How Men Cook Ugali

Ha ha ha.... Mkuu hbr za masiku?


 
Kasie ananichokoza halafu atakimbilia ndani kujifungia....

Aahahahahahaa si unajua mchezo as kidali poo, nakuja nakuchokoza nakudalika halafu nakimbia mbio kujificha.

Sasa monolingual hivo unikimbize ila jifanye hunifikii hadi nifike eneo ninalojoficha. Halafu huko jifanye kama unajitafuta wee kumbe ushajua nilipo, ukinikamata sasa, hapo halali yako aahahahahhahaaaa
Hapa nshaanza kutimua mbio naelekea kujificha eeheheheheheee.
 
Muelezee huyo....maana mimi nlitakaga peleka posa kwa akina kasie nioe age mate wangu....ila ndo hivyo naye ana hofu.

Umeona eeehhh kigagula muoga fisiii aahahahahaaaa

Njoo bana wee nipe uhakika tuu utaona siogopi tena aahahahahahahaaaa
Eid Mubarak Guddu.
 
Sure mi nataka kukuoa.siyo kama wanaume wanaotaka kukuchezea. Mimi sipo hivyo hujui tu moyo wangu unavyoenda kwa kasi kila napoona jina lako.kila napokukumbusha moyo hupoteza mapigo mpaka baada ya muda flani ndo unarud kwenye mapigo yake ya kawaida. Sema dada sema nikupe nini? Navyokupenda hata ukitaka mimba ntakupa.

Umeona eeehhh kigagula muoga fisiii aahahahahaaaa

Njoo bana wee nipe uhakika tuu utaona siogopi tena aahahahahahahaaaa
Eid Mubarak Guddu.
kw
 
Tukijificha sehemu moja tutafurahi sana na unaweza ukadai tusionekane tena.... Umewahi kucheza kombolela mkajificha watu wakawatafuta mpaka wakakata tamaa na ikafika jioni wakaondoka?


 
Tukijificha sehemu moja tutafurahi sana na unaweza ukadai tusionekane tena.... Umewahi kucheza kombolela mkajificha watu wakawatafuta mpaka wakakata tamaa na ikafika jioni wakaondoka?


aahahahhahahaaa enzi za kombolela ni noomaaa, mkitoka huko macho mekunduuuu aahahahahahahhaaaa

Tuitishe kombolela halafu tukajifiche paleee kwwnyw kile kochochoro... πŸ˜›
 

Niipeee niipeeee....

Ukinipaa ntaleewaaa....

Niipeee niipeeee....

Ukinipaa ntanogewaaa....

Gudduu..... Unajua unakuja kwa kasii, kumzidi sukari ya warembo Watu8
 
Huyo watu8 hajiamini ndo maana anakutongoza ukikubali anakuja na wenzie saba.... Anajua peke yake hawezi.njoo kwa gudume kwa mbegu.hugu ni man alone...ntakupa hata moyo wangu.acha mimba peke yake.... Sema utakacho hata ukitaka nikununulie mlima kilimanjaro uwe wako peke yako...ntafanya hivyo....ukitaka lile jengo pale karibu ma ferry liwe makazi yako ya kudumu ntakufanyia mchakato....

Niipeee niipeeee....

Ukinipaa ntaleewaaa....

Niipeee niipeeee....

Ukinipaa ntanogewaaa....

Gudduu..... Unajua unakuja kwa kasii, kumzidi sukari ya warembo Watu8
 

Aahahahahhahaaa huu ni mtongozo wa milenia aahahahahahaa

Nimehorojeka na kulainika

Nipelekee Guddu, nipelekee ambako sijafika, acha nitapetape niweweseke najua utanidaka na kunipaisha juu kama tai....

Maneno haya asiyasikie Le Big Sam Asprin maana hiyo vita yake Coronya cha mtoto.
 
Mi nakuangalia tu afu nacheka hihihiii
 
Hili tongozo nalikopi naenda kulipesti huko uswaziii
 
Achana na Asprin kuna AVR hizo ndo deal...asprin inashindwa hata na Panadol.njoo mama upate kitu roho yako itataka...upate raha ujihisi una elea mawinguni. Nimekuahidi hata mimba ntakupatia usitie shaka kabisa...nataka uamini kuwa kweli nakupenda.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…