JNIA ile ndefu zaidi ni 3,000m
 
Japo napitia haya mambo kimya baada ya JokaKuu kuniita huku lakini unatia aibu kiaina, yaani 3,000m runway na bado unatafuta neno "international". Runway ya JNIA ile ndefu zaidi ni 3,000m


Kwani international Airport maana yake nini?
 
Haya ni matokeo ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, nasisi tukiwalea akina Lissu tutafika huko, tuwekee na mji wa syria Libya na Iraq,
Ni matokeo ya kuwekeza nyumbani kwa kila kiongozi anayeingia
 
Haya yote ni kwa sababu katika elimu yetu Primary hadi University hakuna sehemu ya kusisitiza uzalendo / Utanzania. Ni lazima liwepo somo linalosomwa na watanzania tu kwa ajili ya kuipenda na kuitumikia Tanzania.
 
Mjenge kwa hela zenu si hela ya kodi yetu! Chato kama ilivyo itakaribisha wakina Raila tu na haina umuhimu wa Uwanja wa Kimataifa ikiwa wa Mwanza upo!
yule alikuja na bandari ya bagamoyo huyu anakuja na uwanja wa kimataifa wa chato....what a selfishness of African corrupted leaders....!!
 
Chatto ipelekwe na reli ya standard gauge na fry over ni pazuri kwa uwekezaji.Sasa hivi airport na traffic light zipo.Pombe tufanyie chatto yetu na liwe jiji la chatto kabla ya 2025
hahahaha( fry over) kweli kwa stail hii mnahitaji airport!!!!
 
Huu ni ubinafsi uliopitiliza. Tukatae. Kwa nini hakuna Butiama International Airport? Usilazimishe wananchi wako kuwapenda ISIS.
 
Yaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wizu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
Hasira za nini bi mkubwa, kama hujui hata kusoma picha bora uka fyatulishwe tu huko Lumumba fc mnatia hasira!!
 
Uko OP kabisa, kwanini mnakuwa wagumu kuelewa nyinyiLFC, hapa ni Mobutu vs Magu hizo habari nyingine peleka Chatoh!
 
Umesahau Zuma na Nkandla!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…