How I Met My Wife

How I Met My Wife

11th of Nzi Chuma..

Nitaandika hii mpaka nifike mwisho..

Mwaka wa tatu wa chuo kwangu ulikuwa na ubusy kidogo, so sikuwa na time sana na mapenzi kiviile, muda mwingi nilikuwa chuo, nikirudi usiku sanaa geto nimechoka, naweka simu silent nalala. Nai alikuwa mwanamke mwelewa sana, hakusumbua, shida niliipata hapa kwa single mama, akiwa yupo pale usiku anapiga simu mpaka unajuta yaani..mpaka sometimes nikawa nazima simu..yeye muda wote anataka mapenzi tu!! Mwezi mmoja kabla ya UE huyu single mother nae akapata mimba yangu. Alifurahi sana, alinambia kumbe alihangaika muda mrefu sana kupata mimba nyingine, lakini mimi nimemuwezea. Kwangu sikuona shida, nilijua kwa sababu anafanya kazi na ametafuta mtoto kwa muda mrefu, atazaa tu na atalea.. Lakini haikuwa hivyo. Nilivyoondoka tu pale Moro baada ya kumaliza UE, wiki mbili tu nyuma akaniambia imeharibika, nikajua atakua ameshaitoa.

Niliendelea kuwasiliana na Nai na pia niliendelea kuhudumia mtoto kwa Sophy!. Sikukaa sana kitaa nikapata kazi katika mradi flani ambao walikuwa wanatulipa vizuri, hapo nikaamua kujitegemea rasmi na kuanza mipango ya kuanzisha family.. Moyoni mwangu aliishi Nai tu. Niliamini nitamuoa tu one day.. Baada ya kufanya kazi kwa miezi sita hapa jijini nikawa niko vizuri sana. Nikarudi home na kuwaeleza mikakati yangu juu ya kuanzisha familia, nikawaeleza kuhusu Nai na yote yaliyotokea. Vidume vikajitokeza kunisaidia, nikavipa map vikafika kuonana na wazazi wake Nai..naam mtu mzima dawa, hawakutoka patupu..nikapata mrejesho wa kulipa mahari, nikalipa na kumuoa Nai, mtu niliyempenda zaidi maishani mwangu..!!. Lakini Nai hakuwa na raha na ndoa yetu, alikuwa anajua kuwa hawezi kupata mtoto. Lakini mimi nilimpa moyo kwa kumwambia kuwa ni bora nimekuwa mimi ambaye ndio msababishaji wa yote haya ndiye niliyekuoa kuliko angekua mtu mwengine, angekunyanyasa sana.. Nilijitahidi kufanya kila niwezalo Nai awe na furaha katika ndoa, lakini sidhani kama nilifanikiwa kwa 100%.

Muda flani akaanza kunilazimisha nioe mwanamke mwengine ili nipate mtoto (hapa tulishakaa miaka miwili katika ndoa). Alihisi sina amani. Lakini mimi nilikomaa nae, kila daktari mtaalam wa Gynecology niliyemsikia nilionana nae, dawa nyingi zikitumika lakini bado hatukufanikiwa. Mwisho nikamweleza ukweli Nai kuhusu Sophy, akaniambia niwasiliane na Sophy ili Abdul aje hapa atufariji.. Nikawasiliana na Sophy, nikamueleza mpango wangu, hapo ndipo Sophy aliponibadilikia na kunieleza kuwa yule mtoto hakuwa wangu kabisa, ni kuwa tu baba yake hajiwezi kiuchumi ndo maana akanibambikia, na ndo maana kipindi cha ujauzito hakunishirikisha..lakini baada ya mtoto kuzaliwa wakahisi atakosa huduma muhimu ndo maana wakanibambikia. Hapo hamu ikaniishia, sikutaka kuujua undani sana wa huyo mtoto nikaamua kupotezea.. Nikaconcentrate na Nai wangu..

