How I imagine people in JF

How I imagine people in JF

oops i forfor my friend Icodin....huyu anaonekana ni mwembamba mrefu..brown skin ana dread locks na anapenda sana wanawake.....
 
I'm sure Masa won't have a problem with it....but I dunno about Himawari..if she is a free agent or not...we'll find out I guess...I think they'll make a cute couple....

Yeah!!Thats will be lovely provided shes a a free agent.
 
Hey sweetthing - sweetthang sweet baby upo habari za towers
__________________
AAAAhhhhhh towers wako poa!!!naona leo umeamua kunchunia uko na KELLY01
 
Yo yo –Fun guy kama Dave chappele ila inaelekea ni mfupi hivi around 5”5..una kama afro hivi..alafu mgomvi.
arrrg nitake radhi cupcake wa shemeji yangu.......
mie mtu cool sana zamani nilikuwa mpole sana nikaja kugundua mademu hawapendi watu wapole.....ukiwa kauzu ndio wanapenda......

YNIM huyu jamaa atakuwa wale jamaa siasa kali na bonge la sijda kubwaaa kwenye paji la uso.....

Mwanakijiji huyu hamna shaka atakuwa bandindu store zake kwa wanawe ni kuwa hajawahi kuwa wa pili darasani..... dizaini ya madingi ambao watoto wao anataka waangalia C-Span siku nzima na hakuna kula mpaka amalize homework ya hisabati....na ni marufuku kuwa na cellphone kwa watoto wake....
 
I'm sure Masa won't have a problem with it....but I dunno about Himawari..if she is a free agent or not...we'll find out I guess...I think they'll make a cute couple....

Yeah!!Thats will be lovely provided shes a a free agent.
 
hahaha yeah cupcake imekaa vizuri sana...i cant wait...na sijui naye masanilo amepotelea wapi sijui ndiyo keshakwenda gym tayari...

Kuna jamaa alinivamia hapa so nimemtoa mtoto unakili sana wewe...naenda in an hour tokea sasa!! I love killing the guns in da GYM
 
Yes indeed...bibie vipi sema upo upo ama ....🙄

wewe si ulipotea so amendoka i hope atarudi baadaye.....yeah shem she sound such a nice girl..vey cool i like her if i like her that means she is the best!.....you two can make a great ciouple no doubt on thats hem...
 
arrrg nitake radhi cupcake wa shemeji yangu.......
mie mtu cool sana zamani nilikuwa mpole sana nikaja kugundua mademu hawapendi watu wapole.....ukiwa kauzu ndio wanapenda......

hahahah YO YO!....Kuuzu ndiyo nini?yaani unakuwa mkali?au bad boy?...siyo kila demu anaoenda bad boy na siyo kila demu anapenda kijana mpole...ila you need to show some consideration...

YNIM huyu jamaa atakuwa wale jamaa siasa kali na bonge la sijda kubwaaa kwenye paji la uso.....

siasa kali siyo!au mswalihina yule anasali swala tano?

Mwanakijiji huyu hamna shaka atakuwa bandindu store zake kwa wanawe ni kuwa hajawahi kuwa wa pili darasani..... dizaini ya madingi ambao watoto wao anataka waangalia C-Span siku nzima na hakuna kula mpaka amalize homework ya hisabati....na ni marufuku kuwa na cellphone kwa watoto wake....


hahahaha mnamuonea my cuzin..kumbuka na uzee wake lakini ana game kali sana compared to ya"ll...yeye akija na mashairi yake aaah! mademu wanamzimia kwa hilo...
 
Yeah!!Thats will be lovely provided shes a a free agent.

You two are wrong and nasty!...dont call her free agent!...that is not a good word!...where is your mannerism?
 
Last edited:
hahahah YO YO!....Kuuzu ndiyo nini?yaani unakuwa mkali?au bad boy?...siyo kila demu anaoenda bad boy na siyo kila demu anapenda kijana mpole...ila you need to show some consideration...
hujui kauzu?
msemo wa huku town.....

......cupkeki wako anaonekana ana kitambi afu jamaa mmoja mpenda sifa sana hasa bar......

mzee wa sauti za umeme mbona hamgusi? mnaogopa kuambiwa anawajua......BTW sauti za umeme huyu jamaa anaonekana hana tofauti na Makamba.....
 
You two are wrong and nasty!...dont call her free agent!...that is not a good word!...where is your mannerism?

no Cupcake....being a free agent is not bad..it just means she is single and ready to mingle....
 
hujui kauzu?
msemo wa huku town.....

......cupkeki wako anaonekana ana kitambi afu jamaa mmoja mpenda sifa sana hasa bar......

mzee wa sauti za umeme mbona hamgusi? mnaogopa kuambiwa anawajua......BTW sauti za umeme huyu jamaa anaonekana hana tofauti na Makamba.....

mzee wa sauti za umeme ndiyo nani?...wee nitajie nitakuambia yupoje haogopwi ntu...

ni sijui nini maana ya kauzu hahaha no cupcake hana kitambi umenoa hiyo...
 
Back
Top Bottom