How does WhatsApp Make Money?

How does WhatsApp Make Money?

WhatsApp wanapata hela sana.
Kila unapotuma sms,kuangalia video,kutuma nyimbo nk kuna kiwango cha mb huwa unatumia.whatsapp wanachofanya ni kurekodi kiwango chako cha mb na kukibadilisha kwa kukipa thamani flani ya fedha,whatsapp hupata fedha hizo kutoka kwenye makampuni ambayo huusika na kuuza uduma za internet.
Hivyo basi kadri unavyotumia mb nyingi ndo wao wanavyopata fedha.
Hahaha,..nimefungua huu uzi ili tu kutafuta jibu ka hili nicheke,..bado kuna watu wanaamini huu ujinga.
 
Kuna biashara kubwa ya uuzaji wa taarifa ambayo hizi mitandao ambazo unafanya subscription ya kujaza taarifa zako. Taarifa hizi hutumiwa na makampuni makubwa ya marketing kwaa ajili ya kufanya promotion zao
So hata whatsapp pia nahisi ni miongoni mwa makampuninyanayouza taarifa so usishangae hupati adds kwenye simu yako directly kupitia whatsapp ila kuna algorithms ambazo zina learn user behaviour inakua rahisi ku predict ni user wa mambo gani

Hili ndo jibu sahihi,..
 
Aisee, kila jibu lililotolewa limepingwa! Na bado sijaona mtu mwenye jibu sahihi kuhusiana na ishu hii. Nahitaji kujua zaidi
 
GB whatsapp, FM whatsapp, whatsapp+ [emoji4][emoji4][emoji4].... wote hao wanapata hela zetu
 
WhatsApp wanapata hela sana.
Kila unapotuma sms,kuangalia video,kutuma nyimbo nk kuna kiwango cha mb huwa unatumia.whatsapp wanachofanya ni kurekodi kiwango chako cha mb na kukibadilisha kwa kukipa thamani flani ya fedha,whatsapp hupata fedha hizo kutoka kwenye makampuni ambayo huusika na kuuza uduma za internet.
Hivyo basi kadri unavyotumia mb nyingi ndo wao wanavyopata fedha.

Mkuu mb waga hazimlipi mtu kwa kweli hiyo no kwa mtandao peke yake kinachowalipa webmasters no matangazo na issues nyingine zinazo husu hizo lakini sio mb
 
Issue ni "User informations" that's where business belongs. Kampuni nyingi kwa sasa hununua taarifa kutoka katika makampuni yanayo kusanya taarifa za watumiaji wao mfano hizi Social Networks ili kuboresha Bidhaa zao. Ni kweli Watakueleza Pale kwenye Privacy and Policies kwamba taarifa zako ni Secured na "End to End" Lakini sio kweli, wanafanya vile ili kukufanya Uendelee kutumia Mtandao wao.
 
Ninacho fahamu ni mwendo wa kujilipa kupitia mabando wanayo tuibia,ndio maana wako makini kutuibia data pindi unapo jisahau kuongeza bando kabla ya kujiunga utakuta dk chache tu data inasoma sifuri.
 
Jiulize ni kwanini millard ayo hukupa url ya habari fulani badala ya kukupa habari yote kny blog yake?hii ina maana akikupa habari yote yeye hatapata faida hivyo itakubidi utumie vi mb vyako vya kukopa uiangalie hiyo habari huku yeye mwisho wa siku anaenda kuchukua cheki yake voda,ttcl,air tel,smart,zantel au tigo...hivyohivyo kwa whats mark zurckerberg hupokea mshiko wa nguvu toka kwa hayo makampuni.
Umepuyanga chief
 
Back
Top Bottom