How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

Kuna watu nimeangalia comments zao humu nataka kulia, mara tunaonewa wivu kwa kuwa na raisi mwadilifu, mara alieandika hii article analeta uchochezi, mara usimfananishe JPM na Mobutu! Watanzania tuna safari ndefu Mno kuufikia ukombozi wa kweli! Kama mwenye access na information na mwenye walau upeo kidogo ndio wako hivi basi Tanzania yangu kwishnei
Watu wangemwangalia mwalimu maisha aliyoishi kabla na baada ya kuwa Rais wa nchi kwa miaka 25. Rais aliyejengewa nyumba na serikali baada ya kukuta bado alikuwa anaishi nyumba aliyoijenga kwenye 50s. Leo unakuwa rais unajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kama Mobutu halafu unahamisha wanyama toka mbuga nyingine kuwaleta kwenu ili upate watalii???
Tushukuru kwamba alitoweka haraka kabla matajiri wote hawajaishia lupango au kutoweka.
 
Watu wangemwangalia mwalimu maisha aliyoishi kabla na baada ya kuwa Rais wa nchi kwa miaka 25. Rais aliyejengewa nyumba na serikali baada ya kukuta bado alikuwa anaishi nyumba aliyoijenga kwenye 50s. Leo unakuwa rais unajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kama Mobutu halafu unahamisha wanyama toka mbuga nyingine kuwaleta kwenu ili upate watalii???
Tushukuru kwamba alitoweka haraka kabla matajiri wote hawajaishia lupango au kutoweka.
nikikumbuka club Billicanas na Much more na mashamba ya Mbowe kule Machame yalivyovunjwa na kuharibiwa kiubabe, jamaa leo hii yupo futi sita kwa ground! Aisee tenda wema uende zako! Yaani marais woote kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete hawakuona ubaya wa biashara zile bali Mkulungwa toka Chato!
 
At least miradi ya Chato ingepelekwa Geita kungekuwa na mji wa maana sana! ila jamaa alijua kugawa zaidi kuliko kuimarisha na kuunganisha!
 
Yaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wivu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
Bado una maoni haya haya tu mpaka Leo?

Aiyekuletea hii kitu ana macho ya kuona miles kadhaa mbele huku akitumia akili..

Na jambo lolote linalofanyika kwa hila na tamaa ya mtu bila kuwa na mipango, Kila mtu aweza ku - predict mwisho wake kwa urahisi tu..

Lakini watu kama nyie mnaoona mambo mwisho wa vichogo vyenu, hamngeweza kuelewa haya..!!
 
Pata picha kwa speed hii, try to figure out, how will Chato be in 2035 after this heavy investment starting now if at all he will stay in power for 10 years, i hear a talk about textile factories but i read of gazetted GOT tenders about construction of an international Airport less than 140 km from what is soon to be Mwanza International Airport while Mtwara and Lindi with resources valued at over $400 bln that need over $30 bln worthy of investment; lays idle without the necessary infrastructure to support those massive investment projects i.e. mega LNG plant. A rival Mozambique has already built an international airport at Nacala to make the movement of poeple easier at both the Nacala port and Ruvuma basin where massive gas at over 160 Tcf compared to ours at 57 Tcf has been discovered!


President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
Cities is supported by

Rockefeller Foundation
The president of what was then Zaire lavished millions on a palace complex and international airport in the remote town of Gbadolite. Guardian photographer Sean Smith heads for the jungle to document the pitiful shell that remains

Where Concorde once flew: the story of Mobutu’s ‘African Versailles’

Sean Smith in Gbadolite

Tuesday 10 February 2015 13.04 GMT Last modified on Tuesday 10 February 2015 14.04 GMT

Save for later

A mural of former President Mobutu outside the mayor’s office in Gbadolite. When Joseph Desire Mobutu took power he renamed himself Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Waza Banga (meaning ‘the all-powerful warrior who, because of endurance and an inflexible will to win, will go from conquest to conquest leaving fire in his wake’)
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

2645d9fc-d331-45f5-865f-9470dcade545-2060x1310.jpeg


The air-traffic control tower of Gbadolite’s international airport, whose runway is long enough to accommodate Concorde. Now it welcomes only two or three tiny aircraft a week from the UN and a commercial operator
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
8dbac820-e933-49a5-8883-4208baad971a-2060x1236.jpeg

Inside the abandoned control tower
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

