HOW MANY GALAXIES IN UNIVERSE?

HOW MANY GALAXIES IN UNIVERSE?

View attachment 832823

UMEONA HIYO PICHA HAPO JUU HIYO NDIYO MILK WAY GALAX AMBAYO TUNAISHI SISI IKIWEMO DUNIA NA SAYARI NYINGINE NANE, Katilati ya hiyo galaxy yetu ndipo kuna ile black hole (shimo jeusi tiii ) ambapo wamarekani wanasema linazunguka na kuzungusha sayari, zote, wanasayensi wanadai kuna galaxes zaidi ya 100 kama za kwetu nazo zina sayari zake na mifumo yake ya jua
je wanasayansi wakitaka kwenda kwenye hizo galaxy nyingine wataendaje, kupitia kwenye hiyo black hole haiwezekan, na pia kwenda mpaka mwisho wa galaxy haiwezekani
karibuni wakuu wenye uwelewa zaidi , ya haya maswala ya galaxy na universe
Na majua yapo mangapi?
 
Mkuu imagine kwenye solar system yetu kuna sayari 8 ambazo zinalizunguka jua... kwenye galaxy yetu kuna stars kubwa zaidi ya jua kama milioni kadhaa na kwenye universe kuna galaxies za kutosha tu..

Sisi binadamu ndo kwanza tuna hustle kuijua vizuri mars iliyopo karibu yetu achilia mbali kutoka kwenye solar system yetu..

Kuifikia nyota iliyoko karibu yetu unahitaji kitembea millions of light year ambapo unaweza kutumia miaka mingi sana..

Kwahio kwa maono yangu naona binadamu hatuwezi kutembelea galaxy nyingine...maana kufika tu nje ya galaxy yetu unaweza kutumia miaka zaidi ya life expectancy ya mwanadamu..

Na kwa taarifa yako nyota nyingi tuzionazo juu sasa hivi hazipo...yaani sisi tunaona past.. muda wa ule mwanga wa nyota kutufikia sisi ni miaka mingi sana kiasi kwamba zile nyota zilisha dissappear

Kungekuwa na viumbe wengine kwenye galaxy ya mbali wakatumia darubini kutuangalia wangekuwa wanaona past ..yaani wangekuwa wanaona ma dinosaur
Galaxy zipo bilioni tano sio mia
 
Kwanza jua hiyo picha sio halisi!,maana hakuna kifaa kilichotoka nje ya galaxy yetu kikapiga picha lbd galaxy nyengine kwasababu zipo mbali hivyo zinaweza kupigwa picha ya jumla.
kuhusu kupita kwenye black hole hiyo ni ngumu maana inasemekana hata mwanga haufui dafu!..
kuhusu kuvuka solar system,kifaa cha voyager 1 kimeshavuka na kipo mbali mno..
kuhusu kutoka nje ya galaxy huo ni mziki mnene!.. hiyo ngoma tutahitaji kuunganisha nguvu ya dunia nzima kikubwa ni kupata kifaa chenye kasi kama ya mwanga hapo tutakuwa tumewin kwa asilimia 90!
Kifaa chenye kasi ya mwanga kitahitaji miaka 100,000 light years kusafiri nje ya galaxy yetu,its impossible to travel out of galaxy,halafu kingine nyota iliyo karibu zaidi alpha centauri itachukua miaka 70,000 kuifikia kwa speed za rocket za saiz juxt imagine uvuke nyota bil 400??!
 
kuwaza kusafiri kwenda galaxy nyngne ni mbali sana maana kwa sasa ht kusafiri kwenda nyota ya karibu na sisi ni issue ingawa scientist wanasema wanaweza kumudu speed ya kufika alpha centauri kwa miaka 20
Kuna technology wanaita warp drive bado sana hawajaimaster kabixa,kwa technology hyo wanaweza tumia week mbili tyu kufika alpha centauri but still fiction we don't expect such discovery near by years
 
Kuna sehemu either umechanganya au umekosea iko ivi ndani ya Galaxy ya Milk way kuna stars nyingi mno miongoni mwa izo star ni Jua letu ambalo ndani ya jua ndio kuna sayari tisa
Ndyo galaxy yetu ina nyota bil 400
 
