How long to wait?...

How long to wait?...

usijali baba c unajua kuna chama kimezaliwa?hawatuweziiiiiiiiii
............itakuwa ngumu kutufikia sisiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
..............ingawa game ni gumu bado tutaendelea kuwa juuuuuuuuu
 
Jamani hivi kwenda kutafuta mashamba ni dhambi? Au kwa kuwa tutalala gesti?
icon10.gif

Hehehehe ni bora uende na shemeji mpwa
icon10.gif
icon10.gif

Sio dhambi mpwa kulala guest lakini inategemea utalala na nani.
 
Utakunywa fanta ngapi mamushka?

Lita kadhaa za fanta? You cant be serious

😀😀😀!!!!

ntakunywa kadiri ya zitakazopatikana kaunta.....kwisha ndo limit biggy!!!

lita za mawese nzuri kwenye dagaaa biggy ntamgaia mama Matesha
 
Hehehehe ni bora uende na shemeji mpwa
icon10.gif
icon10.gif

Sio dhambi mpwa kulala guest lakini inategemea utalala na nani.

Ye Mungu Fide una ukali wewe kabla ya kunywa valuuu duh!!!
 
hommie mbona unagonga ikulu namna hiyo! Serengeti mmbili za kuanzia zinakusubiri!
Cant obey my thirsty! Natangulia kwa ankal.

Hehehehehe hii kitu kuna wabaya wetu ina wapain sana ngoja wajinyonge tu.
Hapa nina kamba za manila, wako wapi nikawagee?

hata mkuu wa kaya ni mbaya wetu we Fide wewee ndo maana huendi Mkuranga wewe tena afadali tukajimwaye huko na B wangu, maana na wewe mmh!!!
Mamushka ntahitaji written explanations hapo!

Nipo kwenye mchakato wa kuweka pipe from this end to that end.....itakua sio lita tena ni mijilita....
One end hapo SBL na end nyingine KAPONGO bar! Thats my boy!!!
 
Hehehehe ni bora uende na shemeji mpwa
icon10.gif
icon10.gif

Sio dhambi mpwa kulala guest lakini inategemea utalala na nani.

Naona bht kakugongea SENKSI kwa sababu ya hiyo sentensi yako kwenye red hapo.....watu wazushi kweli! 🙂
icon10.gif
 
Ni kusubiri mpaka ndoa halali ifungwe ndo consumation itake nafasi vinginevyo itakuwa out of context, content and process!
 
Ama kweli mwalimu wa fasihi nimepata. Kila siku napata neno jipya kwenye ''vokabulari'' yangu ya Kiswahili Fasaha!

Ila itabidi niku PM mwalimu uniambie maana ya hilo neno hapo kwenye red!

PM zimekatazwa (aaah lakini si kwako) ntakwambia tu hata ukiwa Mkurunga inside ze gest hausi, in ze bed with sm1 or alone I will do
 
Naona bht kakugongea SENKSI kwa sababu ya hiyo sentensi yako kwenye red hapo.....watu wazushi kweli! 🙂
icon10.gif

nimempa haki yake kama wewe ulivonipa yangu kwa kuniita mzushi haaaaaaaa jamani weye...!!!!

njia ya msalaba mtaisalia huku Mkuranga??
 
ntakwambia tu hata ukiwa Mkurunga inside ze gest hausi, in ze bed with sm1 or alone I will do

Huko msisahau vyeti vyenu vya ndoa maana wanaruhusiwa kulala walio funga ndoa.
 
Huko msisahau vyeti vyenu vya ndoa maana wanaruhusiwa kulala walio funga ndoa.
nadhani mpaka hapa SAFARI IMEKUFA!(wahanga ni wengi mno kwenye hili😀)
1-KAIZER
2-MASAKI
 
Huko msisahau vyeti vyenu vya ndoa maana wanaruhusiwa kulala walio funga ndoa.

hahaaa endelea yaani leo mimi na wewe.......watatutakaaaaa!!!!!

waambie waambie hawa....
 
Hehehehe dah ile ipo kiuchumi zaidi.
Vp Mkuranga lini kwani?


Mpwa Pearl anado ze nidiful upande wa logistik, ndo tunamsikiliza hapa kwamba leo lazima kilimo kwanza kieleweke tu
 
Back
Top Bottom