cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
hata mie nimekumiss kishenzi,im fine,hope u fine 2!dah, have missed you though! how r u?
Karibu mwanachama mpya! We hakika ni mali yangu HALALI KABISA. (Avatar imezingatiwa)
Acha tu hii nshaishudia miaka nyuma kidogo kule Mtibwa kuna Guest ya Mlokole so jamaa wakatumia mbinu hiyo ila nite sasa sauti zika leta soo muhudumu si akawagongea akiwa na askari mlinzi yaani balaa tupu porini!Duh! Hiyo kali, halafu gesti zenyewe za vijijini usikute chumba Shs. 5,000 kwa hiyo ninakuwa ndani ya bajeti kabisa!
kaizer anastahili bannimeingiaje kwenye ile list biggy?? mie nina certificate yangu na Balantanda, legally married at bomani atii!!!!
hahaaa Avatar inaleta utata, afu naweee usiutumie ubiggy wako kuwanyanyasa wenzio huyo mwachiw basi Kaizer jamani
aaaaaaah but why!???kaizer anastahili ban
Hii naiweka kwenye diary yangu mid May ntakua TZ lazima nizitafute lita zangu!! you know wat am saying!Nimeiona mpwa nami nimeitendea haki hii yuziful posti! Unanidai lita kadhaa za pombe.
Hahahaha!!!! Hehehehe!!!! Hihhihihihih!ha ha ha mkulu hapo kwenye RED we acha tu ishu ka izo zipo!! tena sijui kwa nn ni maeneo ya vijijini!! ila watu wajanja sana wakiona ngoma inakua nzito kila mtu anaenda kwa muda wake na anachukua chumba then usiku wanahamia chumba kimoja!! yani sehemu ambazo huna alternative kazi kwelikweli!!
Duh! Hiyo kali, halafu gesti zenyewe za vijijini usikute chumba Shs. 5,000 kwa hiyo ninakuwa ndani ya bajeti kabisa!
wa2 wanagawana nini jamani mbona sielewi..!nimeingiaje kwenye ile list biggy?? mie nina certificate yangu na Balantanda, legally married at bomani atii!!!!
hahaaa Avatar inaleta utata, afu naweee usiutumie ubiggy wako kuwanyanyasa wenzio huyo mwachiw basi Kaizer jamani
Hii naiweka kwenye diary yangu mid May ntakua TZ lazima nizitafute lita zangu!! you know wat am saying!
wa2 wanagawana nini jamani mbona sielewi..!
hata mie nimekumiss kishenzi,im fine,hope u fine 2!
nimeingiaje kwenye ile list biggy?? mie nina certificate yangu na Balantanda, legally married at bomani atii!!!!
hahaaa Avatar inaleta utata, afu naweee usiutumie ubiggy wako kuwanyanyasa wenzio huyo mwachie basi Kaizer jamani
Blue + Red Mamushka hatauliza kwanini umesema hommie akule ban! Invizibo, please do ze nidiful!kaizer anastahili ban
wanagawana wanyange!!!!
halafu hawa ma-lijendi hawa.............!mbona mie nilishachukuliwa long time,na shemu wenu pia ni jf member mkongwe
mbona mie nilishachukuliwa long time,na shemu wenu pia ni jf member mkongwe
Usiombe yakukute.....dah yaani pesa yangu mwenyewe tena inipe karaha ya kumyatia mtu wangu mwenyewe aaaaah staki bana!!!!
ha ha ha sio mdumu tukiwa mgombani inawekwa kwenye drums na kutolewa kwa kata then unaria kwenye kitochi!! tukiwa mjini ipo kwenye crate inanywewa kwenye chupa!!haaaaa lita za pombe, madumu kabisaa mseme hivo!!
Blue + Red Mamushka hatauliza kwanini umesema hommie akule ban! Invizibo, please do ze nidiful!
umekata mzizi wa fitina lakini acha nikuonye tu, hicho si kizuizi kwa wapwaaaaaaaaaz aweza kupinduliwa in a twinkling of an eye!!!!!mbona mie nilishachukuliwa long time,na shemu wenu pia ni jf member mkongwe
Dah! Mpaka May msimu wa ngano utakuwa umeisha. Lakini usijali, ndizi hazina msimu.Hii naiweka kwenye diary yangu mid May ntakua TZ lazima nizitafute lita zangu!! you know wat am saying!
Hatugawani tena, Unamjua Rais wa Afrika Kusini?wa2 wanagawana nini jamani mbona sielewi..!
Nadhani Kimey kakuelewa vema! Jasiri haachi asilihaaaaa lita za pombe, madumu kabisaa mseme hivo!!
πππ!!!!!wanagawana wanyange!!!!
mbona mie nilishachukuliwa long time,na shemu wenu pia ni jf member mkongwe