Unipe hata pole kunifariji jamani. Umetoa kicheko cha nguvu lohSasa kama hili bandiko limekutoa chozi mimi nifanyaje?
Hebu kwenda hukoBaby kwani upo kwenye toxic relationship mi si nakupenda bado ama wewe penzi ndo limekufubaa unaenda tu kama komamanga..?
Nimemaanisha kama wewe tu umetoa chozi, mimi si niangue kilio kabisa!!😂Unipe hata pole kunifariji jamani. Umetoa kicheko cha nguvu loh
Basi kama wote same same..tucheke tu 🤣🤣🤣Nimemaanisha kama wewe tu umetoa chozi, mimi si niangue kilio kabisa!!😂
Nimefanyaje tena mchumba mbona unakuwa mkali, kesho nakutoa out ukale samaki sawa lovie...Hebu kwenda huko
Mpaka leo hujazoea tu!Basi kama wote same same..tucheke tu 🤣🤣🤣
Watoto na maliHuwa nawaza how it all happens—mnakutana kwa mara ya kwanza, and she's the most beautiful woman you've seen in a long time. Kuna ile excitement ya mwanzo, mazungumzo yanakuwa ya kuvutia, kila kitu kinaonekana fresh na perfect. Mnapendana bila kujizuia, kila mmoja akiwa tayari kufanya chochote ili kumfurahisha mwenzake. Kila mnapoonana, kuna hisia za uchangamfu, na kila mazungumzo yanakuwa meaningful.
Lakini sijui nini kinatokea hapa katikati (labda kumbukumbu mbovu, labda tu hali ya maisha inabadilika). Miaka au miezi inapita, and suddenly ule uzuri wa mwanzo unaanza kufifia. Yale mazungumzo marefu yanapungua, ucheshi unageuka kuwa mazoea, na mwishowe anakuwa kero. Unajikuta unavumilia tu, unahesabu dakika hadi uwe mbali naye.
Wengi wetu tupo kwenye zombie relationships—penzi limekwisha lakini bado mpo pamoja. Unajua kabisa kuwa haupo hapo kwa mapenzi tena, lakini kwa namna moja au nyingine, unashindwa kutoka. Sijui kama ni huruma, mazoea, au tu hofu ya kutopata replacement bora. Tunaendelea kutesana, kugombana kwa sababu ndogo ndogo, tunakaa kimya kwa muda mrefu bila mawasiliano meaningful, lakini bado hakuna anayechukua hatua ya kuachana.
Inakuwa kama mnavumiliana tu, mkihisi labda mambo yatabadilika, au labda mmoja wenu ataamka na kusema "this is not working anymore." Lakini kwa muda wote huo, kila mmoja anabeba mzigo wa mahusiano yasiyo na furaha, akisubiri kitu ambacho hakijulikani kitakuja lini.
Hebu niache, Nafuta machozi kwanzaNimefanyaje tena mchumba mbona unakuwa mkali, kesho nakutoa out ukale samaki sawa lovie...
Aisee hii kitu haizoeleki, kuna muda unatulia halafu kuna muda unatamani unyanyuke hata usiku wa manane usepe kusikojulikanaMpaka leo hujazoea tu!
Nategemea past papers kutoka kwako.
Mambo ya kawaida haya Demi, naamini wewe ni mzoefu wa mahusiano. Hakuna kitu kirahisi kwenye maisha, hata kuwa single tu ni changamoto, jaribu kwa mwaka mmoja utaniambia.Umenigusa sana hadi nimekaribia kutoa chozi. Ni as if umenilenga mimi
Tunajitokeza wakukufuta machozi unajifanya you don't care sasa kaa na hilo likitunguu maji lako liendelee kukuliza mpaka ukome!, umekaa kishamba kishamba sana lia tena lia mpk utoke meno! uwe mwali mapengo...🤣Hebu niache, Nafuta machozi kwanza
Ukiipata hiyo nafasi itumieAisee hii kitu haizoeleki, kuna muda unatulia halafu kuna muda unatamani unyanyuke hata usiku wa manane usepe kusikojulikana
Natamani sana niweze.Ukiipata hiyo nafasi itumie
😅😅😅Tunajitokeza wakukufuta machozi unajifanya you don't care sasa kaa na hilo likitunguu maji lako liendelee kukuliza mpaka ukome!, umekaa kishamba kishamba sana lia tena lia mpk utoke meno! uwe mwali mapengo...🤣
Am tired. Akili, mwili na roho. Nakaribia kuchizikaMambo ya kawaida haya Demi, naamini wewe ni mzoefu wa mahusiano. Hakuna kitu kirahisi kwenye maisha, hata kuwa single tu ni changamoto, jaribu kwa mwaka mmoja utaniambia.
Mimi nilishawahi mpaka kufumania na hata sikushituka yani niache kula raha za uhai nihangaike na moyo wa mtu ambae muda wowote anaweza kufanya maamuzi yake, ndo maana nakuambia umekaa kishamba kishamba sana!...😅😅😅😅
Yatakuja kukukuta na wewe subiri tu
Aisee hebu nitoe huo ushamba. Nifanyeje sasaMimi nilishawahi mpaka kufumania na hata sikushituka yani niache kula raha za uhai nihangaike na moyo wa mtu ambae muda wowote anaweza kufanya maamuzi yake, ndo maana nakuambia umekaa kishamba kishamba sana!...😅