How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

Mshana jr, pascal mayalla hii thread tunaiitaje after 6 years back
 
Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Hii comment yako ni ya August 12, 2016...

Prediction yako ilikuwa ya 2023 lakini ikawahi na kuwa 2020 miaka mi3 kabla...

Ulijuaje mambo haya? Kwa sababu Mr Chato amekufa kweli na mwanamke yuko pale....!

Na huko Chato sijui ni nini kinaendelea kwa sasa. Likely kuwa unabii wa Geza Ulole unatimia mdogo mdogo...
 
Watu wanafanya Mapinduzi ili waingie Ikulu. Why has The Palace been abandoned?
In fact,hata Ikulu yetu imekuwa abandoned baada ya Nyerere kutoka.
That is what I conclude from the scraps of information I receive.
 
Ila hawa wakongongoman hawana akili kabisa. Badala wangebadili matumizi gladolite kikawa chuo kikuu kikubwa kabisa wameacha wanamkomoa marehemu au? Shenzi kabisa
 
Duùh
 
Jf kuna GT walio tukuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…