How Men Cook Ugali

Achana na Asprin kuna AVR hizo ndo deal...asprin inashindwa hata na Panadol.njoo mama upate kitu roho yako itataka...upate raha ujihisi una elea mawinguni. Nimekuahidi hata mimba ntakupatia usitie shaka kabisa...nataka uamini kuwa kweli nakupenda.


Loooh Guddu, hakika umenibana engo zote, sina pa kuchomokea...

Nini nitake zaidi....labda shopping ya kitabu....
 
Aahahahahahhaaaa Babuuu

Wajua vile nikisikia zouk zako I just lean on your shoulders and kiss...

Halafu Babu nashangaa ghafla nasikia koo linaniwasha....
 
Baada ya hapo unachukua ukoko wa ugali unauloweka na mchuzi wa maharage unakuwa na harufu ya ubwabwa kwa hiyo badae unajilia wali wa gharama ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…