HOW MANY GALAXIES IN UNIVERSE?

HOW MANY GALAXIES IN UNIVERSE?

mmmh....lakini mkuu through wormhole wameweza kufika kwenye galaxy hizo japo wenye dunia hii wanagoma kutuambia..

Kuhusu kutoka nje ya mfumo wa sayari yetu( solar system) imekuwa simple sana baada ya kustudy picha halisi ya jinsi universe ilivyojiweka katika sehemu zake..

Kupitia system ya spiral analysis ambayo ilitafutiwa ufumbuzi kupitia Fibonacci sequence ambayo ndo imekuja kuibua siri nzima ya jinsi mfumo mzima wa viumbe au sayari zote katika kila galaxy..

wamekuja wakagundua kuwa mpangilio wa vitu vyote ndani ya galaxy ya milky way ni sawa sawa na mpangilio ule ule katika galaxy za Andromeda na zingine
View attachment 833140

kupitia fibonacci calculations tunakuja kuconclude kuwa all living things in this universe are formed in spirally form that form a shape like spiral ...

Na ukiangalia kweli formation ya uzao wa kila kitu kinachopatikana kwenye universe hii kipo katika mfumo wa fibanacci structural( hapa mpaka uwe unasoma mfumo wa universe ndo utaendana na mimi kuhusiana na fibonacci sequence aplications)

,
Mtoto akiwa tumboni anakuwa ameoccupy fibanacci spiral shape,konokono anakuwa na spiral shape,angalia mimea yote ikiwa inaanza kutoa maua inaexihibit fibonacci spiral shaped,..

karibia kila aina ya formation ya kila kitu ipo katika mfumo wa fibonacci sequence...

Ukiwa mfuatiliaji sana wa Fibonacci's number utakuja kugundua kuwa the whole galaxies zinaocupy the same fibonacci formation sequence kiasi kwamba formation ya intersteller,galaxies,excess norble gases and other things kwenye kila galaxy ipo sawa kwa galaxy zote..

View attachment 833143

kwa hiyo tukija kugusia namna ya kufika huko kwenye galaxy zingine,ni simple sna kupitia time space machine ambapo tutatumia wormhole kama chombo kinachosafiri kwa haraka zaidi kuliko hizo roketi na sourcer tunazotegemea...

Ikumbukwe kuwa kupitia wormhole tutafika kwa speed kubwa sana zaidi ya speed ya mwanga (3,000,000 m/s) yani meter milion 3 kwa sekund moja..

wormhole itasafiri kwa speed kubwa zaidi ya mwanga ..

Kupitia wormhole transportation ,tutakuwa na uwezo wa kuingia galaxy nyingine kupitia galaxy moja hadi nyingine,,.

yani unajikuta unatumia dk 45 kutoboa galaxy ya Andromeda kupitia milky way galaxy..

Things are coming to terify the world ..keep watching how technology is going to fantasy the world and the universe itself...

Kuna kampuni moja kubwa snaa duniani ambalo ndo linasimamia hayo mambo ya kutengeneza space craft zitakazotumika kutufikisha kwenye kituo cha anga za mbali cha SPACE X ambapo tukifika huko tutachukua wormhole na kusafiri kwenda galaxy moja hadi nyingine...

Space X wamefikia pakubwa sana japo everything is put under secret kwa minajiri wanaoijua wao...

Kuna siri nyingi zishaaanza kuvuja kuhusu CERN project kuhusisha utengenezaji wa vifaaa vitakavyotumika kuunda wormhole ,,..japo wanajihusisha pia na uchunguzi wa Anti matter but wanajihusisha pia na namna watakavyokuja kugundua hizo wormhole kupitia madini maalumu.

Hii dhahabu na almasi inayotafutwa duniani kote kila kukicha usifikiri inatumika kutengenezea saa za mkononi na mikufu ya akina Lady Gaga na Rihanna ,hapana ina mambo yake...

Inasemekana lakini kuwa eti madini yanayohitajika kuunda hiyo wormhole space machine miongoni mwao ni dhahabu na almasi...

Sijalitafutia ufumbuzi vizuri kuhusu jambo hilo..

bado nadig mambo make wenye dunia hawataki kuweka mambo hadharani..


kwa hiyo mwisho niseme kuwa kusafiri hadi kufika galaxy nyingine inawezekana kabsaa...

sasa kama wameweza kubaini idadi ya galaxy zote pamoja na system za intersteller zote itakuwaje washindwe kufika huko..mbaya zaidi picha ya universe yote waliipigaje kama hawawezi kufika huko....

