How do we fall out of love? Mapenzi yanaishaje? Miaka inapotea watu wanaishi ndani ya mahusiano yaliyokufa, ni kuhurumiana au hofu ya upweke?

How do we fall out of love? Mapenzi yanaishaje? Miaka inapotea watu wanaishi ndani ya mahusiano yaliyokufa, ni kuhurumiana au hofu ya upweke?

Huwa nawaza how it all happens—mnakutana kwa mara ya kwanza, and she's the most beautiful woman you've seen in a long time. Kuna ile excitement ya mwanzo, mazungumzo yanakuwa ya kuvutia, kila kitu kinaonekana fresh na perfect. Mnapendana bila kujizuia, kila mmoja akiwa tayari kufanya chochote ili kumfurahisha mwenzake. Kila mnapoonana, kuna hisia za uchangamfu, na kila mazungumzo yanakuwa meaningful.

Lakini sijui nini kinatokea hapa katikati (labda kumbukumbu mbovu, labda tu hali ya maisha inabadilika). Miaka au miezi inapita, and suddenly ule uzuri wa mwanzo unaanza kufifia. Yale mazungumzo marefu yanapungua, ucheshi unageuka kuwa mazoea, na mwishowe anakuwa kero. Unajikuta unavumilia tu, unahesabu dakika hadi uwe mbali naye.

Wengi wetu tupo kwenye zombie relationships—penzi limekwisha lakini bado mpo pamoja. Unajua kabisa kuwa haupo hapo kwa mapenzi tena, lakini kwa namna moja au nyingine, unashindwa kutoka. Sijui kama ni huruma, mazoea, au tu hofu ya kutopata replacement bora. Tunaendelea kutesana, kugombana kwa sababu ndogo ndogo, tunakaa kimya kwa muda mrefu bila mawasiliano meaningful, lakini bado hakuna anayechukua hatua ya kuachana.

Inakuwa kama mnavumiliana tu, mkihisi labda mambo yatabadilika, au labda mmoja wenu ataamka na kusema "this is not working anymore." Lakini kwa muda wote huo, kila mmoja anabeba mzigo wa mahusiano yasiyo na furaha, akisubiri kitu ambacho hakijulikani kitakuja lini.
Watoto na mali
 
Ni phase tu kwenye mahusiano, zinakuja phases nyingi tu ila uzuri zote zinapita hasa kama mpo willing kufanya mahusiano yenu yawe sawa.

Mapenzi sio mserereko kwamba kwa vile umeingia basi mnaenda tu bila changamoto.

Hata waliopo single hawapo salama, nao wana changamoto zao nyingi tu. Binafsi siwezi kuishi bila kuhusiana na mwanamke, life itakuwa boring sana.
 
Hebu niache, Nafuta machozi kwanza
Tunajitokeza wakukufuta machozi unajifanya you don't care sasa kaa na hilo likitunguu maji lako liendelee kukuliza mpaka ukome!, umekaa kishamba kishamba sana lia tena lia mpk utoke meno! uwe mwali mapengo...🤣
 
Tunajitokeza wakukufuta machozi unajifanya you don't care sasa kaa na hilo likitunguu maji lako liendelee kukuliza mpaka ukome!, umekaa kishamba kishamba sana lia tena lia mpk utoke meno! uwe mwali mapengo...🤣
😅😅😅
Yatakuja kukukuta na wewe subiri tu
 
😅😅😅
Yatakuja kukukuta na wewe subiri tu
Mimi nilishawahi mpaka kufumania na hata sikushituka yani niache kula raha za uhai nihangaike na moyo wa mtu ambae muda wowote anaweza kufanya maamuzi yake, ndo maana nakuambia umekaa kishamba kishamba sana!...😅
 
Mimi nilishawahi mpaka kufumania na hata sikushituka yani niache kula raha za uhai nihangaike na moyo wa mtu ambae muda wowote anaweza kufanya maamuzi yake, ndo maana nakuambia umekaa kishamba kishamba sana!...😅
Aisee hebu nitoe huo ushamba. Nifanyeje sasa
 
Back
Top Bottom