Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
kijana wa 1990 to below bado hujafanya mambo haya;
1.huna hata godoro au kitanda
2.unaishi kwenu na huna mpango wa kuondoka
3,wenzako wakiwa na familia zao wewe kazi kuwatembelea
4.huna kazi zaidi ya kufatilia movi za wakorea
5.unatmia pesa kwenye mamboyasiyo na maana
6.kuzi kufatilia stori za diamond na ally kiba na kwenye insta ni wakwanza kujibu hovyo as if unaingiza pesa.
7.kuwakatisha tamaa wenzako kwa kushauri ujinga
8.kusherehekea sherehe za kuzaliwa na huna ulichokifanya
miaka hutafsiriwa kwa kupima maendeleo ya mtu au vitu hushangai kila mwaka lazima tufanye shughuli za uhuru wakati tulishapita.
1.huna hata godoro au kitanda
2.unaishi kwenu na huna mpango wa kuondoka
3,wenzako wakiwa na familia zao wewe kazi kuwatembelea
4.huna kazi zaidi ya kufatilia movi za wakorea
5.unatmia pesa kwenye mamboyasiyo na maana
6.kuzi kufatilia stori za diamond na ally kiba na kwenye insta ni wakwanza kujibu hovyo as if unaingiza pesa.
7.kuwakatisha tamaa wenzako kwa kushauri ujinga
8.kusherehekea sherehe za kuzaliwa na huna ulichokifanya
miaka hutafsiriwa kwa kupima maendeleo ya mtu au vitu hushangai kila mwaka lazima tufanye shughuli za uhuru wakati tulishapita.