How long to wait?...

How long to wait?...

kumbe na wewe masaki ni mmoja ya wanaomsumbua pearl,eeeh!?😕

Heeeh! Kumbe Pearl anasumbuliwa, mbona sina taarifa!? Leo tuna safari ya Mkuranga mkuu!

Nahisi meneja mauzo wa TBL mkoa wa Pwani atapata promosheni kazini kwa mauzo ya wikiendi moja tu! Makoo yenye uwezo wa ''gridi'' ya taifa yanakwenda huko! Watajibeba leo!
 
unaona nikisema wewe ni bad influence hapa je utakataa
B huyu ni bad company achana naye.......

Kwani kasema wewe haumo kwenye safari Mkuranga kwenda kuwekeza kwenye kilimo kwanza? 🙂 Au hujajiandaa?
icon10.gif
 
Heeeh! Kumbe Pearl anasumbuliwa, mbona sina taarifa!? Leo tuna safari ya Mkuranga mkuu!

Nahisi meneja mauzo wa TBL mkoa wa Pwani atapata promosheni kazini kwa mauzo ya wikiendi moja tu! Makoo yenye uwezo wa ''gridi'' ya taifa yanakwenda huko! Watajibeba leo!

laaziz ako atalianzisha mzima bora usingesema nikasikia.......huwa nabeba maeno kama yalivyo inapobidi huongeza chumvi ili niongeze tu ladha!!!! (Chris can be your reference on this)
 
Kwani kasema wewe haumo kwenye safari Mkuranga kwenda kuwekeza kwenye kilimo kwanza? 🙂 Au hujajiandaa?
icon10.gif

hahaa nini lakini wewe???
ni kwaresma hii!!
 
G anaviwu acha kabsa,eeeh mkuranga mbn hujaniambia?can I join maana leo hme alone hous gal anaenda kwa maza
Heeeh! Kumbe Pearl anasumbuliwa, mbona sina taarifa!? Leo tuna safari ya Mkuranga mkuu!

Nahisi meneja mauzo wa TBL mkoa wa Pwani atapata promosheni kazini kwa mauzo ya wikiendi moja tu! Makoo yenye uwezo wa ''gridi'' ya taifa yanakwenda huko! Watajibeba leo!
 
Heeeh! Kumbe Pearl anasumbuliwa, mbona sina taarifa!? Leo tuna safari ya Mkuranga mkuu!

Nahisi meneja mauzo wa TBL mkoa wa Pwani atapata promosheni kazini kwa mauzo ya wikiendi moja tu! Makoo yenye uwezo wa ''gridi'' ya taifa yanakwenda huko! Watajibeba leo!

Kiongozi kama umenisoma, nimemwambia asifannaishe wingu na moshi apo....

Pearl najua alipo ana do ze nidiful tu siye mida mida tunachomoka
 
ha ha ha Leo ntakua maeneo anayojidai Kony!! ukisikia kimya ujue tumetekwa!

meku kule ni risk best usithubutu kabisa utaniweka roho juu bure mwenzio!!!! adventure gani hizo bana za kuhatarisha maisha!!! usiende kwa afya yangu plz!!!
 
meku kule ni risk best usithubutu kabisa utaniweka roho juu bure mwenzio!!!! adventure gani hizo bana za kuhatarisha maisha!!! usiende kwa afya yangu plz!!!

Billionares club
 
yeeeeeea leo ni kushoto kulia na stop
Kiongozi kama umenisoma, nimemwambia asifannaishe wingu na moshi apo....

Pearl najua alipo ana do ze nidiful tu siye mida mida tunachomoka
 
laaziz ako atalianzisha mzima bora usingesema nikasikia.......huwa nabeba maeno kama yalivyo inapobidi huongeza chumvi ili niongeze tu ladha!!!! (Chris can be your reference on this)

Laaziz wangu mbona kashajiandaa kwa ajili ya safari ya Mkuranga, hana wasiwasi!
In fact, by the way, nevertheless, meanwhile, however...tunapenda kuwataarifu kwamba, pamoja na mambo mengine, tunakwenda kukumbushia ''honeymoon'' yetu!
icon10.gif
 
Kha! okay baaaai!😀
SEE YOUUUUUUUUU!...(don't cme back,sawa?😀)

Heeeh! Kumbe Pearl anasumbuliwa, mbona sina taarifa!? Leo tuna safari ya Mkuranga mkuu!

Nahisi meneja mauzo wa TBL mkoa wa Pwani atapata promosheni kazini kwa mauzo ya wikiendi moja tu! Makoo yenye uwezo wa ''gridi'' ya taifa yanakwenda huko! Watajibeba leo!
hamjawasiliana na pearl,kwasababu angalia alivyokujibu:
G anaviwu acha kabsa,eeeh mkuranga mbn hujaniambia?can I join maana leo hme alone hous gal anaenda kwa maza
masaki ni msanii!najua UNATUMIA KIZIZI😀

told you!!! he is a bad company but u dont listen to me B!!! see for yourself!!!
HATA HUYO kaizer ni BAD-COMPANY
 
but B u said unaenda kujiandaa nw nw..sasa? Kilimo kwanza kuna na shamba tumeshapata huko!

hahaaaa Bala anauliza je na Fidel atakuwepo huko????

aah B kilimo kwanza mna matrekta au ndo jembe la mkono??
 
meku kule ni risk best usithubutu kabisa utaniweka roho juu bure mwenzio!!!! adventure gani hizo bana za kuhatarisha maisha!!! usiende kwa afya yangu plz!!!
Worry not bibie nina backup ya M7....na kwa kukuhakikishia ntakua on safe side expect ma call ukiwa billionares club na wapwa!
 
SEE YOUUUUUUUUU!...(don't cme back,sawa?😀)


hamjawasiliana na pearl,kwasababu angalia alivyokujibu:

masaki ni msanii!najua UNATUMIA KIZIZI😀


HATA HUYO kaizer ni BAD-COMPANY

hhaaaa kwenye red hata mie nimeshtukia kakaake
afu kwenye blue inawezekana maana ni asili yao hao kina Masaki na Oysterbay
 
Back
Top Bottom