How long to wait?...

How long to wait?...

swetuska na swty hat wote hawajambo mpz tunaku ham

leo sijui nimelize ham kabisa maana nina mpango wa kuimaliza hata ile nyingine.....

ntaanza na twinushka na sweetheart wikend hii, don worry!!!

great if u r all gud!!!
 
watoto wanafanya nini hapa wakati mojawapo ya masharti ya hii kitu lazima uwe umefikia the age of majority?!!

we sema tu hawatasoma......

Kumbuka kwamba JF ina teknolojia ya kugudnua wanachama wake wenaotumia jina zaidi ya moja, lakini haina teknolojia ya kuzuia watoto wadogo kuwa wanachama.

Baada ya kusema hayo ndugu mtangazaji, naomba kutoa hoja kwani itifaki imezingatiwa!! 🙂
 
Kumbuka kwamba JF ina teknolojia ya kugudnua wanachama wake wenaotumia jina zaidi ya moja, lakini haina teknolojia ya kuzuia watoto wadogo kuwa wanachama.

Baada ya kusema hayo ndugu mtangazaji, naomba kutoa hoja kwani itifaki imezingatiwa!! 🙂

mweeee!! asante kwa kutambua hilo!!!! hahaaaaa lol!!!
 
Lulu mambo? Nasikia Mkuranga kuna gesti/hoteli ya Tibaigana inaitwa Bureta.....!!! 🙂 Ni kweli na je ni nzuri?

Hivi, mkulu, huyu "afande manyota" ana gest ngapi hapa jijini tu tukianzia? duh!
 
my dia ni kweli kabisa yani ni pazuri kinoma nilienda kule nilivyotoka kwenye yale mashamba(hope u rememba)ni pazuri full kipupwe greeeeeeen,sema wabongo tunapenda maji(beach na swimmng pil)pale hakuna but its alovely place to spend
Lulu mambo? Nasikia Mkuranga kuna gesti/hoteli ya Tibaigana inaitwa Bureta.....!!! 🙂 Ni kweli na je ni nzuri?
 
maliza Twinuska bana kwann kitu gani?
leo sijui nimelize ham kabisa maana nina mpango wa kuimaliza hata ile nyingine.....

ntaanza na twinushka na sweetheart wikend hii, don worry!!!

great if u r all gud!!!
 
Hivi, mkulu, huyu "afande manyota" ana gest ngapi hapa jijini tu tukianzia? duh!

aaaaaaah ati nyie ndo wateja wake maarufu nini?? kwa nini leo mnaulizana nyumba za wageni na nyie wenyeji mjini hapa???
 
aaaaaaah ati nyie ndo wateja wake maarufu nini?? kwa nini leo mnaulizana nyumba za wageni na nyie wenyeji mjini hapa???

siye wageni, umesahau leo ijumaa? lol
 
Leo kuna njia ya Msalaba.sijui inafanyikia gesti?

yaani wameikamia ijumaa hii kuspendi gesti hauzi labda 'mkigango' huyu ataongoza njia ya msalaba huko!!
 
Mpaka nimesha sahau mada ya sredi Ijumaa kwa kweli ina mambo. Msisahau leo kuna njia ya msalaba.
 
kashang'ae feri

😀😀😀meli inaelea shilingi inazama

ubaya lile soko limeungua, wapi nitapata supu ya pweza na leo ijumaa tunaenda zetu gest huko mkuranga...damn....😀
 
Back
Top Bottom