Miaka ilipofika mitatu bila mtoto, nikalifanyia kazi wazo la Nai, nikaenda zangu kuchukua shombeshombe Pemba (how i met her, it's another story). Huyu ni kama alipata mimba siku ya harusi hivii...hahhahaa manaake alizaa miezi tisa kamili. Lakini Mungu sio Mzee Mkumba, baada ya kuoa, Nai alishika mimba mwezi mmoja tu mbele.. So alipishana na yule mke wangu wa pili mwezi mmoja tu kujifungua. Baada ya mwaka mmoja Nai akashika mimba nyingine na kuniletea toto la kiume (wa kwanza alikuwa wa kike). Kwa sasa nina watoto wanne, wawili wa kike na wawili wa kiume (kila mke mmoja akiwa na mtoto wa kike na kiume). Wanapendana sana na tunaishi kwa amani iliyopitiliza.
Wadau, nimejitahidi kufupisha ili nisiwachoshe.. and this marks the end of how I met my wife...!!.


Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo
Mkuu stori yako tamu ila naungana na Nai "wewe huna msimamo". Ile mimba ya kwanza hukutakiwa kuitoa. Nai hakuwa mwanafunzi wala nini hivyo hakuna msukosuko wowote kisheria ambao ungeupata. Kwa ulegelege wako ona sasa umezika watoto karibia watano na zaidi ya yote umemletea uke wenza Nai. Umenisikitisha mkuu. Nai hakupaswa kuwa kwenye ukewenza. She was a full package.
 
Mkuu stori yako tamu ila naungana na Nai "wewe huna msimamo". Ile mimba ya kwanza hukutakiwa kuitoa. Nai hakuwa mwanafunzi wala nini hivyo hakuna msukosuko wowote kisheria ambao ungeupata. Kwa ulegelege wako ona sasa umezika watoto karibia watano na zaidi ya yote umemletea uke wenza Nai. Umenisikitisha mkuu. Nai hakupaswa kuwa kwenye ukewenza. She was a full package.
Mkuu, sometimes kama nataka kukubali hivii... Lakini hujawahi kukutana na sura ya Mama Nai wewe... Ndio maana!! Sometimes nilikuwa nafikiria kama naweza kupoteza shule yangu, nikawa mpole zaidi.
 
Mkuu, sometimes kama nataka kukubali hivii... Lakini hujawahi kukutana na sura ya Mama Nai wewe... Ndio maana!! Sometimes nilikuwa nafikiria kama naweza kupoteza shule yangu, nikawa mpole zaidi.
Nai aliyatoa maisha yake kwa sababu yako. She only needed a simple thing from you, a support. That is all she needed. But you let her down. Hicho chuo Wala usingekipoteza. Huwezi kufukuzwa chuo kisa eti umepiga mimba. Isitoshe hata kama ungefukuzwa kwa ajili ya Nai kulikuwa na shida gani? Nai sucrificed her family for you why couldn't you sucrifice your schooling fer her too?
 
Nzi Chuma

(i) Ahsante kwa simulizi yako

Ahsante pia kwa muda wako, nadhani umeona jinsi gani kuandika inavyokula muda.

(ii) Kuna mengi ya kujifunza kwenye simulizi yako yakiwemo:-

>> Umuhimu wa Kijana kuoa pindi akifikia umri ili aepukane na ufisadi, 'uharibifu'...

>> Umuhimu wa kuwa na msimamo na kusimamia unachoamini ili mradi umejiridhisha kuwa upo sahihi...

>> Umuhimu wa kushirikisha watu wenye busara katika mambo...

>> Umuhimu wa kutofanya ngono zembe...

>> Hatari iliyopo kwa kufanya arbotion...

>> Umuhimu wa Mabinti kujichunga hadi siku ya ndoa...

>> Umuhimu wa elimu...

>> Ubaya wa usiri (japo mara nyingine kuna faida)

>> Ubaya wa uongo...

