How I imagine people in JF

......cupkeki wako anaonekana ana kitambi afu jamaa mmoja mpenda sifa sana hasa bar......

You are dead wrong buddy boy...Kwanza mimi siendagi kwenye mabaa....I can't even recall the last time I was in bar....halafu nina kitambi? Puh-lease....you really wish you knew me huh?
 
You are dead wrong buddy boy...Kwanza mimi siendagi kwenye mabaa....I can't even recall the last time I was in bar....halafu nina kitambi? Puh-lease....you really wish you knew me huh?

Alafu anakuita shemeji...shemeji gani hamjui shemeji yako yupo vipi dang!...kazi kweli kweli
 
The word doesnt sound good at all cupcake...inasound kama yupo cheap!

nah..you just took it the wrong way....i was just using a sports analogy....free agent...which means a player can sign with a team (a right one of course) if they offer the right kinda money....it was just an analogy if u know what i mean
 
mzee wa sauti za umeme mbona hamgusi? mnaogopa kuambiwa anawajua......BTW sauti za umeme huyu jamaa anaonekana hana tofauti na Makamba....

Nimecheka sana hahahahah naona mzee amejitoa JF kwa masalahi ya chama....
 
nah..you just took it the wrong way....i was just using a sports analogy....free agent...which means a player can sign with a team (a right one of course) if they offer the right kinda money....it was just an analogy if u know what i mean

Oh free agent like in football?!....
 
mzee wa sauti za umeme ndiyo nani?...wee nitajie nitakuambia yupoje haogopwi ntu...

ni sijui nini maana ya kauzu hahaha no cupcake hana kitambi umenoa hiyo...
kauzu ni bandindu,mtindiga,msenegali..hujanipata tu?

.....sauti za umeme muulize shem langu masanilo atakuambia....mshikaji wake saana...
 
kauzu ni bandindu,mtindiga,msenegali..hujanipata tu?

.....sauti za umeme muulize shem langu masanilo atakuambia....mshikaji wake saana...

Kauzu kama samaki kauzu?!...mtindiga ni mjinga right?..

huyo mtu sauti ya umeme simjui aisee!....jina lake ndiyo hivyohivyo sauti ya umeme?.
 
kauzu ni bandindu,mtindiga,msenegali..hujanipata tu?

.....sauti za umeme muulize shem langu masanilo atakuambia....mshikaji wake saana...

Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, napiga mwano....muulize shem wako NN maana ya Mwano!!!
 
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, napiga mwano....muulize shem wako NN maana ya Mwano!!!

Shem alafu yule ndugu yenu SteveD sijui kwa nini namfananisha kila wakati na kaka mmoja anaitwa Steve W!
 
[quoteYE---Huyu ni namfananisha na Yule kocha wa Bears…anaonekana ni mfupi around 5”4 alafu ana nywele kafuga na ndevu…ana kitambi kidogo anafu mbishi sana.

To be continued….[/quote]

Kelly hapo umepatia sana kuhusu mimi....lol
 
Shem alafu yule ndugu yenu SteveD sijui kwa nini namfananisha kila wakati na kaka mmoja anaitwa Steve W!

Ohhhh yule ni MoD anagalia asije kuban IP address yako...muogope kama sumu....usimfananishe na chochote wala kumuwaza...
 
[quoteYE---Huyu ni namfananisha na Yule kocha wa Bears…anaonekana ni mfupi around 5”4 alafu ana nywele kafuga na ndevu…ana kitambi kidogo anafu mbishi sana.

To be continued….

Kelly hapo umepatia sana kuhusu mimi....lol[/QUOTE]

HAHAHAHAH YE!...let me count my self genius on that duh see i always imagine you that way kumbe ni kweli!..astakghafulahi!
 
Hii si mchezo
 
Mwanamalundi

Hahahah Mwanamalundi aje haraka kuomba msamaha hahahahah

Nyani Ngabu
(a) Ana kitambi cha pombe za kienyeji
(b) Anavaa suruali zenye kubana makalio
(c) Ana mokasini za rangi nyeupe na mashati ya kubana mwili
(d) Mtaalam sana wa kucheza draft; halafu mbishi kupindukia
(e) Mwoga sana kutongoza akina dada

Kwanza hakuna watu wa hivyo siku hizi labda ungesema anapenda cheza pool na bowls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…