9d5f02a2-ede1-4780-a3ed-4caab3e01c40-2060x1297.jpeg


The VIP arrivals terminal: Pope John Paul II, UN secretary-general Boutros Boutros Ghali and American televangelist Pat Robertson may have all passed through here
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
32c0ddd8-e5eb-4fa4-b6c0-3805d94c844a-2060x1236.jpeg




Inside the main airport terminal
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
6d73d197-4957-470f-a8d8-759750857478-2060x1236.jpeg


The main terminal at Gbadolite airport
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

6dd40f39-0d0f-48b4-bcb0-ac078eb65d48-2060x1297.jpeg


The Water Ministry building was never finished and is now used as a school
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

6ac1e86b-e8c1-4fca-9315-6ec69282701c-2060x1236.jpeg


Inside the school
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
c0bbd0b0-921c-429e-890d-9012e63bdd67-2060x1267.jpeg





The Motel Nzekele, built by Mobutu, had five stars when it opened in 1979
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
5bc122d3-6dfb-4be9-9371-ce6cdced7cc0-2060x1297.jpeg


The motel’s empty swimming pool. Guests reportedly included the pope, the Belgian king and French president François Mitterrand
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
ad9480cb-9786-48f0-bb16-7dadac42f26d-2060x1327.jpeg


Ripped cinema seating inside the Motel Nzekele
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
54fdca50-06e3-4457-982f-901085dfc616-2060x1236.jpeg


An unfinished bridge in Gbadolite
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
a324e328-2380-40e9-9d26-906b6cea8d84-2060x1236.jpeg


The main gates to Mobutu’s private palace still stand. Locals charge visitors $20 to access the former president’s estate
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
42e135cf-0235-4565-a629-dab114f141de-2060x1330.jpeg


The entrance gate and road to the main palace complex
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
50ebf28f-7e6d-4e42-b961-4b30c2359fa7-2060x1320.jpeg


Walking among the ruins. Mobutu’s private palace, seven miles outside town in Kawele, once brimmed with paintings, sculptures, stained glass, ersatz Louis XIV furniture and marble from Carrara
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
15e1b139-0e60-47ee-b399-42e6abd8eb0d-2060x1280.jpeg

Francois Kosia Ngama, whose grandmother was a teacher to Mobutu’s mother, stands in the disused swimming pool
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
be82b6c0-d5ec-404a-89db-9ea00f76fbdf-2060x1373.jpeg


Mobutu’s palace. In its heyday it employed more than 700 staff - including chauffeurs, chefs and servants - as well as 300 soldiers
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest

846cec32-beba-4019-bfba-d759a5705dba-2060x1236.jpeg

Inside the palace grounds. Slowly but surely, the palace is being reclaimed by the jungle
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
fb0a72e8-955e-4296-94c7-c0332ab82bfc-2060x1287.jpeg


Inside Mobutu’s bedroom. The entire roof of the palace has gone, leaving only a skeleton of red steel girders
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
32a861f6-0af8-40c4-a8d3-25e028daddda-2060x1314.jpeg


A fountain with statues of lions. Only two of the original four remain
Photograph: Sean Smith for the Guardian

Facebook Twitter Pinterest
a30f0956-7897-40fc-8669-34d79a0a2bda-2060x1236.jpeg

President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
Yaezekana utabir ukatimia, kwan walinda legacy wanasemaje?
 
S
haya ni matokeo ya uwekezaji usio na tija maana Mobutu hakuondolewa kwa vita bali alikimbia na majumba yake yakabaki magofu! haiitaji vita Chato kuwa hivi! Ni michakato tu kama hii tunayoiona isiyo na tija kule Chato!
Sawa Mobutu alikosea kuwekeza hapo lakini jee marais waliofuata wangetafuta njia nyingine ya kuitumia hii investment lakini walikuwa busy kuiba tu na hawakuishughulikia. Lakini kitu cha ajabu hata wale vijana wa chuma chakavu huko Congo hawapo si wangeuza vyuma chakavu
 
S

Sawa Mobutu alikosea kuwekeza hapo lakini jee marais waliofuata wangetafuta njia nyingine ya kuitumia hii investment lakini walikuwa busy kuiba tu na hawakuishughulikia. Lakini kitu cha ajabu hata wale vijana wa chuma chakavu huko Congo hawapo si wangeuza vyuma chakavu
wakazi wa Chato wanatumiaje fedha ya umma iliyowekezwa pale?
 
Bado una maoni haya haya tu mpaka Leo?

Aiyekuletea hii kitu ana macho ya kuona miles kadhaa mbele huku akitumia akili..