>> Umuhimu wa mitala...

"Matumbo ya uzazi yana wivu" ni msemo ambao bado unathibiti tangia enzi za Sarah na Hajira (wake za Ibrahim baba wa Ismail na Is'haq)

Yani kama mkeo hajapata mtoto (as long as anaona siku zake za hedhi) ukioa na kuzaa kwa mke mwingine, kuna asilimia kubwa ya mkeo mgumba kupata mimba pia...

>> Ubaya wa kukata udugu... (Jitahidi umsamehe Dada, alikuwa yupo sahihi), binadamu tumetofautiana namna ya uwasilishaji...

Mfano mtu akisema, "Nzi Chuma, ndugu zako watakufa wote utakuwa mkiwa..."

Mwingine akisema, "Nzi Chuma, umejaaliwa umri mrefu zaidi kuliko ndugu zako..."

Unaweza kuchukia kauli ya mtu wa kwanza...
__
Msamehe kisha umuombe radhi nduguyo

>> Umuhimu wa kushea 'yaliyokukaba' moyoni kwa unaowaamini, naamini kuanzia sasa umetua mzigo fulani na huenda ikawa sababu ya wewe na dada yako kuunga udugu tena.

>> Umuhimu wa wazazi kuongea na watoto wao kuhusiana na 'afya na mambo ya uzazi'
__

Bila shaka umetumia majina ambayo si halisi ya wahusika.

__

Tunasubiri simulizi za wadau wengine. Na niwashauri kwamba, wote wenye nia ya kuleta simulizi hapa waanze kuandika sasa, taratibu bila kuweka post jukwaani hapa, ili simulizi moja ikiisha ije nyingine tayari ikiwa na episodi kadhaa, kusubiri sana post kipindi hiki cha sintofahamu ya Covid-19 haifai [emoji23]

James Jason
 
Nzi Chuma

(i) Ahsante kwa simulizi yako

Ahsante pia kwa muda wako, nadhani umeona jinsi gani kuandika inavyokula muda.

(ii) Kuna mengi ya kujifunza kwenye simulizi yako ikiwemo:-

>> Umuhimu wa Kijana kuoa pindi akifikia umri ili aepukane na ufisadi, 'uharibifu'...

>> Umuhimu wa kuwa na msimamo na kusimamia unachoamini ili mradi umejiridhisha kuwa upo sahihi...

>> Umuhimu wa kushirikisha watu wenye busara katika mambo...

>> Umuhimu wa kutofanya ngono zembe...

>> Hatari iliyopo kwa kufanya arbotion...

>> Umuhimu wa Mabinti kujichunga hadi siku ya ndoa...

>> Umuhimu wa elimu...

>> Ubaya wa usiri (japo mara nyingine kuna faida)

>> Ubaya wa uongo...

>> Umuhimu wa mitala...

"Matumbo ya uzazi yana wivu" ni msemo ambao bado unathibiti tangia enzi za Sarah na Hajira (wake za Ibrahim baba wa Ismail na Is'haq)

Yani kama mkeo hajapata mtoto (as long as anaona siku zake za hedhi) ukioa na kuzaa kwa mke mwingine, kuna asilimia kubwa ya mkeo mgumba kupata mimba pia...

>> Ubaya wa kukata udugu... (Jitahidi umsamehe Dada, alikuwa yupo sahihi), binadamu tumetofautiana namna ya uwasilishaji...

Mfano mtu akisema, "Nzi Chuma, ndugu zako watakufa wote utakuwa mkiwa..."

Mwingine akisema, "Nzi Chuma, umejaaliwa umri mrefu zaidi kuliko ndugu zako..."

Unaweza kuchukia kauli ya mtu wa kwanza...
__
Msamehe kisha umuombe radhi nduguyo

>> Umuhimu wa kushea 'yaliyokukaba' moyoni kwa unaowaamini, naamini kuanzia sasa umetua mzigo fulani na huenda ikawa sababu ya wewe na dada yako kuunga udugu tena.
__

Bila shaka umetumia majina ambayo si halisi ya wahusika.

