HOW MANY GALAXIES IN UNIVERSE?

HOW MANY GALAXIES IN UNIVERSE?

Mkuu hizi hadithi za wazungu ni nzuri sana lakini uongo mkuu u ndani yake.
Wanatuumiza sana vichwa kutufikirisha vitu ambavyo havipo!!?
Tujaribu kujiuliza namba ya gallaxy au nyota wameitoa wapi? Na je kama wanadanganya ulimwengu sisi ukweli huo tunathibitisha vipi? Umejiuliza pia "picha ya universe yote waliipigaje"? Mimi nikujibu tu, hawajapiga bali wametengeneza imagination yao wakaichora taswira yao kwa computer tu, so hizi ni COMPUTER GENERATED IMAGES tu. Hamna zaidi.
We jamaa utakuwa sijui na shida gani, hivi kamera ya simu yako imewezaje kupiga picha linyumba kubwa? Things zipo too advanced. Hivi hata NASA na knowledge ya nje ya dunia unaona waongo?

Utakuwa huamini hata uwezo wa simu yako!
 
Mbona una waruka wewe....!!!


Ndio! Namaanisha Telescope bora kabisa...

Pita google ujielimishe

Vatican Advanced Technology Telescope

VATT inaongoza nini sasa? Kutazama chura?
Unajua telescope wewe? Haipo hata top 20 unasema inaongoza? Labda inaongoza kijijini kwenu.
 
wangetafutwa wataalam wa mambo ya alhayat watumie majini nasikia huwa yanakasi sana katika kusafiri.
 
Katika Hadithi mojawapo katika Uislamu ni kwamba, Malaika Jibril aliomba akaone pale Mungu alipowaandalia waja wake wema kupumzikia milele baada ya kutoka hapa duniani, Mungu alimwambia huwezi.kufika huko kwani ni mbali sana, malaika alizidi kuomba bas akaruhusiwa na alisafiri miaka 2000 ya kimbingu ambapo kwa hapa duniani siku moja ya kimbingu ni miaka elfu 50, malaika yule hakufika akarudia njiani. Sasa kwa mantiki hio mie naamini kuwa Ukimwengu hauna mwisho tunaoweza kuufikia zaidi ya yule aliye uumba. Atukuzwe mbora wa waumbaji, aamin
 
Katika Hadithi mojawapo katika Uislamu ni kwamba, Malaika Jibril aliomba akaone pale Mungu alipowaandalia waja wake wema kupumzikia milele baada ya kutoka hapa duniani, Mungu alimwambia huwezi.kufika huko kwani ni mbali sana, malaika alizidi kuomba bas akaruhusiwa na alisafiri miaka 2000 ya kimbingu ambapo kwa hapa duniani siku moja ya kimbingu ni miaka elfu 50, malaika yule hakufika akarudia njiani. Sasa kwa mantiki hio mie naamini kuwa Ukimwengu hauna mwisho tunaoweza kuufikia zaidi ya yule aliye uumba. Atukuzwe mbora wa waumbaji, aamin
Kwa hio kama siku moja ya mbingu ni miaka elfu 50 kwetu

365*50000=18250000
Kwahio 18250000*2000= 3.65 bilion ndio miaka ya dunia aliosafiri huyo malaika kama ni kweli.

Sifa zote njema ziwe kwake Mungu.
 
the universe is still expanding....ni ngumu kupredict how the bigger it is...but Scientists measure the size of the universe in a myriad of different ways.

uchunguzi huo wa kubaini jinsi universe ilivyoevolve ni kupitia hizo microwave speed background walipima jinsi zinavoespand .

They can measure the waves from the early universe, known as baryonic acoustic oscillations, that fill the cosmic microwave background. They can also use standard candles, such as type 1A supernovae, to measure distances.

However, these different methods of measuring distances can provide answers.

How inflation is changing is also a mystery. While the estimate of 92 billion light-years comes from the idea of a constant rate of inflation, many scientists think that the rate is slowing down. If the universe expanded at the speed of light during inflation, it should be 10^23, or 100 sextillion.

lakini pia bado kuna utafiti unaendelea kufanyika lakini lazima ujue kuwa According to NASA, scientists know that the universe is flat with only about a 0.4 percent margin of error (as of 2013).

And that could change our understanding of just how big the universe is.

"This suggests that the universe is infinite in extent; however, since the universe has a finite age, we can only observe a finite volume of the universe," NASA says on their website. "All we can truly conclude is that the universe is much larger than the volume we can directly observe."
"The universe is much larger than the volume we can directly observe."

Nimeipenda hiyo na thanks for your explanation/ lecture about the size of our universe( in general).

Vipi kuhusiana na Astronomical unit(AU) na Parsec(PC)? I'm not an astronomer but I really want to know How these things work?
 
Kwa hio kama siku moja ya mbingu ni miaka elfu 50 kwetu

365*50000=18250000
Kwahio 18250000*2000= 3.65 bilion ndio miaka ya dunia aliosafiri huyo malaika kama ni kweli.

Sifa zote njema ziwe kwake Mungu.
Amiin. Kwa Mwenyeezi Mungu miaka bilioni sio kitu. Ndio maana huwa nakubaliana na wanasayansi wakitaja sijui kiumbe flani kilikuwepo miaka milioni 50 iliopita. Maana kwa mujibu wa Kitabu cha Quran nikiaminicho, binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuletwa na Mungu kuishi katika hii dunia.
 
Kwa hio kama siku moja ya mbingu ni miaka elfu 50 kwetu

365*50000=18250000
Kwahio 18250000*2000= 3.65 bilion ndio miaka ya dunia aliosafiri huyo malaika kama ni kweli.

Sifa zote njema ziwe kwake Mungu.
Pia tunaambiwa kuwa siku ya kiyama (Siku ya Hukumu) urefu wake ni sawa na miaka elfu 50 ya hapa duniani. Sie tokea Yesu hadi leo tuna 2000 tu. Ametakasika Mbora wa Waumbaji
 
Back
Top Bottom