JM Aristotle
Senior Member
- Mar 9, 2010
- 163
- 4
Nimekuwa naye kwa muda mrefu sasa... Tunaitana marafiki, lakini ki-ukweli; tunajua ni zaidi ya marafiki... tuna-behave kama wapenzi...
Lakini imefika wakati, ambapo inabidi nimwache... Ishu ni kwamba sijui nimwacheje! Naogopa kumuumiza...
Nisaidieni wajameni!!! 😕😕😕
Lakini imefika wakati, ambapo inabidi nimwache... Ishu ni kwamba sijui nimwacheje! Naogopa kumuumiza...
Nisaidieni wajameni!!! 😕😕😕