__

Tunasubiri simulizi za wadau wengine. Na niwashauri kwamba, wote wenye nia ya kuleta simulizi hapa waanze kuandika sasa, taratibu bila kuweka post jukwaani hapa, ili simulizi moja ikiisha ije nyingine tayari ikiwa na episodi kadhaa, kusubiri sana post kipindi hiki cha sintofahamu ya Covid-19 haifai [emoji23]

James Jason
Mkuu nakushukuru sana, tuko pamoja..!! Mimi kwa sasa ni mwalimu mzuri sana katika haya mambo.. Dada nitafikiria namna ya kumsamehe nahisi kama naanza kuwaelewa hivi...!!
 
How Fisadi Kiwembe got his wife

Kutoka Sumbawanga, miaka kadhaa iliyopita kama nilivyosimuliwa

Jamaa alipata mke bila kutarajia.

Jamaa alikuwa fisadi kiwembe, kisha alijisifu kwa marafiki zake kuwa 'ameshakula madem' kila aina, mabonge, vimbaumbau, wafupi, warefu, weupe, weusi, wazungu, waasia, walemavu wa viungo nk, akawa amebakisha mwanamke albino tu.

Kwa hiyo mawindo yake yakawa ni kwa wanawake wenye ualbino.

Siku ya siku paap, akamuona binti mrembo umri unaokubalika...

Jamaa akaanza kumfuatilia na kumpiga sound nyingi...

Huku na huku baada ya kusotea wiki kadhaa jamaa akakubaliwa..

Kumbe binti albino hajawahi kuduu... Jamaa na ndom zake akaanza mchakato lakini dushe halikupita, ndipo akajuwa kuwa papuchi haijatumika kabisa...

Wakapanga siku nyingine, siku ile muda ulikuwa umeisha. Binti albino alikuwa bado anaishi kwa wazazi wake.

Siku ya ahadi kumbe yule binti alikuwa heat period, naye si mjuzi wa mambo hayo, akapeleka papuchi...

Jamaa alijiandaa kuitoa 'seal' ya albino huku tayari alikuwa ameshajisifia kwa marafiki zake...

Kweli, dushe siku hiyo likafanikiwa kupenya, hakuvaa ndom, kwa mzuka wareno hawakuchelewa...

Jamaa alirudi mtaani akijisifu kutimiza azma yake ya 'kugonga' sampuli nyingi za wanawake...

Baada ya miezi minne jamaa akatajwa na binti kwa wazazi wake kuwa ni muhusika wa ujauzito alionao...

Timu ya wazee wa Kisumbawanga ikaundwa, jamaa akatiwa mkononi, akawekwa kitimoto...

Lakini bahati nzuri alipewa option mbili...

Ya kwanza amuoe ama ya pili akubali kubeba ujauzito huo, akapewa siku saba za kufikiria ili atoe maamuzi...

Jamaa si akapuuzia...

Akasahau (sijui alijisahaulisha!)

Wale wazazi na wazee wa yule binti wala hawakumtafuta wala nini!

Baada ya mwezi yule jamaa tumbo lake likaanza kujaa [emoji1787]

Sumbawanga kiboko! Ni maeneo fulani njia ya kwenda Ziwa Tanganyika lakini ukifika somewhere Mtimbwa (sijui Mtimbwani) 5km kutoka njia kuu Sumbawanga - Mpanda road unachukua njia ya kulia, njia ya vumbi kabla ya kufika somewhere panaitwa Sintali...

Jamaa tumbo lilizidi kuongezeka, akaenda mwenyewe kwa wazazi wa yule binti...

Akaambiwa aende kesho yake...

Kesho mapema yule jamaa alienda pale na rafiki yake mmoja anayemuamini...

