How I imagine people in JF

How I imagine people in JF

Oooh me i think unataka kuchapana na cupcake wangu ...he is the only one who calls me cupcake you know .....

Really talk yes that is my picture..Cupcake ndiyo alinipiga hiyo picha and i love it....maana i look so natural.



Mwambie cupcake hongera.
 
Mwambie cupcake hongera.

Nimwambie Hongera ya nini?....


hey cupcake unaambiwa hongera sijui ya nini?...umempa mimba mwanamke nje nini?|...Masanilo you have some explanation to make here|kuhusu ndugu yako|
 
Hahahaha My dia mimi naangalia champions league!! Ars Vs Roma na wale Man U na Inter...good football, sijui kwanini timu zetu ovyooooo!! Jamani ndugu yangu msimuguse jamani hana kashfa nisafi kama theluji...
 
Hahahaha My dia mimi naangalia champions league!! Ars Vs Roma na wale Man U na Inter...good football, sijui kwanini timu zetu ovyooooo!! Jamani ndugu yangu msimuguse jamani hana kashfa nisafi kama theluji...

I used to hate sport!..but i happen to watch it since cupcake anapenda sana so now i love watching it though siyo mpenzi sanaaaa...i watch it because of him.....and this one girl i know anapenda sana manchester united eeh kiasi kwamba she named her son manchester can you imagine?...alafu ni demu huyo...thats wierd though unampa mtoto jina eti Lord Manchester what kind of a name is that.....na anasema akipata mtoto mwingine iwe demu au men atamuita after the manchester stadium...i forgot the name of it...
 
HAhahah huyo amepinda!! Kuna ndugu yangu mmoja alimpa mtoto wake Jina Kikwete, lakini baada ya muda kuona ndivyo sivyo maisha bora hayaji...alibadili na sasa namwita huyo my cousin Slaaa....mapenzi hayo shem....Old Trafford ndo jina la uwanja...
 
Nimwambie Hongera ya nini?....


hey cupcake unaambiwa hongera sijui ya nini?...umempa mimba mwanamke nje nini?|...Masanilo you have some explanation to make here|kuhusu ndugu yako|


Hongera kumpata kimwana kama wewe unaonesha ni maridhia,mpole,mkarimu,mrembo sana,mwenye akili,mwenye heshima,hodari wa kuzungumza na mchesh,ushauri wangu kwa sisi wenye experiance ya kutosha katika fani hiyo ya mahusiano unapokipata kizuri unaking'ang'ania la sivyo utakuja kikumbuka baadae utabaki unalia peke yako for the rest of your life. Think Twice.


SAHIBA.
 
HAhahah huyo amepinda!! Kuna ndugu yangu mmoja alimpa mtoto wake Jina Kikwete, lakini baada ya muda kuona ndivyo sivyo maisha bora hayaji...alibadili na sasa namwita huyo my cousin Slaaa....mapenzi hayo shem....Old Trafford ndo jina la uwanja...


Hivi ni kweli watu wanakuwa obssesed na watu hadi wanawaita those name?..at first i thought alikuwa anatania...all these years nilikuwa najua mtoto anaitwa chester sikujua kumbe kirefu ni manchester duh!....yes hilo hilo Trafford hahahahaha uwiii so you have a cousin with a name slaa"?...like dr Slaa?.....mmmh!
 
Duh!! JF kuna mambo hehehe kuna watu wana ndoto za kuwa marais wa Tanzania(desktop politicians never cease to amaze me).

Kelly01 must be average height 5'5"-5'6", weigh about 130lbs, the coordinates 34-26-34, dark brown complexion. charming and outgoing.(IMO)
 
Hongera kumpata kimwana kama wewe unaonesha ni maridhia,mpole,mkarimu,mrembo sana,mwenye akili,mwenye heshima,hodari wa kuzungumza na mchesh,ushauri wangu kwa sisi wenye experiance ya kutosha katika fani hiyo ya mahusiano unapokipata kizuri unaking'ang'ania la sivyo utakuja kikumbuka baadae utabaki unalia peke yako for the rest of your life. Think Twice.


SAHIBA.


Thanks Sahiba and great advice for really!..i hope cupcake will read this and take into consideration.
 
Duh!! JF kuna mambo hehehe kuna watu wana ndoto za kuwa marais wa Tanzania(desktop politicians never cease to amaze me).

Kelly01 must be average height 5'5"-5'6", weigh about 130lbs, the coordinates 34-26-34, dark brown complexion. charming and outgoing.(IMO)


hahahaah Icadon....umejuaje lakini duuh yaani i am speechless for really!...whaaat?..maana nashindwa kutype tena mmmh!...


did you read the way ninavyo-kuimagine wewe?....i hope you did...but still umeniacha aisee looh!>
 
Thanks Sahiba and great advice for really!..i hope cupcake will read this and take into consideration.


Is an advise for all of you ambao mko na same situation msiombe kuwa na mahusiano na kichehe labda mkutane wote vicheche.


SAHIBA.
 
Hivi ni kweli watu wanakuwa obssesed na watu hadi wanawaita those name?..at first i thought alikuwa anatania...all these years nilikuwa najua mtoto anaitwa chester sikujua kumbe kirefu ni manchester duh!....yes hilo hilo Trafford hahahahaha uwiii so you have a cousin with a name slaa"?...like dr Slaa?.....mmmh!

Mambo ya wajaluo hayo baba au mama wakipenda kitu basi lazima wakupe jina la hicho kitu au sehemu au mtu maarufu.
 
hahahaah Icadon....umejuaje lakini duuh yaani i am speechless for really!...whaaat?..maana nashindwa kutype tena mmmh!...


did you read the way ninavyo-kuimagine wewe?....i hope you did...but still umeniacha aisee looh!>

Nah, I didn't hiko kwenye page gani? lol I am sure uko way off target lol, let me see and will tell you.
 
Hahhahahaha na wee nae umekuwa bwege mtozeni, zezeta na babujinga kwa pamoja....kutwa cupcake, cupcake utafikiri umebalehe juzi! LOL

tatizo lako huna wa kwako wa kumwita cupcake ndio maana unaongea kama levi lenye machungu na maisha....
 
hahahahaha na ma-cupcake ktk kila "area code," sio wewe kazi kushika pembe tu hapa wakati wakamuaji ni wengine....kwanza umeacha kuvaa diapers??🙂

najua demu wako ndio kakuambia huwaga navaa diapers kwa sababu mimi na yeye tulikuwa tuna role play kwa sana tu....lol
 
Back
Top Bottom