Na jambo lolote linalofanyika kwa hila na tamaa ya mtu bila kuwa na mipango, Kila mtu aweza ku - predict mwisho wake kwa urahisi tu..

Lakini watu kama nyie mnaoona mambo mwisho wa vichogo vyenu, hamngeweza kuelewa haya..!!
Ni kweli kabisa. Hizi punguani zinaona mwisho wa mikojo yao. Mbaya zaidi zinaendelea kubisha. Tz wapumbavu ni wengi sana
 
Nisicho elewaga ni kwamba huko Chato siyo Tanzania? Wale wanaoishi huko ni waNyarwanda au?
 
Nisicho elewaga ni kwamba huko Chato siyo Tanzania? Wale wanaoishi huko ni waNyarwanda au?
Wananchi wa Chato wana haki ya kupata huduma ziluzo muhimu kuendana na mahitaji yao kwa kuzingatia vigezo mbalimbali.

Wananchi wa Chato wana haki ya kupata huduma ya maji, huduma ya barabara, huduma ya hospitali, n.k. lakini kwenda kuweka uwanja mkubwa wa ndege kijijini Chato au hospitali ya rufaa Chato, ulikuwa upuuzi wa hali ya juu usioweza kupata justification. Nina hakika hata wananchi wa Chato wangeulizwa wanahitaji huduma gani kwa wakati ule, wasingetaja uwanja wa ndege.

Kwa priority, huduma ya umma inaangaliwa pia hiyo huduma ya hapo mahali itahudumua watu wangapi. Ni aheri wachache wasafiri kuifuata huduma mahali ambapo kuna watu wengi kuliko kinyume chake.
 
Nakitafsiri kwa ufanisi wake feasibility study haiungi mkono ujenzi wa Uwanja wa kimataifa toka mwingine ulio umbali wa chini ya 200 km! Geita town ina watu wapatao 350,000 ni ndege zipi za kimataifa zitatua pale na kwa shughuli gani za maana?
Mkuu ndo huwa unajibu maswali hivi .ukiulizwa swali hakikisha unajibu swali sio unajitungia swala ndo unajibu kama unavyotak.umeuliza je kiwanja cha kimataifa unakitafsiri vip
 
Nisicho elewaga ni kwamba huko Chato siyo Tanzania? Wale wanaoishi huko ni waNyarwanda au?
Hapana, wanachomaanisha watu ni investment kubwa ambazo hazitumika kwa Sasa, jiulize kwanini hadi Leo sumbawanga hawana airport ya kueleweka halafu chato Kuna international airport
 
Nisicho elewaga ni kwamba huko Chato siyo Tanzania? Wale wanaoishi huko ni waNyarwanda au?
Ishu sio kuwa hao waishio huko ni watu ama sio watu...

Jibu la hoja yako obviously ni kuwa hao ni watu pia...

Lakini hoja hapa ni mgawanyo wa rasrimali kwa kuzingatia vipaumbele na uhitaji watu kwa eneo husika..

Mathalani, kama hoja ni hiyo; kwanini isingekuwa Ngara? Au Kaliua Tabora? Au Tandahimba - Songea? Au Kishapu - Shinyanga? Si na huko Kuna watu?

Iwe tunaelewa au hatuelewi, lakini ukweli ni kuwa hakukuwa na hitaji la International Airport kule Chato kwa wakati ule, sasa na mpaka kesho!!

Labda wangehitaji uwanja wa ndege wenye hadhi Ile miaka 50 au 100 ijayo. Badala yake kule kwa kuwa nao ni watu, basi wangepelekewa kile walichohitaji by that time mfano hospitali nzuri, barabara nzuri nk nk

And to be honest, pesa hizo zilizopelekwa na kutumika kujengea uwanja huo huko CHATO, basi maamuzi sahihi na yenye busara ingekuwa ni kutumika kupanua uwanja wa ndege wa Mwanza na kuufanya kuwa na hadhi ya kimataifa. Hii ndiyo ingekuwa akili. na sio ulimbukeni wa maamuzi ya hayati JPM...
 
Makufuli alikuwa choko tu mmoja , yaani jitu lile liliteketeza matrilioni kwenye miradi hewa ya kifisadi halafu likawa linaua sekta binafsi na kupiga marufuku serikali kuajiri , vijana wanamaliza vyuo wanakuwa mamachinga na wachuuzi wa bidhaa za kichina , upumbavu gani huu ? ,Hiyo ni akili au kinyesi ,
Wote mnaomsifia yule mwenda wazimu mwenzenu kmamayo zenu 😡😡😡😡🤬
 
Back
Top Bottom