How I imagine people in JF

How I imagine people in JF

No way .....ni wakukaya huyo...wale wa Musoma hawako Romantic ni kama akina Chris Brown.....

hahahaha uwiii! so chris brown anatokea musoma kumbe?!....alikuwa anaonekana seious sana steveD ndiyo maana nikadhani ni wa musoma,sikujua kama anaweza kumake jokes pia...nilidhaniaga ni kuhani wa pili!..
 
If you trace back the grand ancestors of Chriss Brown, his fifth generation is originated from Tarime!! Ndo maana anazile traits....
 
Najua Mwanamalundi ana dig style yangu lakini hawezi kukiri hadharani kwa hiyo anakiri kwa gia ya kinyumenyume....hii ni psychology mazee....

hahahaha uwiii! so chris brown anatokea musoma kumbe?!....alikuwa anaonekana seious sana steveD ndiyo maana nikadhani ni wa musoma,sikujua kama anaweza kumake jokes pia...nilidhaniaga ni kuhani wa pili!..

Oooh helllllllz no! Steve D is cool as ice! Him and Ku Who are day and night.

Subiri aione hii....atakuja hapa na kutoa 2 cents zake....he's really cool...trust me Cupcake
 
Nimecheka sana hahahahah naona mzee amejitoa JF kwa masalahi ya chama....
shem si unafahamu wale wazee na store zao za uhuru na anataka umsikilize yeye tu usibishe si ndio type zile pale.....

.....Mama nahisi ni kigoli kimoja matata sana.....under 28.....
 
I have to help her...she means when it comes to serious matter unakuwa serious to discuss lakini pia you can be fun and make jokes...unlike those who pretend to be stack on politics tuu wakidhani kuwa ndiyo smart move...kumbe ni some bogus move hata obama pia can be fun at times..kuna times za kuwa serious na kufanya jokes...

Kelly01!!!

Utani wako na Nyani Ngabu na imagine km ndoa za watu zingekuwa hivyo naamini tungekuwa na ulimwengu wenye raha tupu pasi na karaha!!!

Big up 2 u!!!
 
Kelly01!!!

Utani wako na Nyani Ngabu na imagine km ndoa za watu zingekuwa hivyo naamini tungekuwa na ulimwengu wenye raha tupu pasi na karaha!!!

Big up 2 u!!!

Thank you Aljuniotz.....i hope we are role model to others ambao relationship/ndoa zao zinafarakana....thank you again!

stay put!
 
shem si unafahamu wale wazee na strore zao za uhuru na anataka umsikilize yeye tu usibishe si ndio type zile pale.....
.....Mama nahisi ni kigoli kimoja matata sana.....under 28.....

Ooohh yeah...nasikia mzee wa sauti anacheza sana bao na draft...lol, hebu MP huyo mama....huwezi jua
 
Oooh helllllllz no! Steve D is cool as ice! Him and Ku Who are day and night.

Subiri aione hii....atakuja hapa na kutoa 2 cents zake....he's really cool...trust me Cupcake

hahah cupcake you knwo what...naimagine this dude kuhani yeah anaenda shoe shine alafu jamaaa wa shoe shine amekosea kupolish kiatu chake vizuri weeh atatoka na hasira hapo na kuanza kupreach about politics...hahahaha
 
Ooohh yeah...nasikia mzee wa sauti anacheza sana bao na draft...lol, hebu MP huyo mama....huwezi jua
lazima niende kwa stepu anaonekana ni zile type zinakuleta unajiona umeshinda ukiingia anga tu unakula mabuti ya shingo......ihihihhihihi usawa huu JF nitahama....
 
Kelly01!!!

Utani wako na Nyani Ngabu na imagine km ndoa za watu zingekuwa hivyo naamini tungekuwa na ulimwengu wenye raha tupu pasi na karaha!!!

Big up 2 u!!!

'preciate that hommie....we cool peoples...you know...life is too short to be uptight all the time...it's important to stop and smell the roses every now and then...
 
lazima niende kwa stepu anaonekana ni zile type zinakuleta unajiona umeshinda ukiingia anga tu unakula mabuti ya shingo......ihihihhihihi usawa huu JF nitahama....


ahahahaha kumbe wewe ni muoga eeh!...MAMA is cool wee muandikie PM tuu kama kweli umemind hana hizo trust me!....
 
hahah cupcake you knwo what...naimagine this dude kuhani yeah anaenda shoe shine alafu jamaaa wa shoe shine amekosea kupolish kiatu chake vizuri weeh atatoka na hasira hapo na kuanza kupreach about politics...hahahaha

Heheheheee...no...jamaa wa shoe shine akipolish vibaya kiatu chake Ku Who atataka kumharibia jamaa biashara yake...atauliza bosi wake nani na atataka kupiga simu Better Business Bureau kumripoti...hehehe...sijui kama bongo tuna Better Business Bureau....

Anyway, tuache kumwongelea huyu jamaa maana tusije tukaambiwa tuko "obssessed" naye....
 
ahahahaha kumbe wewe ni muoga eeh!...MAMA is cool wee muandikie PM tuu kama kweli umemind hana hizo trust me!....

Cupcake...I think Yo Yo You can't play with my Yo Yo is right on this one....Mama is a typical angry black woman...teh teh teh.....you just wait...you'll see
 
'preciate that hommie....we cool peoples...you know...life is too short to be uptight all the time...it's important to stop and smell the roses every now and then...

Mazee kuna thread kule mambo ya mapenzi wajuv wanadai eti pipo to be happy lazima sijui shem ufanye naye nini....uwiiiiiiiiiiiiiii
 
'preciate that hommie....we cool peoples...you know...life is too short to be uptight all the time...it's important to stop and smell the roses every now and then...

Me 2, i appreciate that character. Ninaposoma majibizano yako na kelly01, na-imagine km mpo rum pmj then kila mtu ana pc yake mnachat tartiibu, passion juice ikiwa pembeni.... tehe heeee!!!!
 
Cupcake...I think Yo Yo You can't play with my Yo Yo is right on this one....Mama is a typical angry black woman...teh teh teh.....you just wait...you'll see


Lambda nyie mnamuingia mama vibaya...mbona she is nice to me!...
 
ahahahaha kumbe wewe ni muoga eeh!...MAMA is cool wee muandikie PM tuu kama kweli umemind hana hizo trust me!....
buti baya ati....jF nitaiona kama mahakama ya kisutu......

...kuna jamaa alipigwa buti kazini akaacha kazi....unacheza eeh
 
Back
Top Bottom