Kuna watu wanarisk maisha ili kila kitu kiende poa kwa hiyo sio kila jambo linawekwa wazi...

Kuna siri nzito sana juu ya uchimbaji wa dhahabu na Almasi pamoja na madini unayoyajua wewe...

Tuendeleeni kuwa wapole tu make mambo ni mazito...
Mkuu hizi hadithi za wazungu ni nzuri sana lakini uongo mkuu u ndani yake.
Wanatuumiza sana vichwa kutufikirisha vitu ambavyo havipo!!?
Tujaribu kujiuliza namba ya gallaxy au nyota wameitoa wapi? Na je kama wanadanganya ulimwengu sisi ukweli huo tunathibitisha vipi? Umejiuliza pia "picha ya universe yote waliipigaje"? Mimi nikujibu tu, hawajapiga bali wametengeneza imagination yao wakaichora taswira yao kwa computer tu, so hizi ni COMPUTER GENERATED IMAGES tu. Hamna zaidi.
 
Naamini kuna dunia ingine yenye viumbe kama sisi kwenye galaxies zingine...


Kanisa Katoliki lina miliki Telescope station bora zaidi duniani.....kwa Wakatoliki mtakubaliana na mimi sala ya mwanakondoo imebadilika kutoka " aondoaye dhambi za dunia mpaka aondoaye dhambi za Ulimwengu(universe)"

Hivi universe iko ndani ya shell au nje ya shell /ukuta
If no universe is unlimited
If yes mwisho kuna shell/ukuta flani hivi ?
 
Mkuu imagine kwenye solar system yetu kuna sayari 8 ambazo zinalizunguka jua... kwenye galaxy yetu kuna stars kubwa zaidi ya jua kama milioni kadhaa na kwenye universe kuna galaxies za kutosha tu..

Sisi binadamu ndo kwanza tuna hustle kuijua vizuri mars iliyopo karibu yetu achilia mbali kutoka kwenye solar system yetu..

Kuifikia nyota iliyoko karibu yetu unahitaji kitembea millions of light year ambapo unaweza kutumia miaka mingi sana..

Kwahio kwa maono yangu naona binadamu hatuwezi kutembelea galaxy nyingine...maana kufika tu nje ya galaxy yetu unaweza kutumia miaka zaidi ya life expectancy ya mwanadamu..

Na kwa taarifa yako nyota nyingi tuzionazo juu sasa hivi hazipo...yaani sisi tunaona past.. muda wa ule mwanga wa nyota kutufikia sisi ni miaka mingi sana kiasi kwamba zile nyota zilisha dissappear

Kungekuwa na viumbe wengine kwenye galaxy ya mbali wakatumia darubini kutuangalia wangekuwa wanaona past ..yaani wangekuwa wanaona ma dinosaur
I like this
 
Mie huko kwenye kuchambua au kujadili galaxy ni mbali sana, tuanze na vitu vidogo vidogo tu, kuna jumla ya sayari ngapi?
 
Mkuu nyota bilion 400!!!!
Nani au kifaa gani kimezihesabu mkuu? Hizi ni fiction za maudhi sana unajua!!
Ona, wanasema kila nyota ni Jua, kwa majua million 4 tungepona mkuu!!?
Wazungu waongo wa kuudhi sana *****!!!
Kila nyota ni jua?
Umechanganya boss,jua ni Moja ya nyota zilizo karibu na dunia (thru solar system) huwez kuungua coz kuna large distance between dunia yetu na hizo nyota zingine ,hope it make sense
 
hzo pcha huchukuliwa na telescope mkuu
Aliyeichukua alikua amesimama wapi??
Maana kutoka nje ya galaxy yetu kupiga picha huyo mpiga picha alitakiwa kuanza safari ya kwenda nje miaka takribani laki moja(100000) iliyopita ili afike sasa hivi..
 
Naamini kuna dunia ingine yenye viumbe kama sisi kwenye galaxies zingine...


Kanisa Katoliki lina miliki Telescope station bora zaidi duniani.....kwa Wakatoliki mtakubaliana na mimi sala ya mwanakondoo imebadilika kutoka " aondoaye dhambi za dunia mpaka aondoaye dhambi za Ulimwengu(universe)"

Nani alikwambia kanisa katoliki lina telescope station bora duniani?
We jamaa ukatoliki umekuchanganya akili, kuna VATT na yenyewe sio kitu ni telescope ndogo tu. Aliyewaletea dini waafrika aliwaumiza sana, yaani mmekua mazezeta.
 
mmmh....lakini mkuu through wormhole wameweza kufika kwenye galaxy hizo japo wenye dunia hii wanagoma kutuambia..

