How Men Cook Ugali

Asante kuniitia huyu kaka binamu, na mistaili yake kedekede mara kamatia feni, mara harufu ya mishkaki aahahahahaaaa
GuDume, alifunzwa akafuzu na kutunikiwa u ngariba kule kwetu Mboka Manyema, sasa akija kukutana na Hawa watoto waliochezea midoli na matoy, chips kuku wamezaliwa nazo, basi ni kuwakomoa tu na kuwakomesha.
Utasikia GuDume ana sura mbayaaa, ilaa mtamu, Buji, nilindie asiibiwe
 
Wee katili, umenikatili simulizi za chumbani na ka 🍷 🍷 wine

Aahahahahahaa kuna faulo ilifanyika mgeni alikuja ghafla nikashindwa kuendelea, ila weekend hii ntajazia nyama stay tuned.

Hapo kwenye wine nna chupa kadhaa za S. Africa wine naweza kukumiminia ukiwa unaburudika na simulizi za chumbani kwa Bi. Kasinde.
 


Aahahahahhahaaa ama kweli nyie ni mabinamu shurti kulindana aahahahhahahaaaa

Hapo kwenye utamu hapooo, ulimbo huo.
 
Ntakuja na Konyagi yangu, huwa napenda cocktail ya Konyagi, wine na Coke
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…