Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Labda mkoloni mwingereza mbaya kuliko wote!! Now we are turning our arrows to indian and chinese,wenzetu wanawekeza afrika,kina lowassa &co wanaweka uchumi europe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uwepo wa wakoloni (wazungu) umechangia uduni wa maendeleo ya waafrika.
Mbona Ni miaka takriban zaidi ya hamsini 50 tangu wazungu wameondoka Lakina hakuna jipya waafrika walicho kifanya katika mendeleo yao wenyewe.Mashule na Vitega uchumi bado ni vilevile walivyoacha wazungu na vingine vimekufa.
Badala yake mnawaita tena kwa kutumia lugha nyingine ya Uwekezaji, Gesi, mafuta na madini bado hamuwezi kuchimba wenyewe kwa miaka 50 sasa TZ bado haina wataalamu na technolojia to explore those resources. na bado bajeti nyingi za waafrika zinawategemea tena hahao wazungu.
Rodney ameandika kitabu kabla makoloni ya Asia ikiwemo,India,Malasia,Indonesia,Honkong etc hayajapiga hatua kubwa za kimaendeleo kama iilivo hivi sasa.. Maendeleo ya nchi hizi ni ushahidi tosha kwamba tatizo siyo ukoloni mamboleo bali ni uwongozi mbovu tena mbovu haswa Afrika.
Ingekuwa vipi kama wazungu wasingekuja Afrika mpaka sasa?
Mimi pia nilikisoma hicho kitabu muda kidogo. Ila kwa hali ninayoiona Africa leo, nachelea kukubali sana maoni ya huyu bwana. Inawezekana kweli Europe walichangia na wanaendelea kuchangia, ila na sisi nao bwana.. dah!