Kuhusu kutoka nje ya mfumo wa sayari yetu( solar system) imekuwa simple sana baada ya kustudy picha halisi ya jinsi universe ilivyojiweka katika sehemu zake..

Kupitia system ya spiral analysis ambayo ilitafutiwa ufumbuzi kupitia Fibonacci sequence ambayo ndo imekuja kuibua siri nzima ya jinsi mfumo mzima wa viumbe au sayari zote katika kila galaxy..

wamekuja wakagundua kuwa mpangilio wa vitu vyote ndani ya galaxy ya milky way ni sawa sawa na mpangilio ule ule katika galaxy za Andromeda na zingine
View attachment 833140

kupitia fibonacci calculations tunakuja kuconclude kuwa all living things in this universe are formed in spirally form that form a shape like spiral ...

Na ukiangalia kweli formation ya uzao wa kila kitu kinachopatikana kwenye universe hii kipo katika mfumo wa fibanacci structural( hapa mpaka uwe unasoma mfumo wa universe ndo utaendana na mimi kuhusiana na fibonacci sequence aplications)

,
Mtoto akiwa tumboni anakuwa ameoccupy fibanacci spiral shape,konokono anakuwa na spiral shape,angalia mimea yote ikiwa inaanza kutoa maua inaexihibit fibonacci spiral shaped,..

karibia kila aina ya formation ya kila kitu ipo katika mfumo wa fibonacci sequence...

Ukiwa mfuatiliaji sana wa Fibonacci's number utakuja kugundua kuwa the whole galaxies zinaocupy the same fibonacci formation sequence kiasi kwamba formation ya intersteller,galaxies,excess norble gases and other things kwenye kila galaxy ipo sawa kwa galaxy zote..

View attachment 833143

kwa hiyo tukija kugusia namna ya kufika huko kwenye galaxy zingine,ni simple sna kupitia time space machine ambapo tutatumia wormhole kama chombo kinachosafiri kwa haraka zaidi kuliko hizo roketi na sourcer tunazotegemea...

Ikumbukwe kuwa kupitia wormhole tutafika kwa speed kubwa sana zaidi ya speed ya mwanga (3,000,000 m/s) yani meter milion 3 kwa sekund moja..

wormhole itasafiri kwa speed kubwa zaidi ya mwanga ..

Kupitia wormhole transportation ,tutakuwa na uwezo wa kuingia galaxy nyingine kupitia galaxy moja hadi nyingine,,.

yani unajikuta unatumia dk 45 kutoboa galaxy ya Andromeda kupitia milky way galaxy..

Things are coming to terify the world ..keep watching how technology is going to fantasy the world and the universe itself...

Kuna kampuni moja kubwa snaa duniani ambalo ndo linasimamia hayo mambo ya kutengeneza space craft zitakazotumika kutufikisha kwenye kituo cha anga za mbali cha SPACE X ambapo tukifika huko tutachukua wormhole na kusafiri kwenda galaxy moja hadi nyingine...

Space X wamefikia pakubwa sana japo everything is put under secret kwa minajiri wanaoijua wao...

Kuna siri nyingi zishaaanza kuvuja kuhusu CERN project kuhusisha utengenezaji wa vifaaa vitakavyotumika kuunda wormhole ,,..japo wanajihusisha pia na uchunguzi wa Anti matter but wanajihusisha pia na namna watakavyokuja kugundua hizo wormhole kupitia madini maalumu.

Hii dhahabu na almasi inayotafutwa duniani kote kila kukicha usifikiri inatumika kutengenezea saa za mkononi na mikufu ya akina Lady Gaga na Rihanna ,hapana ina mambo yake...

Inasemekana lakini kuwa eti madini yanayohitajika kuunda hiyo wormhole space machine miongoni mwao ni dhahabu na almasi...

Sijalitafutia ufumbuzi vizuri kuhusu jambo hilo..

bado nadig mambo make wenye dunia hawataki kuweka mambo hadharani..


kwa hiyo mwisho niseme kuwa kusafiri hadi kufika galaxy nyingine inawezekana kabsaa...

sasa kama wameweza kubaini idadi ya galaxy zote pamoja na system za intersteller zote itakuwaje washindwe kufika huko..mbaya zaidi picha ya universe yote waliipigaje kama hawawezi kufika huko....

Kuna watu wanarisk maisha ili kila kitu kiende poa kwa hiyo sio kila jambo linawekwa wazi...

