How long to wait?...

How long to wait?...

Senks binamu kwa kujali maslahi yetu! case closed ama kuna mtu anataka nakala ya hukumu for enforcement?

Wa ukweli at work now!!!! hiyo ni muhimu B lazima uitoe
 
Leo tuna safari ya Mkuranga mkuu!!

Hivi guest gani nzuri Mkuranga kufikia,
Dah wakuu mtaenjoy Mkuranga nako ni pwani nasikia kuna watoto wazuri hii nikutokana na data za mkuu Sipo amejichimbia huko mda mrefu sasa ndo maana hata hapa jamvini haonekani.
 
haijaishepo wino B..it was for ur eyes only!😀

Kalamu ingeisha wino, hili daftari langu ningempa nani?[/QUOTE]

hahahaa leo B unanichosha siju ntamaliza hiisiku au ndo niondoke mapema zaid kwa maandalizi??? hata sijielewi
nilikuwa nalivizia mimi daftari lako
 
umetumia tungo tata.....inaruhusiwa kwenye fasihi!!!

Asante mwalimu....Ila pale kwenye Kiswahili changu cha ''beyond reasonable dought'' hujanikosoa wala kunifia....!!!
icon11.gif
 
Hommie leave Pearl alone!

Pearl leave hommie alone.

Pearl dont leave hommie allone.

Thanks Mamushka! Hommie mgongee senksi mamushka kwa zis yuziful posti!

haaaaaaaa sasa mbona wote wote
biggy hapa kesi inakushinda nguvu
 
Asante mwalimu....Ila pale kwenye Kiswahili changu cha ''beyond reasonable dought'' hujanikosoa wala kunifia....!!!
icon11.gif

hahaaaa nimekudondokea mwana wane wee acha tu!!
 
Hivi guest gani nzuri Mkuranga kufikia,
Dah wakuu mtaenjoy Mkuranga nako ni pwani nasikia kuna watoto wazuri hii nikutokana na data za mkuu Sipo amejichimbia huko mda mrefu sasa ndo maana hata hapa jamvini haonekani.

Duh asante sana Fidel kwa habari hizo njema kabisa! Kumbe na mwenyewe tayari tunaye!
 
Hivi guest gani nzuri Mkuranga kufikia,
Dah wakuu mtaenjoy Mkuranga nako ni pwani nasikia kuna watoto wazuri hii nikutokana na data za mkuu Sipo amejichimbia huko mda mrefu sasa ndo maana hata hapa jamvini haonekani.
hii kweli kwaresma, yeye haendi
 
Y?kwann?
hommie leave pearl alone!

Pearl leave hommie alone.
Kwani kashikwa?simuachiiiiiiii

pearl dont leave hommie allone.
Neva

thanks mamushka! Hommie mgongee senksi mamushka kwa zis yuziful posti!
 
Hivi guest gani nzuri Mkuranga kufikia,
Dah wakuu mtaenjoy Mkuranga nako ni pwani nasikia kuna watoto wazuri hii nikutokana na data za mkuu Sipo amejichimbia huko mda mrefu sasa ndo maana hata hapa jamvini haonekani.


Mpwa vipi twende tukaangalie mazingira!

vyumba vomebaki viwili kwa mujibu wa Pearl, lakini kama vipi hata cha receptionist kitatumika kwa dharural

al batar kule kwa sana
 
Back
Top Bottom