Mmepimana urefu wa maeneo yote yoteMimi na watu wafupi wapi na wapi
Baasi wekeni Siriš»
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmepimana urefu wa maeneo yote yoteMimi na watu wafupi wapi na wapi
Hakikisha akili zako zinashinda hisia zako, ukiendekeza hisia sana mambo yatagoma kuna maisha baada ya mapenzi utakuja kukutana na tukio kubwa utashindwa kuli handle jiandae kihisia sasahivi binadamu alishashindikana mpaka na shetani kuna dhambi mpya mpya mpk shetani hazijui...š¤£Aisee hebu nitoe huo ushamba. Nifanyeje sasa
Yaani hata sitegemei kupendwa tena maana hata mimi sijishughulishi na kumpenda. Tupo tupo tu kama cabbagesHakikisha akili zako zinashinda hisia zako, ukiendekeza hisia sana mambo yatagoma kuna maisha baada ya mapenzi utakuja kukutana na tukio kubwa utashindwa kuli handle jiandae kihisia sasahivi binadamu alishashindikana mpaka na shetani kuna dhambi mpya mpya mpk shetani hazijui...š¤£
kaza moyo huo amka jifute vumbi kula vizuri enjoy uhai fanya vitu upendavyo ukisubiri kupendwa utatemdwa!.
I see.Yaani hata sitegemei kupendwa tena maana hata mimi sijishughulishi na kumpenda. Tupo tupo tu kama cabbages
Achana nae nikuchukue mimi...šYaani hata sitegemei kupendwa tena maana hata mimi sijishughulishi na kumpenda. Tupo tupo tu kama cabbages
Hii ni kwenye Ndoa, Au Bado kila mtu anaishi kwakeYaani hata sitegemei kupendwa tena maana hata mimi sijishughulishi na kumpenda. Tupo tupo tu kama cabbages
Kama kila mtu angekuwa anaishi kwake isingenisumbua.Hii ni kwenye Ndoa, Au Bado kila mtu anaishi kwake
Kwamba wewe ni wa tofauti umeshushwa kutoka MarsAchana nae nikuchukue mimi...š
Alikuwa chaguo langu kabisaaa šš.I see.
Ukizingatia labda ulikubali akuoe ilhali hakuwa Chaguo lako Namba Moja..
Mnaishia kuvumiliana tu.
kutoka Jupiter kabisa!..šKwamba wewe ni wa tofauti umeshushwa kutoka Mars
WOikutoka Jupiter kabisa!..š
usiogope jitungue tu nikunenepeshe mrembo!
Wote wawili muwe tayari kufanya mambo yaende, uko tayari kuishi bila yeye?Am tired. Akili, mwili na roho. Nakaribia kuchizika
Hakuna jitihada. It is getting worse. Kuishi bila.yeye nipo tayariWote wawili muwe tayari kufanya mambo yaende, uko tayari kuishi bila yeye?
pole mremboHuwa nawaza how it all happensāmnakutana kwa mara ya kwanza, and she's the most beautiful woman you've seen in a long time. Kuna ile excitement ya mwanzo, mazungumzo yanakuwa ya kuvutia, kila kitu kinaonekana fresh na perfect. Mnapendana bila kujizuia, kila mmoja akiwa tayari kufanya chochote ili kumfurahisha mwenzake. Kila mnapoonana, kuna hisia za uchangamfu, na kila mazungumzo yanakuwa meaningful.
Lakini sijui nini kinatokea hapa katikati (labda kumbukumbu mbovu, labda tu hali ya maisha inabadilika). Miaka au miezi inapita, and suddenly ule uzuri wa mwanzo unaanza kufifia. Yale mazungumzo marefu yanapungua, ucheshi unageuka kuwa mazoea, na mwishowe anakuwa kero. Unajikuta unavumilia tu, unahesabu dakika hadi uwe mbali naye.
Wengi wetu tupo kwenye zombie relationshipsāpenzi limekwisha lakini bado mpo pamoja. Unajua kabisa kuwa haupo hapo kwa mapenzi tena, lakini kwa namna moja au nyingine, unashindwa kutoka. Sijui kama ni huruma, mazoea, au tu hofu ya kutopata replacement bora. Tunaendelea kutesana, kugombana kwa sababu ndogo ndogo, tunakaa kimya kwa muda mrefu bila mawasiliano meaningful, lakini bado hakuna anayechukua hatua ya kuachana.
Inakuwa kama mnavumiliana tu, mkihisi labda mambo yatabadilika, au labda mmoja wenu ataamka na kusema "this is not working anymore." Lakini kwa muda wote huo, kila mmoja anabeba mzigo wa mahusiano yasiyo na furaha, akisubiri kitu ambacho hakijulikani kitakuja lini.
That's not good kabisa, kama hskuna pingamizi na havivumiliki ni heri kuishi bila yeye ili moyo upate afya. Unless factor ya watoto inakuzuia.Hakuna jitihada. It is getting worse. Kuishi bila.yeye nipo tayari
Tuishi kwenye ulichokisema šš¼ukimudu kuvumilia phases mnadumu.Ni phase tu kwenye mahusiano, zinakuja phases nyingi tu ila uzuri zote zinapita hasa kama mpo willing kufanya mahusiano yenu yawe sawa.
Mapenzi sio mserereko kwamba kwa vile umeingia basi mnaenda tu bila changamoto.
Hata waliopo single hawapo salama, nao wana changamoto zao nyingi tu. Binafsi siwezi kuishi bila kuhusiana na mwanamke, life itakuwa boring sana.
Ipo siku tena sio mbali.That's not good kabisa, kama hskuna pingamizi na havivumiliki ni heri kuishi bila yeye ili moyo upate afya. Unless factor ya watoto inakuzuia.