How long to wait?...

How long to wait?...

mkulu umesahau na signature kabisa. Kisha hapo unakuta mtu ameshasign out hata saa nne usiku bado!

hahaaaa jamani weeee nakufa lol b!!! We si mseminarist wa nchi kavu lakini???
 
Atakuja hapa geoff kudai kwamba "AMENISHTUKIA"...we subiri.....😀😀
nakupongeza sana kwa KUJISHTUKIA😀😀😀
(nina kesi na wewe,ULIKATAA MWALIKO WA BIA ZANGU!nitahakikisha unabadili AIDII😀😀)
 
B anaelekea pabaya!!! alafu hyu Masaki naona sio kampani nzuri huyu, mara chagulaga mara leo anataka mwnde mkuranga.......kama vile unavoscreen nyendo zangu vivyo hivo ntafanya kwako B!!!!!

Duh! Mara hii nimekuwa ''bad influence''?
icon10.gif
 
nakupongeza sana kwa KUJISHTUKIA😀😀😀
(nina kesi na wewe,ULIKATAA MWALIKO WA BIA ZANGU!nitahakikisha unabadili AIDII😀😀)

kaaake mbona tulikuabaliana kuilainisha ijumaa na hizi lubricants naona tena wewe unataka kuifanya ya B ngumu!!!
usijali utamlipizia pale Billionairs club leo!!!!
 
nakupongeza sana kwa KUJISHTUKIA😀😀😀
(nina kesi na wewe,ULIKATAA MWALIKO WA BIA ZANGU!nitahakikisha unabadili AIDII😀😀)

dah..abomination!

ngoja nichape pambio!

"Nenye, sungananye nenye ngapulipo likali"

Hebu edit accordingly

tukamatane badaye
 
heheeeeee jamani mie leo aaaaah!!!
naenda 'kujiandaa'

wakina Fide na Masaki walisema zem men dont like that xcuse, kuavoid inconviniences naenda kufanya preparation nw nw!!

icon10.gif
icon10.gif
Kisingizio cha sasa hivi ni Kwaresima, cha ''kujiandaa'' kimepuzishwa kwanza!
 
Duh! Mara hii nimekuwa ''bad influence''?
icon10.gif

Mi nashangaa unapojali maslahi yangu hapa yeye bado tu hazingatii itifaki!

Nina vekesheni offer ya kwenda usukumani 'kuangalia' ngoma ya chagulaga,

leo tunaenda gesti ya afande huko mkuranga (Pearl do ze nidiful) tunaenda ku do ze nidiful..
 
icon10.gif
icon10.gif
Kisingizio cha sasa hivi ni Kwaresima, cha ''kujiandaa'' kimepuzishwa kwanza!

hahaaaaaa jamani wewe una makubwa!!! kwa binamu siku unaambiwa 'nimefunga kwaresma!!!! hahaaaaaa kazi kwer kwer!!!!
 
HUYO MIMI NINAE TU!lazima akubali!tena mwambie asome hapa:

Mi nashangaa unapojali maslahi yangu hapa yeye bado tu hazingatii itifaki!

Nina vekesheni offer ya kwenda usukumani 'kuangalia' ngoma ya chagulaga,

leo tunaenda gesti ya afande huko mkuranga (Pearl do ze nidiful) tunaenda ku do ze nidiful..

utaisoma hiyo B wa ukweli!!!! Goeff kasema......haya fanya fasta
 
Mi nashangaa unapojali maslahi yangu hapa yeye bado tu hazingatii itifaki!

Nina vekesheni offer ya kwenda usukumani 'kuangalia' ngoma ya chagulaga,

leo tunaenda gesti ya afande huko mkuranga (Pearl do ze nidiful) tunaenda ku do ze nidiful..

Kaizer una akili nyingi sana! Nimekugongea SENKSI! Halafu Pearl namwaminia kwa mambo yote yanayohusu ''logistics''. Mkuranga leo patakuwa hapatoshi!

Peal piga kabisa simu ufanye booking ya vyumba, kitimoto, nyama choma ya mbuzi na ndizi za kuiva tafadhali........!!! 🙂
 
Kaizer una akili nyingi sana! Nimekugongea SENKSI! Halafu Pearl namwaminia kwa mambo yote yanayohusu ''logistics''. Mkuranga leo patakuwa hapatoshi!

Peal piga kabisa simu ufanye booking ya vyumba, kitimoto, nyama choma ya mbuzi na ndizi za kuiva tafadhali........!!! 🙂
kumbe na wewe masaki ni mmoja ya wanaomsumbua pearl,eeeh!?😕
 
Kaizer una akili nyingi sana! Nimekugongea SENKSI! Halafu Pearl namwaminia kwa mambo yote yanayohusu ''logistics''. Mkuranga leo patakuwa hapatoshi!

Peal piga kabisa simu ufanye booking ya vyumba, kitimoto, nyama choma ya mbuzi na ndizi za kuiva tafadhali........!!! 🙂

unaona nikisema wewe ni bad influence hapa je utakataa
B huyu ni bad company achana naye.......
 
kaka angalia usipo komaa utachukua miaka hapo bila tam tam hakuna love huwaga wanabana.
Conquest
 
Back
Top Bottom