Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
🙂 nadhani akipoteza kiungo tena ndio itakuwa ngumu kumuacha... (sababu ya wajibu na roho itakusuta, huruma ita-take over)
Ila akibadilika tabia ghafla na kuwa mtu wa ajabu ni rahisi kujenga chuki na kumchukia, lakini kupoteza kiungo / ajali huruma itafanya iwe ngumu kumuacha
si mpaka niwe na hiyo huruma sun wu.