How I Met My Wife


tuko pamoja mkuu tunafatilia mwanzo mwisho......wasioamini wapite [emoji1429]
 
kwamba mimba ilipatikana binti akiwa period.........?? ila kwa swanga hakuna kinachoshindikana!
 
Kisimma cha busara,asante kwa kujitoa kwako kwetu kutuelimisha mambo muhimu sana ya mahusiano.
Mahusiano mazuri ya mke na mume yanajenga familia bora.
Ukiwa na familia bora utakuwa na taifa imara.
Japo haya siku hizi yamepuuzwa vijana tunapuyanga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

kaka mkubwa ulikuwa jeuri sana....dizaini kama ulikuwa pande za mzumbe hivi
 

words mkuu
 

mkuu kwahiyo huyu zulfa nae ulimkuta bikra ama???

umetupatia story juu juu kuna vitu unatunyima
 

kongole bro
 
πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…