Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 319
nimemmka na bwana(Yesu)mm mazingira yakiruhusu tu basi anapewa mda haijalishi as long as anatakiwa kupewa pple sy the ealia ze beta au nakosea?
Mahabaaa kajukuu. Jambo? Afu hujanambia kale kamjamaa kazaa chema kenzako ulikabania muda gani kabla hujakapa tunda?
Umeamka na nani? Nawewe huwa unatoa muda gani kumpa mashalaa anayekudeti (siyo pamanenti rileshenship, nadhani umenielewa kama unajua kusoma katikati ya mistari)