How I imagine people in JF

How I imagine people in JF

buti baya ati....jF nitaiona kama mahakama ya kisutu......

...kuna jamaa alipigwa buti kazini akaacha kazi....unacheza eeh

hahaha hiyo kiboko unaacha kazi kisa umepigwa buti...ok then mama akiingia atasoma na kujua kuwa she has secret admirer lakini anamuogopa so expect PM kutoka kwa mama later on today!....

Mama upo wapi .....you have secret admirer aisee ila anaogopa kuanza move say something...
 
buti baya ati....jF nitaiona kama mahakama ya kisutu......

...kuna jamaa alipigwa buti kazini akaacha kazi....unacheza eeh

tatizo Cupcake hawezi ku relate mambo ya kupigwa vibuyu kwa sababu kazoea kuwapiga watu vibuyu. mimi na wewe tunaweza ku relate mambo hayo.....kumbuka she's standing on the other side of the fence....
 
Mazee kuna thread kule mambo ya mapenzi wajuv wanadai eti pipo to be happy lazima sijui shem ufanye naye nini....uwiiiiiiiiiiiiiii

Naah..dawg....that's not our cup of tea....hiyo tunamwachia Kibs na wenzake...Lol

Cupcake....vipi Kibs? Umetupa description yake?
 
tatizo Cupcake hawezi ku relate mambo ya kupigwa vibuyu kwa sababu kazoea kuwapiga watu vibuyu. mimi na wewe tunaweza ku relate mambo hayo.....kumbuka she's standing on the other side of the fence....

hahaha you are standing on the other side of the fence na kuanza kutongoza then demu anachimba kisima kwa kutumia dole gumba lake la mguu kwa aibu ...
 
tatizo Cupcake hawezi ku relate mambo ya kupigwa vibuyu kwa sababu kazoea kuwapiga watu vibuyu. mimi na wewe tunaweza ku relate mambo hayo.....kumbuka she's standing on the other side of the fence....
aaaah niangusage tena....
 
Naah..dawg....that's not our cup of tea....hiyo tunamwachia Kibs na wenzake...Lol

Cupcake....vipi Kibs? Umetupa description yake?

hahaah Kibunango why did i forget about him...here we go

Kibunango---ni moderate siyo mwembamba wala siyo mnene hana kitambi ila mlevi sana....dark brown complexion,ana cool cut,macho makubwa and brown,he is 5"4 not taller than me of course anapenda kuchomekea jeans na viatu vya kuchongoka kama 9ija people.
 
hahaha you are standing on the other side of the fence na kuanza kutongoza then demu anachimba kisima kwa kutumia dole gumba lake la mguu kwa aibu ...

Kelly01;
Wkt cupcake wako anakutongoza nawe ulichimba kisima kwa dole gumba nini??? "Aisifiae mvua...................."

Its jokes lady
 
mzee wa sauti za umeme ndiyo nani?...wee nitajie nitakuambia yupoje haogopwi ntu...

ni sijui nini maana ya kauzu hahaha no cupcake hana kitambi umenoa hiyo...

Kelly,Mzee wa Sauti ya Umeme=Field Marshall ES
 
Kelly01;
Wkt cupcake wako anakutongoza nawe ulichimba kisima kwa dole gumba nini??? "Aisifiae mvua...................."

Its jokes lady

No wakati ananitongoza cupcake me nilikuwa naangalia his lips na macho yake tuu while mguu wangu wa kushoto nikiwa nimeunja kwa juu...i was thinking about him kissing me tuu..so nilikuwa naona lips zinamove hatasijuianaongea nini....lol
 
Kelly hapo umepatia sana kuhusu mimi....lol

HAHAHAHAH YE!...let me count my self genius on that duh see i always imagine you that way kumbe ni kweli!..astakghafulahi![/QUOTE]


Hahah Lovie Smith sio...haya go bears and me with beard..lol
 
ooh him?!....mbona nimesha mdescribe huko nyuma...kumbe yo yo alikuwa anamuongela huyo auuugh!...mtoto wa mt vermont huyo!...

Habari ndo hiyo...Labda YoYo hakuona jinsi ulivyomdescribe mzee wa kukata ishuuuuuuuuuuuuuuuuuuzzz
 
Habari ndo hiyo...Labda YoYo hakuona jinsi ulivyomdescribe mzee wa kukata ishuuuuuuuuuuuuuuuuuuzzz

Oh yeah i did...kwenye page ya mwanzo mwanzo huko kama ya pili au tatu....si field mashall ES>?!!!!!ooh pleaseee....."mzee wa nakujua wewe!"
 
Back
Top Bottom