How do I let her go?

How do I let her go?

JM Aristotle

Senior Member
Joined
Mar 9, 2010
Posts
163
Reaction score
4
Nimekuwa naye kwa muda mrefu sasa... Tunaitana marafiki, lakini ki-ukweli; tunajua ni zaidi ya marafiki... tuna-behave kama wapenzi...
Lakini imefika wakati, ambapo inabidi nimwache... Ishu ni kwamba sijui nimwacheje! Naogopa kumuumiza...
Nisaidieni wajameni!!! 😕😕😕
 
Nimekuwa naye kwa muda mrefu sasa... Tunaitana marafiki, lakini ki-ukweli; tunajua ni zaidi ya marafiki... tuna-behave kama wapenzi...
Lakini imefika wakati, ambapo inabidi nimwache... Ishu ni kwamba sijui nimwacheje! Naogopa kumuumiza...
Nisaidieni wajameni!!! 😕😕😕


Kaka John, you better tell her the truth japo ataumia, kuliko umcomfort wakati unamdanganya. Unajua imenigusa maana mie binafsi tu nahisi my BF anashida kama hiyo yako. I think we are two and he cant make decision japo sina hakika, maana nahisi yuko busy sana na kama vile kuna kitu ananificha.......just guessing all those, si unajua ukimpenda mtu
 
Kaka John, you better tell her the truth japo ataumia, kuliko umcomfort wakati unamdanganya. Unajua imenigusa maana mie binafsi tu nahisi my BF anashida kama hiyo yako. I think we are two and he cant make decision japo sina hakika, maana nahisi yuko busy sana na kama vile kuna kitu ananificha.......just guessing all those, si unajua ukimpenda mtu

Thank you for your advice!
Lakini, another thing ni kwamba; nataka tuendelee kuwa marafiki wa kawaida tu... Nothing more...
 
Kaa naye chini umweleze ukweli kistaarabu hatua kwa hatua na sababu za maana then atakuelewa, penzi la kweli huwezi kuliforce. Kama ni mstaarabu atakuelewa na urafiki wenu utaendelea na kuheshimiana pia. Manake kuendelea kukaa kimya ilihali unajua fika kuwa hunampango naye kimapenzi ni kama unampotezea muda kwani anazidi kujenga matumaini makubwa juu yako na kuwaweka pembeni wengine wenye nia takatifu na ya dhati. Akwambiaye ukweli siku zote ndiye rafiki wa kweli. Kama waogopa kumwambia ukweli sasa hivi ati kwa kuwa unaogopa kumuumiza, ikuendelea kuchelewa ndiyo utakuja kumuumiza mara kumi ya sasa hivi kwani anazidi kujenga mizizi ya mapenzi kwako siku hadi siku. Mbona hujatuambia sababu ya kumwacha ni nini?
 
Kaa naye chini umweleze ukweli kistaarabu hatua kwa hatua na sababu za maana then atakuelewa, penzi la kweli huwezi kuliforce. Kama ni mstaarabu atakuelewa na urafiki wenu utaendelea na kuheshimiana pia. Manake kuendelea kukaa kimya ilihali unajua fika kuwa hunampango naye kimapenzi ni kama unampotezea muda kwani anazidi kujenga matumaini makubwa juu yako na kuwaweka pembeni wengine wenye nia takatifu na ya dhati. Akwambiaye ukweli siku zote ndiye rafiki wa kweli. Kama waogopa kumwambia ukweli sasa hivi ati kwa kuwa unaogopa kumuumiza, ikuendelea kuchelewa ndiyo utakuja kumuumiza mara kumi ya sasa hivi kwani anazidi kujenga mizizi ya mapenzi kwako siku hadi siku. Mbona hujatuambia sababu ya kumwacha ni nini?

Asante sana kwa ushauri wako...
Sababu kubwa ya kutaka kumwacha ni kwamba; At first, tulianza kama marafiki wa kawaida tu, lakini kadiri siku zilivyokwenda, connection ilizidi kuongezeka... Lakini kwa sasa, kwa kweli nikimwangalia, sijioni niki-spend maisha yangu pamoja naye... Lakini ndo hivyo sasa... najiona kama nimefikia"point of no return..."
 
Asante sana kwa ushauri wako...
Sababu kubwa ya kutaka kumwacha ni kwamba; At first, tulianza kama marafiki wa kawaida tu, lakini kadiri siku zilivyokwenda, connection ilizidi kuongezeka... Lakini kwa sasa, kwa kweli nikimwangalia, sijioni niki-spend maisha yangu pamoja naye... Lakini ndo hivyo sasa... najiona kama nimefikia"point of no return..."

Kwa nini? Ukiweza kujijibu na kutujibu na sisi pia, bisi itakuwa rahisi kwako kufanya uamuzi. Pia sisi tunaweza labda kukupatia ushauri wa maana. Vinginevyo inawezekana unahisi tu kwa sababu hujajaribu mtu mwingine. Ila ujue ukienda kujaribu mwingine utakuwa umempoteza huyu na akili ikikurudia hutampata tena!
 
Kwa nini? Ukiweza kujijibu na kutujibu na sisi pia, bisi itakuwa rahisi kwako kufanya uamuzi. Pia sisi tunaweza labda kukupatia ushauri wa maana. Vinginevyo inawezekana unahisi tu kwa sababu hujajaribu mtu mwingine. Ila ujue ukienda kujaribu mwingine utakuwa umempoteza huyu na akili ikikurudia hutampata tena!

