How does WhatsApp Make Money?

Sidhani. Wao hupata pesa mingi sana kupitia taarifa za wateja na namna wanavyotumia mitandao ya kijamii kama hivyo WhatsApp. Wateja wao hasa ni watafiti na wachambuzi wa masoko na watu wa usalama.

Dunia ya sasa ipo kwenye big data analytics. Uchambuaji wa taarifa nyinginyingi za mitandaoni. Hizo taarifa ukizipatia nyenzo muafaka zinakusaidia kuwa na uhakika wateja wako wanataka nini kwa kiasi kipi wakiwa wapi kwa gharama zipi na kwa wakati gani. Fikiria jinsi maisha ya kampuni yanakua rahisi. Kuanzia kwenye ugavi, usambazaji, bei na upangiliaji wa rasilimali.

Hapo kwa maoni yangu ndipo social media wanapiga pesa sana kimya kimya. Njia za wazi ndo kama matangazo na mauzo ya huduma zao.
 
MB ni kama air time. Bila satelite hakuna mawasiliano ya internet duniani. Wamiliki wa satelite huuza subscription kwa host na ISP company na vodacom hununua(mfano). Kisha wao hukuuzia wewe mtumiaji wa MB iwe kwa WhatsApp au Youtube. Unapotumia huduma yoyote iwe Google au whatsapp unanunua MB na voda watalipa host nao watalipa whatsapp kisha kiasi kingine kitaenda satelite company. Mfano una account ya Youtube na unaitumia kibiashara kwakuweka videos, utatafuta host na kila atakayeangalia vidoe yako utapata mgao wa % fulani in cash kwa MBs alizotumia, vodacom nao watabakiwa na % yao, host nae na mwisho ni kampuni inayomiliki hiyo satelite
 
Na sio marketing tu. Pia makampuni katika kuboresha bidhaa zao. Mfano watengeneza simu kujua watu wanapiga zaidi picha za aina gani kwa hiyo kamera waziboreshe vipi n.k.
 
 
Kunabaadhi ya makampuni yananunua taarifa za watu.watssap ni miongoni mwa wauzaji wa taarifa za watu.inasemekana lakin
Wewe ni lawyer wa nanna gani?? Mbona unaongea kinyume na uhalisia. Hujui kwenye Whatsapp kuna end to end encryption. Mtu mwingine hawezi kudukua mawasiliano ya chats zenu ama calls hata whatsapp wenyewe hawawezikufanya hivyo. Sasa hzi taarifa wewe umezitoa wapi?
 
Wewe umeanza vizuri lakini mwisho umeharibu. Whatsapp ina privacy kubwa coz wao wenyewe hawawezi kuona picha ama message mnazotumiana through their latest app.
 
Wewe umeanza vizuri lakini mwisho umeharibu. Whatsapp ina privacy kubwa coz wao wenyewe hawawezi kuona picha ama message mnazotumiana through their latest app.
See this is how they make u think sababu wakikueleza they learn your behaviour through comunication hautataka kutumia bidhaa yao kubali kataa tupo kwene information era na the way technology inavyozidi kukua ndio unavyozidi kuwa vulnerable incryption is just to make u safe kwa third part (attacks /hackers)

Just you know it is not how you feel it is about how it is
 
Uongo mtupu
 
Sio kweli. Fanya research tena.
 
Kweli wakumbushe na ishu ya smart tv zenye camera
 
Mkuu sio kwenye swala la kukuza namba ya watumiaji ila ijinufaishe. Jaribu kuchimba vizuri maana ya end to end encryption ya Whatsapp. Angalia maandiko ya authors wengi juu ya hill suala ndio uje na hoja madhubuti. Kuuza taarifa kwa kampuni za simu na hizi apps ni jambo linalogahamika vizuri ila whatsapp wameongeza privacy ya watumiaji wake through end to end encryption.
 
Kwa Millard Ayo ni tofauti mkuu
Maana yy anategemea matangazo na ukifungua unayaona
Lakin kwa whtsp ni tofautii
Hakuna matangazo wala nn
 
Mkuu i know what end to end encryption sababu naijua cryptography kiasi chake sasa nachokueleza ni kwamba hizo encryption ni mbwembwe tu sababu wao wanajua kuzi decrypt na wao ndo wame emplement kwenye server zao na zipo kwaajiri ya kuzuia hackers na hata makampuni mengine kudukua taarifa za watumiaji wao ila wao wanafaidika na taarifa zako sababu wana algorithms ambazo zina learn na ku predict specific behaviour za user wao hivo sasa kuna makampuni ambayo yanatengeneza bidhaa mbali mbali hata wao wenyewe wanatumia taarifa hizo kuboresha pruduct zao sasa hapo ndo business inafanyika kulingana na data wanazo hitaji na biashara hii ni kubwa na imeshamiri lakini hata siku moja huwezi skia ikawa ni biashara halali sababu hakuna anaetaka taarifa zake ziwe wazi kwa mtu mwingine

Hapo ndo wanakuja na honeypot za encryption ili kukushawishi wewe kuwa upo safe

Neno langu sio sheria
 
navyoelewa millard anakupa url ili uende kwenye wrbsite yake ili umuongeze watembeleajia na sio kama unavyodhani kwamba analipwa kwa makampuni ya simu
haipo hivyo
Acha kupotosha mkuu millardayo anachohifadhi pale ni noti tu na kuongeza watu ushawahi tembelea banda la gazeti wao unaona kichwa cha habari tu ukihitaji gazeti unanunua ndio ilivyo hata kwa social media hakuna mtu anayetaka Fanya biashara kichaa hata siku moja
 
User data mkuu,kuweza kua na watu 1billion na kupata data zao Ni mtaji mkubwa Sana tena sana..sasa iv user data ndo dili makampuni kibao wanategemea data kuboresha biashara zao
 
umenielewa lakini?
nilikuwa namuelewesha jamaa hapo juu kwamba sio sisi tunapotumia Mb zetu kuperuzi website kama ya millard yeye hulipwa na mitandao tunayotumia hizo mb zao kama vile voda,tigo,airtel etc

sasa mimi hapo nimepotosha nini labda?‍♂‍♂‍♂
 
User data mkuu,kuweza kua na watu 1billion na kupata data zao Ni mtaji mkubwa Sana tena sana..sasa iv user data ndo dili makampuni kibao wanategemea data kuboresha biashara zao
Kama ni user data Instagram watakua wanapiga hela zaidi, wananyonya sana MB
 
End to end encryption is a business language my friend. Just Google "vault 7" by Edward snowden and read very careful
 
End to end encryption is a business language my friend. Just Google "vault 7" by Edward snowden and read very careful
I checked some days ago, Still end to end encryption is safe unless one gains physical access to your device.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…