How come a Professional Doctor wa MOI awe mganga wa kienyeji? (Kisa cha mganga wa kienyeji wa Chasimba)

How come a Professional Doctor wa MOI awe mganga wa kienyeji? (Kisa cha mganga wa kienyeji wa Chasimba)

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.💪🏿
20240124_142909.jpg
 
Madaktari wengi (sio wote)hospitalini ni washirikina hada madaktari bingwa, kuna magonjwa mfano mtu anatakiwa afanyiwe surgery na wachawi wanataka wapitie humo humo mara nyingi hawa madaktari huwa wanajizungusha au wanafanya huku wameweka kinga au wanakushauri mgonjwa wako akatafute tiba mbadala kwasababu huwa wanaona na ukilazimisha mgonjwa anaenda na maji.
Ni vema tukatofautisha kati ya tiba mbadala (asilia),na tiba zinazohusisha uchawi,ramli nk,, DK akikuelekeza uende kwenye tiba asilia hapo hakuna tatizo, maana hata pale mhimbili kuna kitengo cha tiba asilia.
 
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?

Unajua usipotee sana. Ukileta story zako zinakuwa na mashamshamu ya kunywa kahawa bila kuchoka 😂 😂 😂 😂

Cha msingi kijana amepona. Ila asije kuazima majini ya daktari sangoma. Dunia hii hadaa sana
 
Labda professional yake ameisimamisha katika imani yake.
Mfano kuna watu wana imani ya kiislamu hawezi kuanza chochote hata kama ni cha kitaaluma bila kusema Bismillahi rahmani rahim.
Walio na imaninya kikatoliki hufanya ishara ya msalaba, imani za kilokole husema kwa jina la Yesu na kukemea pepo na kumwalika Roho Mtakatifu.

Hivyo na huyo dokta huwenda imani yake ni ya hivyo.
 
Aa
Ungejua wanayopitia wengine usinge wa judge..

Kwenye kazi kuna mambo mengi sana..

1. Kuna kufukuzwa

2. Kuna kufutiwa lesseni

3.Kuna kunyanganywa ufaulu(disqualified)

4.Kuna Kulazimishwa kufanya mambo hayaendi sawa ja imani yako

5.Kuna kutokuelewana na boss wako(Kushughulikiwa)

6.Kuna kupoteza interests na vitu vya kawaida(watu wengi wenye akili)

7.Kuna tamaa(kuna pesa nyingi sana kwenye semi knowledge -mganga wa kienyeji alafu una practice kama professional-Trust)

8.Kuna kuchanganyikiwa

9.Kuna kuchukia mifumo- hasa ya serikali
Aah ni kweli Pana mengi hapa Duniani !
 
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?
Ukitaka kuwa master usiwe mvivu wa kujifunza
 
Kwenye mifupa naona wengi wanakimbilia kwenye tiba za asili.....huko kwa jamaa wa makoti meupe hawachelewi kukukata kiungo chako...
Madaktari hata kunyoosha mkono au mguu vizuri huwa ni changamoto. Kuna watu wenye karama za kutibu watu waliovunjika na wakawa vizuri kabisa. Nikiwa darasa la 3 hospitalini hawakunyoosha vizuri mkono wangu uliovunjika ikabidi bibi yangu amlete mtaalamu wa kienyeji kunyoosha vizuri.
 
Shukuru kijana wako amepona hayo mengine yaache inshort nikama ndio unataka sababisha conflict of interest hapa haitakuwa kati ya daktari/mganga na moi bali ni wewe na mizimu au mashetani ya mganga na kijana wako anaweza pata hitilafu tena ya mifupa ili unyooshwe vizuri na mashetani.

Sometimes tujifunze kukaa kimya.
Mizimu utakuja kumgegeda kwa kutoa siri 🤣🤣🤣🤣
 
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?
Usukumani waganga was hivyo wapo kibao na hawatumii majini!Broo wangu kavunjika mguu kwenye ajali ya boda boda alipelekwa akapona faster Sasa hivi anatembea Kwa magongo kabla hajakaza!
 
Kitu cha kwanza kinachokudharaulisha na kukufanya uonekane kituko ni hali ya wewe kupata tatizo badala ya kulitatua kwa njia rasmi na zinazokubalika.

Ukaamua kufata SHORTCUT na kumfata huyo TAPELI nawiwa kumuita tapeli na mwizi kwakua hakuna muongozo wa wizara ya afya unaomruhusu kutoa matibabu hayo pia na mazingira ya utolewaji matibabu hayana vigezo hata kwa sisi darasa la 7B tunagoma.

Watanzania ni watu wenye vichwa ila wamevibeba kama HELMET,hakuna uwiyano wa akili na umri😀😀😀

Yaani nyie ndo mnaibiwa kizembe kutajiwa MOI na kujiita Dr. tayari usharuhusu mtu kuchezea afya ya mtoto wako😬😬

Badilikeni bwana huko shule mlienda kukariri notes, wengi wa watanzania ni empty set kabisa....hii ni aibu 2025 watu wanafanya mambo ya mwaka 47 huko ambapo elimu na utandawazi ulikuwa hakuna.
 
Kupitia comment Kuna kazi kubwa ya kuondoa UJINGA katika vichwa vya watanzania.

Endeleeni kuwafaidisha hao wajanja wa mjini. Ila mtaendelea kufa kama kuku wenye kideri huku wengine wakiendela kupata ulemavu wa kudumu kwa kutoshirikisha AKILI zenu vizuri.
 
Back
Top Bottom