How do you move on from someone perfect

How do you move on from someone perfect

As my tittle, niki sema perfect I mean perfect. Yani we have the chemistry ambayo tunaelewana. We broke up kisa nilikuwa busy na kazi za watu alafu mkoa mwingine. Ni kasema fresh. 1 year in. I can't replace her. All the girls napata amna hata anamfikia on filling my soul with happiness. Yani she completed me. Ingawa I used to hustle to fill her desire ila she completed me.

Shida inakuja kila girl napata amna kitu yani nikama 20 plus girls wote empty + na include 400+ ninao wajua ( I know alot of girls don't ask me why). Sio kwamba ni mzuri sana ila tabia yake ni adimu sana. She never settle for less. I miss that life. Sasa kila ninaempata loves me the way I am. Am not motivated, I dont get the proudness and the struggle to fight for love. Mapenzi yame kuwa mepesi sana. Kuna siku na struggle hadi kulala nikifikilia yani nothing settles. Nimemuona juzi kati ndo kabisa. been a year apart am still in love with her.

Wazee mnatokaje kwenye hili? Kupiga nimepiga kila type na rangi hadi Arabian Girls, ila i still want just her . Kurongwa silogeki kifala, am self aware and I still fail to let her go. ( note: I tried therapy it failed, pombe failed) sijui what's next [emoji17]
Sometimes it takes ten years to get one year that will change your life so keep going. Usijali utapata tu wa kuendana naye. Huyo mwache aende.
 
Unachotakiwa kufahamu ama ulichokuwa hukijui ni kwamba, it won't get better than that. And in this life nobody is coming to save you, you gotta dig yourself up out that hole you dug yourself in.
Na unatakiwa kukubaliana na ukweli kwamba she's not yours and she was never to begin with. So brace yourself up and get gone. Sahau kila kitu na usikubali kuwa weak over some bitch, go and find your happiness in yourself first, and be content.
 
Mwanaume kulilia mapenzi ni uboya. Tafuta hela jombaa mengine yote utazidishiwa.
 
A year mzee. Sema it's true I will give time.
Ila a year. Nimejisahaulisha everything. Bado napata relapse that I still have her. Yani hata kuongea nae siongei nae wala kumuona in year. I don't even care or what to know what she does. Ila why relapse?
You are in denial. Acha kujidanganya na sijui I don't care about her...mara simtaki....

Hamna anaeweza kukabiliana na jambo asiloamini lipo. Kubali tu kwamba you are not over her ili uweze kutafuta namna ya kusonga mbele.
 
Nikupe ukweli. Dada you have low iq. Yani box empty . We see your comments tupo kimya ila Huna meaningful out put kwenye kila thread never comment on my post again. Yani never
Dogo
Once you post a thread, sio mali yako tena
Ni post ya wanaJF hiyo.
Sasa sisi members wa JF ndiyo tutajua wenyewe tunacomment nini, hivyo usitupangie.
Meaningful posts right? Kaa hapo uzisubiri..
 
The big problem with you is that you're too much obsessed with her.
You need to stop thinking about her by putting her at the back of your mind.

Delete her photos, contact ( s) and messages from your phone/ laptop.

It is not easy by the late luck dube...

Love is in our hearts not is on phones photos o contract brother

Mwaka juzi nlimbiwa it’s over !! Wee sikula wiki nzima nakuelewa sana mtoa mada kuna watu mnakutana mna chemical kila corner sex talking goals outfit outing
 
As my tittle, niki sema perfect I mean perfect. Yani we have the chemistry ambayo tunaelewana. We broke up kisa nilikuwa busy na kazi za watu alafu mkoa mwingine. Ni kasema fresh. 1 year in. I can't replace her. All the girls napata amna hata anamfikia on filling my soul with happiness. Yani she completed me. Ingawa I used to hustle to fill her desire ila she completed me.

Shida inakuja kila girl napata amna kitu yani nikama 20 plus girls wote empty + na include 400+ ninao wajua ( I know alot of girls don't ask me why). Sio kwamba ni mzuri sana ila tabia yake ni adimu sana. She never settle for less. I miss that life. Sasa kila ninaempata loves me the way I am. Am not motivated, I dont get the proudness and the struggle to fight for love. Mapenzi yame kuwa mepesi sana. Kuna siku na struggle hadi kulala nikifikilia yani nothing settles. Nimemuona juzi kati ndo kabisa. been a year apart am still in love with her.

Wazee mnatokaje kwenye hili? Kupiga nimepiga kila type na rangi hadi Arabian Girls, ila i still want just her . Kurongwa silogeki kifala, am self aware and I still fail to let her go. ( note: I tried therapy it failed, pombe failed) sijui what's next [emoji17]

Problem with you unatafuta mwenye image kama yake. You will fail.
Tafuta anae kufaa, ukiendelea kulinhanisha huto pata
 
Dogo
Once you post a thread, sio mali yako tena
Ni post ya wanaJF hiyo.
Sasa sisi members wa JF ndiyo tutajua wenyewe tunacomment nini, hivyo usitupangie.
Meaningful posts right? Kaa hapo uzisubiri..
Once sio dogo. Kwa ground. You beneath my level of education I can assure you that. Also stop posting on my thread. Kausha tu. Thread zipo kibao. Ww Huna akili siku taki humu
 
Her reasons to leave me were terrible but I don't really care about her. The problem I cant date anything less than her. Iyo ndo shida. Ni kama threshold point I have to reach. Niwe happy. Na I can't reach it or find anything better. Erasing it. Nimefanya sana. Niki review naona amna kitu hapa. Shida shida tu
Pole sana mkuu,hii inawatokea wengi sana both male and female,but it will rich a time you will forget about her,we are in the same situation,ni ngumu sana kumsahau kwa haraka mtu uliyempenda.
 
Budah acha vingereza vingi, she prolly fucking some other guys huko aliko. Cha msingi we malizana na ubongo wako kuwa she is never gonna come back to you hata kama unampenda.
 
Kurudi sitaki mzee. Hiyo ndo shida na kumsahau nashindwa. To get better than her. Still searching. A year not even close. Nimechoka kuwa demu mpya kila month or week. Ni economic unviable, timewasting. Na taka ni reset nashindwa
Tatitizo kubwa unataka better than her, acha kulinganisha watu. Ukiamua kuwa na mtu kuwa naye sababu ana sifa unazozihitaji sio kwa sababu anamzidi fulani kwa vigezo unavyotaka. Ukiwa hivyo ni ngumu kutoka kwenye huo mtego.
 
Back
Top Bottom