How do we fall out of love? Mapenzi yanaishaje? Miaka inapotea watu wanaishi ndani ya mahusiano yaliyokufa, ni kuhurumiana au hofu ya upweke?

How do we fall out of love? Mapenzi yanaishaje? Miaka inapotea watu wanaishi ndani ya mahusiano yaliyokufa, ni kuhurumiana au hofu ya upweke?

Aisee hebu nitoe huo ushamba. Nifanyeje sasa
Hakikisha akili zako zinashinda hisia zako, ukiendekeza hisia sana mambo yatagoma kuna maisha baada ya mapenzi utakuja kukutana na tukio kubwa utashindwa kuli handle jiandae kihisia sasahivi binadamu alishashindikana mpaka na shetani kuna dhambi mpya mpya mpk shetani hazijui...🤣
kaza moyo huo amka jifute vumbi kula vizuri enjoy uhai fanya vitu upendavyo ukisubiri kupendwa utatemdwa!.
 
Hakikisha akili zako zinashinda hisia zako, ukiendekeza hisia sana mambo yatagoma kuna maisha baada ya mapenzi utakuja kukutana na tukio kubwa utashindwa kuli handle jiandae kihisia sasahivi binadamu alishashindikana mpaka na shetani kuna dhambi mpya mpya mpk shetani hazijui...🤣
kaza moyo huo amka jifute vumbi kula vizuri enjoy uhai fanya vitu upendavyo ukisubiri kupendwa utatemdwa!.
Yaani hata sitegemei kupendwa tena maana hata mimi sijishughulishi na kumpenda. Tupo tupo tu kama cabbages
 
Yaani hata sitegemei kupendwa tena maana hata mimi sijishughulishi na kumpenda. Tupo tupo tu kama cabbages
I see.

Ukizingatia labda ulikubali akuoe ilhali hakuwa Chaguo lako Namba Moja..

Mnaishia kuvumiliana tu.
 
Yaani hata sitegemei kupendwa tena maana hata mimi sijishughulishi na kumpenda. Tupo tupo tu kama cabbages
Achana nae nikuchukue mimi...😁
 
Sio rahisi kuanza kutengeneza bond upya na mtu mwengine.......watu wengi wanakuwa na hofu ya kuanza upya. thus why watu huwa wanaendelea kung'ang'aniana hivyo hivyi...muda mwengine utakuta washazaa na watoto wanaona bora tu waendelee hivyo hivyo.

kuna ambao wanafikiria hata ukianza mahusiano na mtu mwengine hali itakuwa ile ile tu.....mtaanza vizuri ila mwisho mtaishia kule kule tu kwenye kuchokana.

na kitu pekee kinachofanya hii hali ya kuchokana ni pale mnapoanza kuishi kwa mazoea.
 
Ndio baba zetu na mama zetu walivyoishi kwa miaka... Na miaka na ndio maisha yalivyo

Anyways piga nyeto huondoa hizi filingi
 
I see.

Ukizingatia labda ulikubali akuoe ilhali hakuwa Chaguo lako Namba Moja..

Mnaishia kuvumiliana tu.
Alikuwa chaguo langu kabisaaa šŸ˜€šŸ˜€.
 
Huwa nawaza how it all happens—mnakutana kwa mara ya kwanza, and she's the most beautiful woman you've seen in a long time. Kuna ile excitement ya mwanzo, mazungumzo yanakuwa ya kuvutia, kila kitu kinaonekana fresh na perfect. Mnapendana bila kujizuia, kila mmoja akiwa tayari kufanya chochote ili kumfurahisha mwenzake. Kila mnapoonana, kuna hisia za uchangamfu, na kila mazungumzo yanakuwa meaningful.

Lakini sijui nini kinatokea hapa katikati (labda kumbukumbu mbovu, labda tu hali ya maisha inabadilika). Miaka au miezi inapita, and suddenly ule uzuri wa mwanzo unaanza kufifia. Yale mazungumzo marefu yanapungua, ucheshi unageuka kuwa mazoea, na mwishowe anakuwa kero. Unajikuta unavumilia tu, unahesabu dakika hadi uwe mbali naye.

Wengi wetu tupo kwenye zombie relationships—penzi limekwisha lakini bado mpo pamoja. Unajua kabisa kuwa haupo hapo kwa mapenzi tena, lakini kwa namna moja au nyingine, unashindwa kutoka. Sijui kama ni huruma, mazoea, au tu hofu ya kutopata replacement bora. Tunaendelea kutesana, kugombana kwa sababu ndogo ndogo, tunakaa kimya kwa muda mrefu bila mawasiliano meaningful, lakini bado hakuna anayechukua hatua ya kuachana.

Inakuwa kama mnavumiliana tu, mkihisi labda mambo yatabadilika, au labda mmoja wenu ataamka na kusema "this is not working anymore." Lakini kwa muda wote huo, kila mmoja anabeba mzigo wa mahusiano yasiyo na furaha, akisubiri kitu ambacho hakijulikani kitakuja lini.
pole mrembo
 
Hakuna jitihada. It is getting worse. Kuishi bila.yeye nipo tayari
That's not good kabisa, kama hskuna pingamizi na havivumiliki ni heri kuishi bila yeye ili moyo upate afya. Unless factor ya watoto inakuzuia.
 
Ni phase tu kwenye mahusiano, zinakuja phases nyingi tu ila uzuri zote zinapita hasa kama mpo willing kufanya mahusiano yenu yawe sawa.

Mapenzi sio mserereko kwamba kwa vile umeingia basi mnaenda tu bila changamoto.

Hata waliopo single hawapo salama, nao wana changamoto zao nyingi tu. Binafsi siwezi kuishi bila kuhusiana na mwanamke, life itakuwa boring sana.
Tuishi kwenye ulichokisema šŸ‘†šŸ¼ukimudu kuvumilia phases mnadumu.
 
That's not good kabisa, kama hskuna pingamizi na havivumiliki ni heri kuishi bila yeye ili moyo upate afya. Unless factor ya watoto inakuzuia.
Ipo siku tena sio mbali.
 
Back
Top Bottom