The thing is; yeye ndo amebadilika sana... Sio yule niliyemjua awali... Ni kama mtu mwingine kabisaaa...
 
The thing is; yeye ndo amebadilika sana... Sio yule niliyemjua awali... Ni kama mtu mwingine kabisaaa...

Sasa unambebesha lawama kwa kubadilika au na wewe unadhani umechangia kubadilika kwake? Did you try to take her feelings or you took her for granted?
 
Sasa unambebesha lawama kwa kubadilika au na wewe unadhani umechangia kubadilika kwake? Did you try to take her feelings or you took her for granted?

Good question!!!
I always asked myself that question kama ni mimi niliyechangia yeye kubadilika...
Lakini nimegundua kwamba; maybe I thought I knew her, lakini sasa ndo naanza kuona rangi zake kamili...
 
Nimekuwa naye kwa muda mrefu sasa... Tunaitana marafiki, lakini ki-ukweli; tunajua ni zaidi ya marafiki... tuna-behave kama wapenzi...
Lakini imefika wakati, ambapo inabidi nimwache... Ishu ni kwamba sijui nimwacheje! Naogopa kumuumiza...
Nisaidieni wajameni!!! 😕😕😕
So simple....
just ignore her/his phone calls/sms
dont think about him/her too much
avoid his/her company so often
lastly, just tell him/her that its over....and move on.....
 
Asante sana kwa ushauri wako...
Sababu kubwa ya kutaka kumwacha ni kwamba; At first, tulianza kama marafiki wa kawaida tu, lakini kadiri siku zilivyokwenda, connection ilizidi kuongezeka... Lakini kwa sasa, kwa kweli nikimwangalia, sijioni niki-spend maisha yangu pamoja naye... Lakini ndo hivyo sasa... najiona kama nimefikia"point of no return..."

The same to me! Aisee ngumu sana hii game, Ila kitu nilichohisi labda ni nafasi mlizozifikia kwa sasa,kwa mfano zamani mlikuwa katika nafasi fulani au level flan,imepita muda kadhaa unaona kabisa kwa level hii uliyofikia ni vigumu kuishi na huyo au lingine linaweza likawa ile "ROHO INAPENDA" kumefifia!
 
set urself free....... if you go back to her it means u guys were meant to be.
 
ndio maana napenda wazungu wako transparent...

...am sorry i dont find you attractive anymore ama am sorry i have found someone else...story inaishia hapo!...it might hurt but after a while you will be glad that you were told that truth...

BTT acha kumpotezea muda mtoto wa watu,face and tell her as much as you love her,you dont see any future between you two...finito!
 
Namwonea huruma huyo mdada kama ka-umri kamesogea, maana ulikuwa unawawekea akina Mr Right kauzibe na kila wakija wanaambiwa "ninaye wangu!" Anyway, kama amebadilika tuambie kama kuna "kidudu mtu" mahali au namna gani? Hata hivyo "Mke mwema anatoka kwa BWANA!"
 
BTT acha kumpotezea muda mtoto wa watu,face and tell her as much as you love her,you dont see any future between you two...finito!

I did that!

And she is now dead! She poisoned herself 2 months later! Its not that easy!

John take her one step back at a time! Then you end it!
 
I did that!

And she is now dead! She poisoned herself 2 months later! Its not that easy!

John take her one step back at a time! Then you end it!

Oh! real sorry, so u still feel gulty?

But John u have to do it now! Tell her
 
Nimekuwa naye kwa muda mrefu sasa... Tunaitana marafiki, lakini ki-ukweli; tunajua ni zaidi ya marafiki... tuna-behave kama wapenzi...
Lakini imefika wakati, ambapo inabidi nimwache... Ishu ni kwamba sijui nimwacheje! Naogopa kumuumiza...
Nisaidieni wajameni!!! 😕😕😕

Kaka John Nyie ni wapenzi lakini mnaitana marafiki mbele za watu na kwa nini ikawa hivyo ?Nijibu swali langu ili nijue pa kuanzia ?
 
Kaka John Nyie ni wapenzi lakini mnaitana marafiki mbele za watu na kwa nini ikawa hivyo ?Nijibu swali langu ili nijue pa kuanzia ?

Well! From the first time, tulianza kama marafiki wa kawaida tu...
Lakini baada ya urafiki wa muda mrefu, tumezoeana mno, na tuna-behave kama wapenzi ingawa bado tunaitana marafiki...
 
Well! From the first time, tulianza kama marafiki wa kawaida tu...
Lakini baada ya urafiki wa muda mrefu, tumezoeana mno, na tuna-behave kama wapenzi ingawa bado tunaitana marafiki...

John Inabidi umwambie ukweli ingawa ukweli unaumiza siku zote...
Na-feel maumizi atakayoyapata huyo dada ingawa yatakuwa kwa muda na utakuwa umemsaidia kuliko akae akiamini yuko na wewe lakini roho yako iko kwingine .Mungu alitupa kusahau ..

Ni kwa nini lakini unataka muachane ??
 
tell her the truth i hope she will handle well the rejection and btw do not expect her to be your friend anymore....na baada ya hapo do not call her to see howz she's doing coz you will hurt her more. keep your space do not try to be nice to her tayari huwezi ku-spend future na yeye so let her take as it is.
 
Back
Top Bottom