How mnaweza ku date na last born?

How mnaweza ku date na last born?

Apumzike Kwa amani
Angekuwepo nafikir had sahiz kesi ungekuwa unazipeleka "mama bhna mkweo siku ya Tatu kaninunia hapiki"🤣🤣🤣
We acha tu mpwa...

Uninunie na mama yupo? Nakusemea ndiyo 😁😁😁

Screenshot_20230415_144403_Chrome.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Wanaume last borns ni majanga walah!! Utatamani uvichape makofi wakati mwingine, hawajawahi kuwa wa maana!!!
Sijui kama nimesoma sahihi au naota😳
 
Tumependwa na mama zetu tukapendeka jamani mtutue😁

Kila kitu kizuri kilikuwa chetu hakyanani, kuanzia chakula hadi nguo😁

Hatukufanyishwa mikazi kama punda😁

Wake zetu tunaomba muwe wavumilivu.

Halafu mkumbuke tulinyonya sana, so uwezekano wa kulisongesha ni mkubwa😁😁
 
Ila last born walio wengi wana malezi mabaya ya kudekezwa,tena ndio ukute una date nalo hata Kama limekuzidi umri vpi utajuta.Mda wotee kususa susaa,kudeka deka yaan linakuwa Kama litoto ww ndio unageuka kuwa mama yake mxiiiuu 😏😏😏😏
 
Ila last born walio wengi wana malezi mabaya ya kudekezwa,tena ndio ukute una date nalo hata Kama limekuzidi umri vpi utajuta.Mda wotee kususa susaa,kudeka deka yaan linakuwa Kama litoto ww ndio unageuka kuwa mama yake mxiiiuu 😏😏😏😏
Inabidi uwe mama yake ili mwende sawa🤣🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaume last borns ni majanga walah!! Utatamani uvichape makofi wakati mwingine, hawajawahi kuwa wa maana!!!
Nakusalimu
 
Sio wote.Mimi ni last borne napambana zaidi unaweza sema first borne mpaka Nimejenga.Asante Mungu kwa kuniwezesha
 
Back
Top Bottom