View attachment 832823

UMEONA HIYO PICHA HAPO JUU HIYO NDIYO MILK WAY GALAX AMBAYO TUNAISHI SISI IKIWEMO DUNIA NA SAYARI NYINGINE NANE, Katilati ya hiyo galaxy yetu ndipo kuna ile black hole (shimo jeusi tiii ) ambapo wamarekani wanasema linazunguka na kuzungusha sayari, zote, wanasayensi wanadai kuna galaxes zaidi ya 100 kama za kwetu nazo zina sayari zake na mifumo yake ya jua
je wanasayansi wakitaka kwenda kwenye hizo galaxy nyingine wataendaje, kupitia kwenye hiyo black hole haiwezekan, na pia kwenda mpaka mwisho wa galaxy haiwezekani
karibuni wakuu wenye uwelewa zaidi , ya haya maswala ya galaxy na universe
Kuna Galaxies nyingi sana ndani ya Universe, hili Milk way galaxy ni mfano tuu, mfano wa Galaxy nyinginezo ni Andromeda Nebula na Adromeda Spiral kama sikosei hivi. Pia kuhusu nyota ndani ya Galaxy letu zipo nyingi sana huku Jua letu ikiwa ni mojawapo, mfano: Uy Scuti na Vy Canis Majoris ni nyota kubwa sana kiasi cha kuweza kujaza majua Milion na Million.... Sayari pia zipo nyingi ingawa mfumo wetu wa jua zipo nane (exclude pluto)
 
Kuna technology wanaita warp drive bado sana hawajaimaster kabixa,kwa technology hyo wanaweza tumia week mbili tyu kufika alpha centauri but still fiction we don't expect such discovery near by years
kufika alpha centauri kwa wiki mbili inamana una safiri kwa speed kubwa zaidi ya mwanga........that cannot be possible mkuu
 
Kweli
Naamini kuna dunia ingine yenye viumbe kama sisi kwenye galaxies zingine...


Kanisa Katoliki lina miliki Telescope station bora zaidi duniani.....kwa Wakatoliki mtakubaliana na mimi sala ya mwanakondoo imebadilika kutoka " aondoaye dhambi za dunia mpaka aondoaye dhambi za Ulimwengu(universe)"
Kweli kabisa mkuu nilijiuliza kweli kwanini sala hii ilibadilika kua hivyo.
 
kufika alpha centauri kwa wiki mbili inamana una safiri kwa speed kubwa zaidi ya mwanga........that cannot be possible mkuu

mmmh....lakini mkuu through wormhole wameweza kufika kwenye galaxy hizo japo wenye dunia hii wanagoma kutuambia..

Kuhusu kutoka nje ya mfumo wa sayari yetu( solar system) imekuwa simple sana baada ya kustudy picha halisi ya jinsi universe ilivyojiweka katika sehemu zake..

Kupitia system ya spiral analysis ambayo ilitafutiwa ufumbuzi kupitia Fibonacci sequence ambayo ndo imekuja kuibua siri nzima ya jinsi mfumo mzima wa viumbe au sayari zote katika kila galaxy..

wamekuja wakagundua kuwa mpangilio wa vitu vyote ndani ya galaxy ya milky way ni sawa sawa na mpangilio ule ule katika galaxy za Andromeda na zingine
1280px-Andromeda_Galaxy_(with_h-alpha).jpg


kupitia fibonacci calculations tunakuja kuconclude kuwa all living things in this universe are formed in spirally form that form a shape like spiral ...

Na ukiangalia kweli formation ya uzao wa kila kitu kinachopatikana kwenye universe hii kipo katika mfumo wa fibanacci structural( hapa mpaka uwe unasoma mfumo wa universe ndo utaendana na mimi kuhusiana na fibonacci sequence aplications)

,
Mtoto akiwa tumboni anakuwa ameoccupy fibanacci spiral shape,konokono anakuwa na spiral shape,angalia mimea yote ikiwa inaanza kutoa maua inaexihibit fibonacci spiral shaped,..

karibia kila aina ya formation ya kila kitu ipo katika mfumo wa fibonacci sequence...

Ukiwa mfuatiliaji sana wa Fibonacci's number utakuja kugundua kuwa the whole galaxies zinaocupy the same fibonacci formation sequence kiasi kwamba formation ya intersteller,galaxies,excess norble gases and other things kwenye kila galaxy ipo sawa kwa galaxy zote..

Screenshot_20180811-204728.jpg


kwa hiyo tukija kugusia namna ya kufika huko kwenye galaxy zingine,ni simple sna kupitia time space machine ambapo tutatumia wormhole kama chombo kinachosafiri kwa haraka zaidi kuliko hizo roketi na sourcer tunazotegemea...

Ikumbukwe kuwa kupitia wormhole tutafika kwa speed kubwa sana zaidi ya speed ya mwanga (3,000,000 km/s) yani kilometer milion 3 kwa sekund moja..

wormhole itasafiri kwa speed kubwa zaidi ya mwanga ..