Alikuta tayari wazee wa mila wapo, binti yupo na wazazi pia...

Bottom line, ali-opt kumuoa yule bint...

Akaozeshwa kwa mila za Kifipa kwanza... Baadaye sana Kanisani...

Jamaa akapata mke namna hiyo.
___
Good side

Bahati nzuri yule binti alikuwa na upendo sana kwa yule jamaa, hivyo jamaa akajikuta amempenda mazima kikwelii siyo kwa kuigiza kama awali

Bado wanaendelea na maisha na wana watoto kadhaa.
******

James Jason
 
How Fisadi Kiwebe got his wife

Kutoka Sumbawanga, miaka kadhaa iliyopita kama nilivyosimuliwa

Jamaa alipata mke bila kutarajia.

Jamaa alikuwa fisadi kiwembe, kisha alijisifu kwa marafiki zake kuwa 'ameshakula madem' kila aina, mabonge, vimbaumbau, wafupi, warefu, weupe, weusi, wazungu, waasia, walemavu wa viungo nk, akawa amebakisha mwanamke mwenye albino tu.

Kwa hiyo mawindo yake yakawa ni kwa wanawake wenye ualbino.

Siku ya siku paap, akamuona binti mrembo umri unaokubalika...

Jamaa akaanza kumfuatilia na kumpiga sound nyingi...

Huku na huku baada ya kusotea wiki kadhaa jamaa akakubaliwa..

Kumbe binti albino hajawahi kuduu... Jamaa na ndom zake akaanza mchakato lakini dushe halikupita, ndipo akajuwa kuwa papuchi haijatumika kabisa...

Wakapanga siku nyingine, siku ile muda ulikuwa umeisha. Binti albino alikuwa bado anaishi kwa wazazi wake.

Siku ya ahadi kumbe yule binti alikuwa heat period, naye si mjuzi wa mambo hayo, akapeleka papuchi...

Jamaa alijiandaa kuitoa 'seal' ya albino huku tayari alikuwa ameshajisifia kwa marafiki zake...

Kweli, dushe siku hiyo likafanikiwa kupenya, hakuvaa ndom, kwa mzuka wareno hawakuchelewa...

Jamaa alirudi mtaani akijisifu kutimiza azma yake ya 'kugonga' sampuli nyingi za wanawake...

Baada ya miezi minne jamaa akatajwa na binti kwa wazazi wake kuwa ni muhusika wa ujauzito alionao...

Timu ya wazee wa Kisumbawanga ikaundwa, jamaa akatiwa mkononi, akawekwa kitimoto...

Lakini bahati nzuri alipewa option mbili...

Ya kwanza amuoe ama ya pili akubali kubeba ujauzito huo, akapewa siku saba za kufikiria ili atoe maamuzi...

Jamaa si akapuuzia...

Akasahau (sijui alijisahaulisha!)

Wale wazazi na wazee wa yule binti wala hawakumtafuta wala nini!

Baada ya mwezi yule jamaa tumbo lake likaanza kujaa [emoji1787]

Sumbawanga kiboko! Ni maeneo fulani njia ya kwenda Ziwa Tanganyika lakini ukifika somewhere Mtimbwa (sijui Mtimbwani) 5km kutoka njia kuu Sumbawanga - Mpanda road unachukua njia ya kulia, njia ya vumbi kabla ya kufika somewhere panaitwa Sintali...

Jamaa tumbo lilizidi kuongezeka, akaenda mwenyewe kwa wazazi wa yule binti...

Akaambiwa aende kesho yake...

Kesho mapema yule jamaa alienda pale na rafiki yake mmoja anayemuamini...

Alikuta tayari wazee wa mila wapo, binti yupo na wazazi pia...

Bottom line, ali-opt kumuoa yule bint...

Akaozeshwa kwa mila za Kifipa kwanza... Baadaye sana Kanisani...

