2017 No Name
Senior Member
- Jul 26, 2017
- 172
- 133
Hahaha,..nimefungua huu uzi ili tu kutafuta jibu ka hili nicheke,..bado kuna watu wanaamini huu ujinga.WhatsApp wanapata hela sana.
Kila unapotuma sms,kuangalia video,kutuma nyimbo nk kuna kiwango cha mb huwa unatumia.whatsapp wanachofanya ni kurekodi kiwango chako cha mb na kukibadilisha kwa kukipa thamani flani ya fedha,whatsapp hupata fedha hizo kutoka kwenye makampuni ambayo huusika na kuuza uduma za internet.
Hivyo basi kadri unavyotumia mb nyingi ndo wao wanavyopata fedha.
Kuna biashara kubwa ya uuzaji wa taarifa ambayo hizi mitandao ambazo unafanya subscription ya kujaza taarifa zako. Taarifa hizi hutumiwa na makampuni makubwa ya marketing kwaa ajili ya kufanya promotion zao
So hata whatsapp pia nahisi ni miongoni mwa makampuninyanayouza taarifa so usishangae hupati adds kwenye simu yako directly kupitia whatsapp ila kuna algorithms ambazo zina learn user behaviour inakua rahisi ku predict ni user wa mambo gani
Sio kweli Mkuu, ukitumia computer JF ina AdsKwan jf wao wanapatajr hela?? Maana everything here is freee
WhatsApp wanapata hela sana.
Kila unapotuma sms,kuangalia video,kutuma nyimbo nk kuna kiwango cha mb huwa unatumia.whatsapp wanachofanya ni kurekodi kiwango chako cha mb na kukibadilisha kwa kukipa thamani flani ya fedha,whatsapp hupata fedha hizo kutoka kwenye makampuni ambayo huusika na kuuza uduma za internet.
Hivyo basi kadri unavyotumia mb nyingi ndo wao wanavyopata fedha.
Kumbe ipoje sasa?Hapana mkuu si sahihi! Haipo hivyo mkuu..
[emoji2]Umeandika kwa confidence kabisa wakati hakuna unalojua..
Umepuyanga chiefJiulize ni kwanini millard ayo hukupa url ya habari fulani badala ya kukupa habari yote kny blog yake?hii ina maana akikupa habari yote yeye hatapata faida hivyo itakubidi utumie vi mb vyako vya kukopa uiangalie hiyo habari huku yeye mwisho wa siku anaenda kuchukua cheki yake voda,ttcl,air tel,smart,zantel au tigo...hivyohivyo kwa whats mark zurckerberg hupokea mshiko wa nguvu toka kwa hayo makampuni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tuambie unalojua kokoro wee