Kuna siri nzito sana juu ya uchimbaji wa dhahabu na Almasi pamoja na madini unayoyajua wewe...

Tuendeleeni kuwa wapole tu make mambo ni mazito...
Nimekuelewa sana" mkuu" kama ndio hivyo kweli dunia haiwezi kuwa mahala salama pakuishi'' maana hayo madini yatakuwa yanatafutwa kivyovyote vile" ikibidi hata kuhatarisha maisha ya watu""..... na hivyo vyombo vya kwenda huko huwa vinatumia nini" iliviweze kuruka angani "'?
 
View attachment 832823

UMEONA HIYO PICHA HAPO JUU HIYO NDIYO MILK WAY GALAX AMBAYO TUNAISHI SISI IKIWEMO DUNIA NA SAYARI NYINGINE NANE, Katilati ya hiyo galaxy yetu ndipo kuna ile black hole (shimo jeusi tiii ) ambapo wamarekani wanasema linazunguka na kuzungusha sayari, zote, wanasayensi wanadai kuna galaxes zaidi ya 100 kama za kwetu nazo zina sayari zake na mifumo yake ya jua
je wanasayansi wakitaka kwenda kwenye hizo galaxy nyingine wataendaje, kupitia kwenye hiyo black hole haiwezekan, na pia kwenda mpaka mwisho wa galaxy haiwezekani
karibuni wakuu wenye uwelewa zaidi , ya haya maswala ya galaxy na universe
Kuna zillion na zillion na zillion za galaxies.
 
Mkuu nyota bilion 400!!!!
Nani au kifaa gani kimezihesabu mkuu? Hizi ni fiction za maudhi sana unajua!!
Ona, wanasema kila nyota ni Jua, kwa majua million 4 tungepona mkuu!!?
Wazungu waongo wa kuudhi sana *****!!!
hahaaa
 
Nimekuelewa sana" mkuu" kama ndio hivyo kweli dunia haiwezi kuwa mahala salama pakuishi'' maana hayo madini yatakuwa yanatafutwa kivyovyote vile" ikibidi hata kuhatarisha maisha ya watu""..... na hivyo vyombo vya kwenda huko huwa vinatumia nini" iliviweze kuruka angani "'?
ili uweze kupita anga letu la milky way galaxy kuingia galaxy nyingine ni lazima chombo chako uki coat na madini flan unless kitayeyuka fasta kutokana na reaction za metal na surounding gases za anga za huko...ndo mana nasema kuna siri nzito juu ya madini yanayochimbwa ...

inasemekana kuwa kwenye galaxy nyingine kuna high civilization zaidi kuzidi iliyopo hapa kwenye milky way ....lengo kubwa ni kuadvance kufikia civilization kama za huku Niburi ..
 
Aliyeichukua alikua amesimama wapi??
Maana kutoka nje ya galaxy yetu kupiga picha huyo mpiga picha alitakiwa kuanza safari ya kwenda nje miaka takribani laki moja(100000) iliyopita ili afike sasa hivi..
hahaaa hoja za humu zinachekesha mnooo" hiyo miaka 100000 ukirudi duniani" siutajikuta unaishi peke yko
 
Nani alikwambia kanisa katoliki lina telescope station bora duniani?
We jamaa ukatoliki umekuchanganya akili, kuna VATT na yenyewe sio kitu ni telescope ndogo tu. Aliyewaletea dini waafrika aliwaumiza sana, yaani mmekua mazezeta.
aiseee" waliotultea dini" walaanike kwakweli" maana ndio chanzo cha .chuki na maugomvi yasiyo kwisha
 
hahaaa hoja za humu zinachekesha mnooo" hiyo miaka 100000 ukirudi duniani" siutajikuta unaishi peke yko
Hahaa yaani ni shida... kutuma chombo nje ya solar system tu unahitaji miaka 36.. sasa nani aliipiga picha ya universe na solar system[emoji23] [emoji23]
 
ili uweze kupita anga letu la milky way galaxy kuingia galaxy nyingine ni lazima chombo chako uki coat na madini flan unless kitayeyuka fasta kutokana na reaction za metal na surounding gases za anga za huko...ndo mana nasema kuna siri nzito juu ya madini yanayochimbwa ...

inasemekana kuwa kwenye galaxy nyingine kuna high civilization zaidi kuzidi iliyopo hapa kwenye milky way ....lengo kubwa ni kuadvance kufikia civilization kama za huku Niburi ..
naam nikweli" haya madini hayaishii kwenye vito tu na ujenzi wa mabomu" kuna ya ziada zaidi kama hayo uyasemayo
 
Back
Top Bottom