Kupitia wormhole transportation ,tutakuwa na uwezo wa kuingia galaxy nyingine kupitia galaxy moja hadi nyingine,,.

yani unajikuta unatumia dk 45 kutoboa galaxy ya Andromeda kupitia milky way galaxy..

Things are coming to terify the world ..keep watching how technology is going to fantasy the world and the universe itself...

Kuna kampuni moja kubwa snaa duniani ambalo ndo linasimamia hayo mambo ya kutengeneza space craft zitakazotumika kutufikisha kwenye kituo cha anga za mbali cha SPACE X ambapo tukifika huko tutachukua wormhole na kusafiri kwenda galaxy moja hadi nyingine...

Space X wamefikia pakubwa sana japo everything is put under secret kwa minajiri wanaoijua wao...

Kuna siri nyingi zishaaanza kuvuja kuhusu CERN project kuhusisha utengenezaji wa vifaaa vitakavyotumika kuunda wormhole ,,..japo wanajihusisha pia na uchunguzi wa Anti matter but wanajihusisha pia na namna watakavyokuja kugundua hizo wormhole kupitia madini maalumu.

Hii dhahabu na almasi inayotafutwa duniani kote kila kukicha usifikiri inatumika kutengenezea saa za mkononi na mikufu ya akina Lady Gaga na Rihanna ,hapana ina mambo yake...

Inasemekana lakini kuwa eti madini yanayohitajika kuunda hiyo wormhole space machine miongoni mwao ni dhahabu na almasi...

Sijalitafutia ufumbuzi vizuri kuhusu jambo hilo..

bado nadig mambo make wenye dunia hawataki kuweka mambo hadharani..


kwa hiyo mwisho niseme kuwa kusafiri hadi kufika galaxy nyingine inawezekana kabsaa...

sasa kama wameweza kubaini idadi ya galaxy zote pamoja na system za intersteller zote itakuwaje washindwe kufika huko..mbaya zaidi picha ya universe yote waliipigaje kama hawawezi kufika huko....

Kuna watu wanarisk maisha ili kila kitu kiende poa kwa hiyo sio kila jambo linawekwa wazi...

Kuna siri nzito sana juu ya uchimbaji wa dhahabu na Almasi pamoja na madini unayoyajua wewe...

Tuendeleeni kuwa wapole tu make mambo ni mazito...
 

Attachments

  • Screenshot_20180811-204706.jpg
    Screenshot_20180811-204706.jpg
    77.9 KB · Views: 19
mmmh....lakini mkuu through wormhole wameweza kufika kwenye galaxy hizo japo wenye dunia hii wanagoma kutuambia..

K\
Kuna watu wanarisk maisha ili kila kitu kiende poa kwa hiyo sio kila jambo linawekwa wazi...

Kuna siri nzito sana juu ya uchimbaji wa dhahabu na Almasi pamoja na madini unayoyajua wewe...

Tuendeleeni kuwa wapole tu make mambo ni mazito...
kuhusu kuconnect two distant regions of space-time changamoto itakuja palepale kwamba blackhole ilio karibu na dunia iko several thousands light years away from earth, so kimsingi utahitaji kusafiri umbali huu ili kufika sehemu hiyo ambayo unaweza kusafiri kwa kutumia concept nzima ya wormholes hapa ndio ugumu unapokuja mkuu kwakuw blackholes hazipo karibu hvyo basi issue nzim ya wormholes inakuwa ni pasua kichwa
 
Kuna sehemu either umechanganya au umekosea iko ivi ndani ya Galaxy ya Milk way kuna stars nyingi mno miongoni mwa izo star ni Jua letu ambalo ndani ya jua ndio kuna sayari tisa
Correct!
Kuongezea tu katika hii Milk way yetu kuna set ya jua na sayari (solar system)kama hii yetu zisizopungua mia moja.
 
mmmh.. mambo haya nayo ni uongo mtupu. Siamini hii picha kwani hamna camera ya kuweza kupiga eneo kubwa kama la hadithi zao za gallaxy. Dunia yetu hatujamaliza kuitafiti mambo ya juu tutayawezea wapi!!!
 
Ndyo galaxy yetu ina nyota bil 400
Mkuu nyota bilion 400!!!!
Nani au kifaa gani kimezihesabu mkuu? Hizi ni fiction za maudhi sana unajua!!
Ona, wanasema kila nyota ni Jua, kwa majua million 4 tungepona mkuu!!?
Wazungu waongo wa kuudhi sana *****!!!
 
Back
Top Bottom