Jamaa akapata mke namna hiyo.
___
Good side

Bahati nzuri yule binti alikuwa na upendo sana kwa yule jamaa, hivyo jamaa akajikuta amempenda mazima kikwelii siyo kwa kuigiza kama awali

Bado wanaendelea na maisha na wana watoto kadhaa.
******

James Jason
Yaan kama mtunzi usingekua wewe hii ningeita gahawa... Ila kwa heshima yako acha niweke akiba ya maneno...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama vile nimewahi kuisikia hii, kuna funzo hapa, ahsante
How Fisadi Kiwebe got his wife

Kutoka Sumbawanga, miaka kadhaa iliyopita kama nilivyosimuliwa

Jamaa alipata mke bila kutarajia.

Jamaa alikuwa fisadi kiwembe, kisha alijisifu kwa marafiki zake kuwa 'ameshakula madem' kila aina, mabonge, vimbaumbau, wafupi, warefu, weupe, weusi, wazungu, waasia, walemavu wa viungo nk, akawa amebakisha mwanamke mwenye albino tu.

Kwa hiyo mawindo yake yakawa ni kwa wanawake wenye ualbino.

Siku ya siku paap, akamuona binti mrembo umri unaokubalika...

Jamaa akaanza kumfuatilia na kumpiga sound nyingi...

Huku na huku baada ya kusotea wiki kadhaa jamaa akakubaliwa..

Kumbe binti albino hajawahi kuduu... Jamaa na ndom zake akaanza mchakato lakini dushe halikupita, ndipo akajuwa kuwa papuchi haijatumika kabisa...

Wakapanga siku nyingine, siku ile muda ulikuwa umeisha. Binti albino alikuwa bado anaishi kwa wazazi wake.

Siku ya ahadi kumbe yule binti alikuwa heat period, naye si mjuzi wa mambo hayo, akapeleka papuchi...

Jamaa alijiandaa kuitoa 'seal' ya albino huku tayari alikuwa ameshajisifia kwa marafiki zake...

Kweli, dushe siku hiyo likafanikiwa kupenya, hakuvaa ndom, kwa mzuka wareno hawakuchelewa...

Jamaa alirudi mtaani akijisifu kutimiza azma yake ya 'kugonga' sampuli nyingi za wanawake...

Baada ya miezi minne jamaa akatajwa na binti kwa wazazi wake kuwa ni muhusika wa ujauzito alionao...

Timu ya wazee wa Kisumbawanga ikaundwa, jamaa akatiwa mkononi, akawekwa kitimoto...

Lakini bahati nzuri alipewa option mbili...

Ya kwanza amuoe ama ya pili akubali kubeba ujauzito huo, akapewa siku saba za kufikiria ili atoe maamuzi...

Jamaa si akapuuzia...

Akasahau (sijui alijisahaulisha!)

Wale wazazi na wazee wa yule binti wala hawakumtafuta wala nini!

Baada ya mwezi yule jamaa tumbo lake likaanza kujaa [emoji1787]

Sumbawanga kiboko! Ni maeneo fulani njia ya kwenda Ziwa Tanganyika lakini ukifika somewhere Mtimbwa (sijui Mtimbwani) 5km kutoka njia kuu Sumbawanga - Mpanda road unachukua njia ya kulia, njia ya vumbi kabla ya kufika somewhere panaitwa Sintali...

Jamaa tumbo lilizidi kuongezeka, akaenda mwenyewe kwa wazazi wa yule binti...

Akaambiwa aende kesho yake...

Kesho mapema yule jamaa alienda pale na rafiki yake mmoja anayemuamini...

Alikuta tayari wazee wa mila wapo, binti yupo na wazazi pia...

Bottom line, ali-opt kumuoa yule bint...

Akaozeshwa kwa mila za Kifipa kwanza... Baadaye sana Kanisani...

Jamaa akapata mke namna hiyo.
___
Good side

Bahati nzuri yule binti alikuwa na upendo sana kwa yule jamaa, hivyo jamaa akajikuta amempenda mazima kikwelii siyo kwa kuigiza kama awali

Bado wanaendelea na maisha na wana watoto kadhaa.
******

James Jason

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama vile nimewahi kuisikia hii, kuna funzo hapa, ahsante
How Fisadi Kiwebe got his wife

Kutoka Sumbawanga, miaka kadhaa iliyopita kama nilivyosimuliwa

Jamaa alipata mke bila kutarajia.

Jamaa alikuwa fisadi kiwembe, kisha alijisifu kwa marafiki zake kuwa 'ameshakula madem' kila aina, mabonge, vimbaumbau, wafupi, warefu, weupe, weusi, wazungu, waasia, walemavu wa viungo nk, akawa amebakisha mwanamke mwenye albino tu.

Kwa hiyo mawindo yake yakawa ni kwa wanawake wenye ualbino.

Siku ya siku paap, akamuona binti mrembo umri unaokubalika...

Jamaa akaanza kumfuatilia na kumpiga sound nyingi...

Huku na huku baada ya kusotea wiki kadhaa jamaa akakubaliwa..

Kumbe binti albino hajawahi kuduu... Jamaa na ndom zake akaanza mchakato lakini dushe halikupita, ndipo akajuwa kuwa papuchi haijatumika kabisa...

Wakapanga siku nyingine, siku ile muda ulikuwa umeisha. Binti albino alikuwa bado anaishi kwa wazazi wake.

Siku ya ahadi kumbe yule binti alikuwa heat period, naye si mjuzi wa mambo hayo, akapeleka papuchi...

Jamaa alijiandaa kuitoa 'seal' ya albino huku tayari alikuwa ameshajisifia kwa marafiki zake...

Kweli, dushe siku hiyo likafanikiwa kupenya, hakuvaa ndom, kwa mzuka wareno hawakuchelewa...

Jamaa alirudi mtaani akijisifu kutimiza azma yake ya 'kugonga' sampuli nyingi za wanawake...

Baada ya miezi minne jamaa akatajwa na binti kwa wazazi wake kuwa ni muhusika wa ujauzito alionao...

Timu ya wazee wa Kisumbawanga ikaundwa, jamaa akatiwa mkononi, akawekwa kitimoto...

Lakini bahati nzuri alipewa option mbili...

Ya kwanza amuoe ama ya pili akubali kubeba ujauzito huo, akapewa siku saba za kufikiria ili atoe maamuzi...

Jamaa si akapuuzia...

Akasahau (sijui alijisahaulisha!)

Wale wazazi na wazee wa yule binti wala hawakumtafuta wala nini!

Baada ya mwezi yule jamaa tumbo lake likaanza kujaa [emoji1787]

Sumbawanga kiboko! Ni maeneo fulani njia ya kwenda Ziwa Tanganyika lakini ukifika somewhere Mtimbwa (sijui Mtimbwani) 5km kutoka njia kuu Sumbawanga - Mpanda road unachukua njia ya kulia, njia ya vumbi kabla ya kufika somewhere panaitwa Sintali...

Jamaa tumbo lilizidi kuongezeka, akaenda mwenyewe kwa wazazi wa yule binti...

Akaambiwa aende kesho yake...

Kesho mapema yule jamaa alienda pale na rafiki yake mmoja anayemuamini...

Alikuta tayari wazee wa mila wapo, binti yupo na wazazi pia...

Bottom line, ali-opt kumuoa yule bint...

Akaozeshwa kwa mila za Kifipa kwanza... Baadaye sana Kanisani...

Jamaa akapata mke namna hiyo.
___
Good side

Bahati nzuri yule binti alikuwa na upendo sana kwa yule jamaa, hivyo jamaa akajikuta amempenda mazima kikwelii siyo kwa kuigiza kama awali

Bado wanaendelea na maisha na wana watoto kadhaa.
******

James Jason

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom